Kama unazo akili kichwani njoo na hoja. Kutukana na kumuita mtu popoma hata mwendawazimu anawezaUmetoka wapi ww Popoma ?
Mpumbavu unekaa tu kwa shemeji yako, huna shughuli unafanya halafu unataka upate huduma muhimu bure? Utazeeka unamtegemea dada yakoCholo wewe.... Then what next!??.watu wanakosa huduma mhimu huo utalii unasaidia Bibi tozo sio Tz!!. M.fuvck
Kwani hapo mleta mada anakosa gani?Mzazi aliyekuzaa wewe chawa alikula hasara bora amepiga punyeto tu..
Mimi niko Arusha. Utalii nauona wala sisimuliwiUtalii upo kabla ya hiyo Royal Tour ya Samia.Sisi ambao tunahusika moja kwa moja na sekta ya Utalii tunajua hilo.
Mlioko Vingunguti,Tandika na Shimo la udongo mnaweza kudanganyika na Royal Tour ambayo haina impact yoyote na ukuaji wa sekta ya utalii.
Ww mwanachama wa UWT uliozoea kuolelewa unafikiria n wote....Mpumbavu unekaa tu kwa shemeji yako, huna shughuli unafanya halafu unataka upate huduma muhimu bure? Utazeeka unamtegemea dada yako
Eeghh umenigeuzia kesi tena? Royal tour haina impact Yoyote ile, hili halina ubishi wala halihitaji kuwa na reference Yoyote, Just a common sense. Ila tusibishane, uko Sahihi kabisa.Yawezekana na wewe uko kwenye same bandwagon ya kuwa na negativity kwa kila kinachofanywa na Serikali. Hii data ni ya Citizen, nao wametoa BOT na mimi nimeileta hapa.
Kama siyo Royal Tour imeongeza utalii basi anayebisha aje na hoja tuzijadili, lakini kuitana eti chawa au mpumbavu ni kutotumia JF vizuri
Kwa nini uwe na chuki na vitu concrete kama hivyo? Labda Tindo anaumwa ugonjwa wa Asperger syndrome
Utaambiwa huna takwimu....umesema ukweli mchungu Sanahahah ilikuwa hivyo miaka yote tangia uhuru, wakati wa B.Mkapa kwa mara ya kwanza dhahabu ikaongoza kwa mapato na kwa miaka mingi tu iliyofuatia, kulikuwa na high quality and good paying jobs huko kwenye migodi, halmashauri zilikuwa zinafanya vizuri tu, sasa tumerudia kule kule kwa kutegemea utalii, nchi yenye karibia kila aina ya rasilimali tunategemea utalii, hivyo tumerudi nyuma kwenye uzalishaji …
Vipi hapo Citizen walikuwa sawa ?Inakuuma?? Ulitakaje?
Hizo ni pesa wanatengeneza wazungu wanao milika tour oparators companies, TANAPA kwa mwaka makusanyo yao getini hayafiki hata billion 500 sana yanachezea bilion 300 hadi 350Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-
View attachment 3238231
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
Kweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-
View attachment 3238231
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
Haya tuendelee kupata data za Citizen Magazine...Wewe umezaliwa msenge toka tumbo la mama yako. Pingana na data za The Citizen siyo na mimi
Kwani hata hizo pesa za utalii ni za Tanzania? pesa wanazo kusanya TANAPA ni kwenye bilion 300 kwa mwaka yaani TANAOA kama TANAPA wanazidiwa na TBL kaangakie data mkuu sio maneno yangu. yaani kodi wanayo lipa TBL inazidi makusanyo ya TANAPA.hahah ilikuwa hivyo miaka yote tangia uhuru, wakati wa B.Mkapa kwa mara ya kwanza dhahabu ikaongoza kwa mapato na kwa miaka mingi tu iliyofuatia, kulikuwa na high quality and good paying jobs huko kwenye migodi, halmashauri zilikuwa zinafanya vizuri tu, sasa tumerudia kule kule kwa kutegemea utalii, nchi yenye karibia kila aina ya rasilimali tunategemea utalii, hivyo tumerudi nyuma kwenye uzalishaji …
Hizo za utalii sio za Serikali, kwemye takwimu TANAPA wanakusanya billion hadi 300 na kwa mwaka, hizo ni pesa za makampuni ya tour oparators ambai ni wageni..nilidhani bandari na dpw ndio wanaongoza kwa kuchangia uchumi.
Huna reference kwa hiyo UNAROPOKA tu!Eeghh umenigeuzia kesi tena? Royal tour haina impact Yoyote ile, hili halina ubishi wala halihitaji kuwa na reference Yoyote, Just a common sense. Ila tusibishane, uko Sahihi kabisa.
Asante Mungu kutupatia rasilimali nyinyi nchini kwetuKweli Rais Samia kafungua nchi, angalia takwimu hapa kwa mujibu wa The Citizen kama zilivyoletwa kutoka ripoti za BOT:-
View attachment 3238231
Kwenu muliobeza Royal Tour, ruksa kutoa povu. Ila nchi inasonga mbele
Kwani GNP au GDP inapimwaje? Hebu jitahidini kusoma elimu ya bure iko hata kwenye simu yako. Pato la Taifa (GDP) huhusisha sekta zote, Serikali na Binafsi.Hizo za utalii sio za Serikali, kwemye takwimu TANAPA wanakusanya billion hadi 300 na kwa mwaka, hizo ni pesa za makampuni ya tour oparators ambai ni wageni
Ni kama unahoja! Wakigoma kuja watalii bajeti inayumba...!!!Hata hivyo, nampongeza Mh. Rais kwa kazi nyingine anazoendelea kuzifanyia kwa ajili ya Taifa hili.tunategemea utalii, hivyo tumerudi nyuma kwenye uzalishaji …
Hiyo poll iliishaje?Vipi hapo Citizen walikuwa sawa ?