The Citizen: Sekta ya utalii yaongoza mapato ya nchi 2023/24; kongole kwa Royal Tour

The Citizen: Sekta ya utalii yaongoza mapato ya nchi 2023/24; kongole kwa Royal Tour

Waziri wa habari wa wakati huo Nape alipoona Samia kaachwa mbali kwenye mpambano akaamua kulitishia kulikufungia gazeti la Citizen na kuamuru liombe radhi kwa kuendesha Poll km hiyo..
Labda ni muda muafaka Sasa poll hii irejewe. Mambo mengi mazuri yamefanyika.
 
Labda ni muda muafaka Sasa poll hii irejewe. Mambo mengi mazuri yamefanyika.
Ni mwaka jana tu siku chache kabla ya Nape kutumbuliwa, unataka kusema kuna kitu gani kipya zaidi ya ufisadi uliotamalaki...
 
Kwani hata hizo pesa za utalii ni za Tanzania? pesa wanazo kusanya TANAPA ni kwenye bilion 300 kwa mwaka yaani TANAOA kama TANAPA wanazidiwa na TBL kaangakie data mkuu sio maneno yangu. yaani kodi wanayo lipa TBL inazidi makusanyo ya TANAPA.

wanao fadikika na utalii ni makampun ya kigeni wale ndio wanufaikaji wakuu kabisa wa hizo pesa zinarudi kwao. angalau kidogo mapato ya Korosho au tumbaku naweza kubaliana kwamba wakulima wanaoata pesa hapo

yeah tbl ni success story, ni kazi ya B.Mkapa, siyo tbl tu banks crdb au nmb zote ni matunda ya kazi ya B.Mkapa, usisahau kiwanda cha sigara pia …
 
yeah tbl ni success story, ni kazi ya B.Mkapa, siyo tbl tu banks crdb au nmb zote ni matunda ya kazi ya B.Mkapa, usisahau kiwanda cha sigara pia …
TBL ilibinafsishwa mwaka 1993 na TCC imeuzwa mwaka 1995 , Rais alikuwa Ali Hassan Mwinyi.

Acha kupotosha dogo. Tafuta taarifa sahihi kwenye internet
 
Cholo wewe.... Then what next!??.watu wanakosa huduma mhimu huo utalii unasaidia Bibi tozo sio Tz!!. M.fuvck
Utaendelea kuwa Exy wa mwanaume aliyekuacha tu kwa akili hiyo mbovu. No wonder uliachika
 
Eeghh umenigeuzia kesi tena? Royal tour haina impact Yoyote ile, hili halina ubishi wala halihitaji kuwa na reference Yoyote, Just a common sense. Ila tusibishane, uko Sahihi kabisa.
Leta takwimu za ku justify hicho unachosema, kutoa a mere sweeping statement ni un professional
 
Hizo ni pesa wanatengeneza wazungu wanao milika tour oparators companies, TANAPA kwa mwaka makusanyo yao getini hayafiki hata billion 500 sana yanachezea bilion 300 hadi 350

Utalii unawanufaisha Wageni wanao milika makampuni, Hahaaa
Hujui namna Bank Of Tanzania wanavyokusanya data, kaa kimya usionyeshe ujinga wako
 
yeah tbl ni success story, ni kazi ya B.Mkapa, siyo tbl tu banks crdb au nmb zote ni matunda ya kazi ya B.Mkapa, usisahau kiwanda cha sigara pia …
Hapa dogo umetufunga kamba. TBL na TCC ni viwanda vimebinqfsishwa na Mzee Ruksa
 
Hizo ni pesa wanatengeneza wazungu wanao milika tour oparators companies, TANAPA kwa mwaka makusanyo yao getini hayafiki hata billion 500 sana yanachezea bilion 300 hadi 350

Utalii unawanufaisha Wageni wanao milika makampuni, Hahaaa
Kwaiyo ilitakiwa ufungue tour company uache kupigapiga kelele humu Jf na siasa za majitaka
 
yeah tbl ni success story, ni kazi ya B.Mkapa, siyo tbl tu banks crdb au nmb zote ni matunda ya kazi ya B.Mkapa, usisahau kiwanda cha sigara pia …
Tatizo Gen z ambao ndo wapiga kura hawakuepo kipindi hicho
 
Waziri wa habari wa wakati huo Nape alipoona Samia kaachwa mbali kwenye mpambano akaamua kulitishia kulikufungia gazeti la Citizen na kuamuru liombe radhi kwa kuendesha Poll km hiyo..
Kwani hao marais wengine kwenye hiyo polls wametoka Vyama vingine?Wote ni CCM. Hivyo hoja yako hapo mantiki ni nini?Kuna wa Chadema, ACT au NCCR Mageuzi hapo?
 
Hizo ni pesa wanatengeneza wazungu wanao milika tour oparators companies, TANAPA kwa mwaka makusanyo yao getini hayafiki hata billion 500 sana yanachezea bilion 300 hadi 350

Utalii unawanufaisha Wageni wanao milika makampuni, Hahaaa
Upo sahihi. Asilimia kubwa ya hela ya utalii inarudi kwa wageni hao hao.

1. Wageni 95% ndio wanamiliki hoteli/lodges nyingi za kitalii zenye hadhi ya nyota 3,4 na 5 hizi ndio hoteli wanazopenda kulala wazungu.

2. Wageni ndio wamiliki wa magari ya watalii kwa 95% (msibabaishwe na majina ya makampuni kuwa ya kiswahili ile ni mbinu ya branding)

3. Wageni/watalii wanakuja kila kitu kipo full booked tokea huko kwao na makampuni ya utalii ya nchi zao ambazo wageni wanazimiliki kwa 100%




Hela ya utalii inarudi kwa wageni wenyewe.
Ndio maana maeneo yenye utalii bado kuna umasikini mkubwa mno. Huwezi kulinganisha na maendeleo kwenye maeneo yenye mazao mengi au madini mengi au kwenye biashara nyingi


Inabidi pawe na uchambuzi wa kina juu ya hela ya utalii

Wageni wametoa, wageni wametwaa. Jina la wageni lihimidiwe
 
Back
Top Bottom