The Covid Game Plan for Global Genocide and Enslavement of Humanity

The Covid Game Plan for Global Genocide and Enslavement of Humanity

Hajui kitu ni kucopy tu
Mtalaumu mpaka lini,si mnasema Kingereza sio muhimu?

Anyway,labda niseme wazi,mimi si mtaalamu wa Kiswahili sanifu,kwa hiyo kama ningeandika kwa Kiswahili,mada yangu isingeleta maana halisi niliyokusudia,hasa ukizingatia kwamba maneno mengine ni ya kitaalamu.Naomba tuwiane radhi.
 
Mtalaumu mpaka lini,si mnasema Kingereza sio muhimu?

Anyway,labda niseme wazi,mimi si mtaalamu wa Kiswahili sanifu,kwa hiyo kama ningeandika kwa Kiswahili,mada yangu isingeleta maana halisi niliyokusudia,hasa ukizingatia kwamba maneno mengine ni ya kitaalamu.Naomba tuwiane radhi.
Tatizo sio kingereza shidah ni ulicho andika
 
Ni kweli mkuu,makanjanja wa NWO tunao humu,tena wengi.Najua watatupiga mawe,watatusagia meno,lakini ni wajibu wetu kuelimsha watu ili wafanya maamuzi ya kuchanjwa au kutochanjwa from an informed position.

Usichoke! Say No to Chanjo!
 
Ujumbe nzuri Ila lugha ulinitumia sio rafiki kwa watanzania
Kama wakazi wa dunia tunahitaji kujua Kiswahili,lakini pia Kingereza ambayo ndiyo international language kubwa.Kuendelea kujifariji kwamba Kingereza sio muhimu haitatusaidia sana.It is shortsightedness and stupid. Kama nchi tunahitaji kubadilisha mtazamo wetu na haraka.Tanzania sio kisiwa.
 
Mkuu mathanzua iq yako ipo vzr sn from now nitaanza kukufatilia nimeona una mawazo chanya sn .
 
Hatari sana...

Kuongezea pia ina punguza life span ya binadamu hizo vaccine... Ukizidi 70...
 
The Bilderberg Group ndilo linaongoza uchumi wa dunia, ogopa. Naambatanisha kitabu kinacholihusu
View attachment 1832860
Ni sawa mkuu,it is an extremely evil group.Mtu kama Klaus Shwab,ambaye ndiye mwanzilishi na kiongoziu mkuu wa Bildeberg Group uhai wa mtu kwake si kitu kabisa.Baba yake na familia ya Rothschild ndio waliomkodi Hitler kufanya mauaji ya Waisrael 6 million during the Holocaust! In fact agenda yao ya kuua Wasirael inaendelea,Israel is another concentration camp,na tool watakayotumia kuwaua Waisrael this time around ni the C-19 shot.Remember that Israel is todate the most vaccinated country in the planet!
 
Ni sawa mkuu,it is an extremely evil group.Mtu kama Klaus Shwab uhai wa mtu kwake si kitu kabisa.Baba yake na familia ya Rothschild ndio waliomkodi Hitler kufanya mauaji ya Waisrael 6 million during the Holocaust! In fact agenda yao ya kuua Wasirael inaendelea,Israel is another concentration camp,na tool watakayotumia kuwaua Waisrael ni the C-19 shot.Remember that Israel is the most vaccinated country in the planet.
Uzi/Bandiko lako wengi wa WanaJf wanaochangia wanakubeza, kama walivyombeza Hayati Magufuli, kwa sababu ni wa mlengo wa kundi linalolishwa matango pori na wanasiasa wenye agenda binafsi. Ni wanasiasa ambao wamechupalia madai ya Katiba mpya yenye kutoa Haki bila wajibu na Uhuru usio na mipaka. Haki na Uhuru wa aina hiyo unapatikana kwenye nchi ya KUSADIKIKA, kama ipo duniani[emoji2958]

Machapisho mengi ya kisayansi yanathibitisha COVID-19 ni SARS (mafua makali) ambayo yameongezewa ukali katika maabara na kuwa SARS-COV-2 (COVID-19) kama silaha ya kibailojia (biological weapon). (Pitia chapisho hili (The Compelling Need for Game- Changing Influenza Vaccines)

Walengwa ni nchi zinazoendelea ambazo bado zina hazina ya maliasili. Wanalenga kuangamiza watu wa nchi hizo kwa kuwalazimisha kutumia kinga (barakoa na vitakasa mikono, chanjo) zilizopandikizwa bakteria/virusi vyenye kuharibu mfumo wa upumuaji, damu na seli asilia.

Mwenye kujitambua anapaswa kujiuliza kwa nini hadi sasa HIV haijatengezewa chanjo yake wakati ugonjwa unaambukizwa, hasa hasa kwa njia ya ngono, ambayo kimaumbile binadamu hawezi kukwepa? Hata dawa za kufubaza makali ya HIV (ARVs) yawezekana zina madawa yenye athari za muda mrefu kwa afya ya mtumiaji km ugumba au kupungukiwa nguvu za kiume. Hata magonjwa makubwa duniani (Kansa, Kisukari, Pumu, BP, Kichomi Malaria, nk), ambayo yanasumbua na kuchukua uhai wa watu wengi, hayajapewa uzito kama wa COVID-19.

Uamuzi wa kuchajwa ni wangu, wewe, au yeye.
 
Uzi/Bandiko lako wengi wa WanaJf wanaochangia wanakubeza, kama walivyombeza Hayati Magufuli, kwa sababu ni wa mlengo wa kundi linalolishwa matango pori na wanasiasa wenye agenda binafsi. Ni wanasiasa ambao wamechupalia madai ya Katiba mpya yenye kutoa Haki bila wajibu na Uhuru usio na mipaka. Haki na Uhuru wa aina hiyo unapatikana kwenye nchi ya KUSADIKIKA, kama ipo duniani[emoji2958]

Machapisho mengi ya kisayansi yanathibitisha COVID-19 ni SARS (mafua makali) ambayo yameongezewa ukali katika maabara na kuwa SARS-COV-2 (COVID-19) kama silaha ya kibailojia (biological weapon). (Pitia chapisho hili (The Compellikinachoendelis tumejuame- Changing Influenza Vaccines)

Walengwa ni nchi zinazoendelea ambazo bado zina hazina ya maliasili. Wanalenga kuangamiza watu wa nchi hizo kwa kuwalazimisha kutumia kinga (barakoa na vitakasa mikono, chanjo) zilizopandikizwa bakteria/virusi vyenye kuharibu mfumo wa upumuaji, damu na seli asilia.

Mwenye kujitambua anapaswa kujiuliza kwa nini hadi sasa HIV haijatengezewa chanjo yake wakati ugonjwa unaambukizwa, hasa hasa kwa njia ya ngono, ambayo kimaumbile binadamu hawezi kukwepa? Hata dawa za kufubaza makali ya HIV (ARVs) yawezekana zina madawa yenye athari za muda mrefu kwa afya ya mtumiaji km ugumba au kupungukiwa nguvu za kiume. Hata magonjwa makubwa duniani (Kansa, Kisukari, Pumu, BP, Kichomi Malaria, nk), ambayo yanasumbua na kuchukua uhai wa watu wengi, hayajapewa uzito kama wa COVID-19.

Uamuzi wa kuchajwa ni wangu, wewe, au yeye.
Unaona mbali sana Mwengeso,thanks.The unfortunate thing is sisi ambao tunajua yanayoendelea na ni uncompromized,tuko wachache sana.Na hata ambao tumejua kinachoendelea, tumejua when it is too late na sisi kama wanadamu hatuwezi kufanya lolote katika umoja wetu.Naweza kusema akina Klaus Schwab wamemaliza kazi,in other words the game is over,and anything significant can only be done at the individual level.
 
Covid 19 ni ugonjwa ambao unajulikana ki sayansi,na nchi nyingi zenye wana sayansi wanaopenda kujishughulisha na fani zao wameweza ku identify ugonjwa upoje na ivo kuja na kinga yake huku wakiendelea na research maabara.
Cha ajabu watanzania wengi mnarukia (jump on the bandwagon) mambo ya conspiracy theories kama solution yenu juu ya huu ugonjwa. Wengi ukitajwa huu ugonjwa uelewa wenu upo sehemu hizi
-Magu alisema hakuna corona
-Freemason.
-New world order.
Hakuna mtu yeyote ambae anaweza ku proove chochote wala hamuwajui hao walooandika ivo vitabu,yaani mnaamini vitu msivovijua.Huu ni uvivu wa kufikir na kupenda njia mkato ili msiumize vichwa vyenu.
Kama sayansi ipo na wataalamu wapo na akili tunazo,kwa kwa nini tusiingie maabara wenyewe? Kama uongo si tutajua wenyewe,kitu gani kinatufanya tuamini 'new world order' bila kufanya uchunguzi wetu?? Yaani uwezo wetu wa kufikiri ndo umegota kwenye maandiko ya mtandaoni na maoni ya watu binafsi??
Histori imeonyesha jinsi sayansi ilivoleta mafanikio ya madawa na mabadiriko ya maisha,kwa nini kwenye hii Corona tunatolewa kwenye mstari??.
 
Covid 19 ni ugonjwa ambao unajulikana ki sayansi,na nchi nyingi zenye wana sayansi wanaopenda kujishughulisha na fani zao wameweza ku identify ugonjwa upoje na ivo kuja na kinga yake huku wakiendelea na research maabara.
Cha ajabu watanzania wengi mnarukia (jump on the bandwagon) mambo ya conspiracy theories kama solution yenu juu ya huu ugonjwa. Wengi ukitajwa huu ugonjwa uelewa wenu upo sehemu hizi
-Magu alisema hakuna corona
-Freemason.
-New world order.
Hakuna mtu yeyote ambae anaweza ku proove chochote wala hamuwajui hao walooandika ivo vitabu,yaani mnaamini vitu msivovijua.Huu ni uvivu wa kufikir na kupenda njia mkato ili msiumize vichwa vyenu.
Kama sayansi ipo na wataalamu wapo na akili tunazo,kwa kwa nini tusiingie maabara wenyewe? Kama uongo si tutajua wenyewe,kitu gani kinatufanya tuamini 'new world order' bila kufanya uchunguzi wetu?? Yaani uwezo wetu wa kufikiri ndo umegota kwenye maandiko ya mtandaoni na maoni ya watu binafsi??
Histori imeonyesha jinsi sayansi ilivoleta mafanikio ya madawa na mabadiriko ya maisha,kwa nini kwenye hii Corona tunatolewa kwenye mstari??.

Kwa kuwa sijui fani na elimu yako, ila kwa bandiko hili, nimethibitisha kuwa "hujui kwamba hujui".

Unataka tuamini hicho ulichoandika lakini wakati huo huo unachonganya unapodai Yaani uwezo wetu wa kufikiri ndo umegota kwenye maandiko ya mtandaoni na maoni ya watu binafsi??.

Kwa taarifa yako "knowledge is power". Na "knowledge" inapatikana, pamoja na mambo mengine, kutoka kwenye machapisho ya waliofanya tafiti. Ukifanya tafiti na usiambie dunia ulichogundua, itakuwa bure.

Kuhusu COVID-19, hakuna hata mtaalamu yeyote aliyesema haipo ila wanabishana jinsi uivyoanza, kusambaa (kuenezwa) na jinsi ya kukabiliana nao:
[emoji830]︎ "Lockdown" ilidhaniea kuwa njia sahihi, lakini imebainika nchi zilizotumia njia hii bado ugonjwa ulienea;
[emoji830]︎ Barakoa zimethibitika kuongeza tatizo la kiafya kwa wenye magonjwa ya kupumua km pumu, "pneumonia" na "flu"
na pia baadhi zimengudilika kuwa hatari na hata waliozitumia bado waliambukizwa; na
[emoji830]︎ Chanjo pia nazo hazijathibitishwa uwezo wa kutoa kinga.

Mtafiti yeyote, duniani, hutumia tafiti za awali (empirical evidence) kupinga au kuboresha tafiti hizo na yake mwenyewe.

Kutokana na hoja za bandiko lako, Mkuu london1, kwa ID hiyo ni dhahiri wewe ni mfungwa wa kupenda vya ughaibuni, na kwa maana hiyo HUJIAMINI. Kwa mtazamo wako huo sina shaka kusema kuwa hujawahi kufanya utafiti na kutoa chapisho lolote.
 
Kwa kuwa sijui fani na elimu yako, ila kwa bandiko hili, nimethibitisha kuwa "hujui kwamba hujui".

Unataka tuamini hicho ulichoandika lakini wakati huo huo unachonganya unapodai Yaani uwezo wetu wa kufikiri ndo umegota kwenye maandiko ya mtandaoni na maoni ya watu binafsi??.

Kwa taarifa yako "knowledge is power". Na "knowledge" inapatikana, pamoja na mambo mengine, kutoka kwenye machapisho ya waliofanya tafiti. Ukifanya tafiti na usiambie dunia ulichogundua, itakuwa bure.

Kuhusu COVID-19, hakuna hata mtaalamu yeyote aliyesema haipo ila wanabishana jinsi uivyoanza, kusambaa (kuenezwa) na jinsi ya kukabiliana nao:
[emoji830]︎ "Lockdown" ilidhaniea kuwa njia sahihi, lakini imebainika nchi zilizotumia njia hii bado ugonjwa ulienea;
[emoji830]︎ Barakoa zimethibitika kuongeza tatizo la kiafya kwa wenye magonjwa ya kupumua km pumu, "pneumonia" na "flu"
na pia baadhi zimengudilika kuwa hatari na hata waliozitumia bado waliambukizwa; na
[emoji830]︎ Chanjo pia nazo hazijathibitishwa uwezo wa kutoa kinga.

Mtafiti yeyote, duniani, hutumia tafiti za awali (empirical evidence) kupinga au kuboresha tafiti hizo na yake mwenyewe.

Kutokana na hoja za bandiko lako, Mkuu london1, kwa ID hiyo ni dhahiri wewe ni mfungwa wa kupenda vya ughaibuni, na kwa maana hiyo HUJIAMINI. Kwa mtazamo wako huo sina shaka kusema kuwa hujawahi kufanya utafiti na kutoa chapisho lolote.
Asante Mwengeso for your insight,I wouldn't have done better.Ni jibu sahihi kabisa congratulations.
 
Kweli knowledge is power, lakini sio kila andiko unalokutana nalo lipo sahihi.Huwezi ku copy andiko usilojua mwandishi aliandika akiwa na elimu gani ya anachokiandika na ana uelewa anaosema,ndo maana tukitaka kujua kuhusu dawa tunamsoma daktari sio fundi garage. Na ndo maana hata maandishi tunyokutana nayo,inabidi tuyadadisi kujua ukweli wake sio kubeba kila tunalokutana nalo alafu mkiulizwa jibu ni kuwa aloandika kafanyia research huu ni uvivu wa kufikiri.
Unazungumzia kuhusu mapambano ya Covid na unayabeza,hapa umebugi sana na umeandika vitu ambavyo huvielewi na si vya kweli,kama kawaida yako umefuatilia sehemu sio,ngoja nikuelezee ilivyokuwa.
"Lockdown" hakuna nchi ulaya ilosema lockdown sio njia sahihi sijui hii umeiokota wapi, Lockdown bado ni njia inayotumika ku 'contain' maambukizo. Nchi kama uingereza lockdown na chanjo ndo imekuwa mwongozo wao katika kufungua nchi,na mpaka sasa wanategemea kutoka lockdown full sababu asilimia kubwa (over70%) wana chanjo,na bado wanaendelea.
"Barokao" bado zinatumika na ni hitaji la kisheria kuwa nayo,ingawa kuna sehemu wanalegezea sabbu july 19 wanaambiwa mambo yatarudi kama zamani,kwani chanjo zimeonyesha ufanisi wa juu,hakuna serikali iliyoamua kuacha kuvaa barakoa,nahisi ili nalo umelitoa huko huko kwa ma freemanson na world order sites,lakin hali ni tofauti na mnavyoaminishwa.
"Chanjo hazithibitishi uwezo wa kutoka kinga" unajiita msomi lakini unayoandika ni tofauti na uhalisia.chanjo zimekuwa successfully nchi nyingi na ndo maana nchi nyingi zipo mbioni kutaka kuchanja wananchi wao wote.Maambukizi yameshuka nchi nyingi zilizokuwa na strategy nzuri za lockdown na chanjo,lockdown zilifanya ugonjwa usisambae na chanjo zilipunguza watu kufa kwa huu ugonjwa au kulazwa hospital na ma oxygen.
Challenge ya Covid bado ipo na chanjo si dawa,ivo haimaanishi ugonjwa umeondoka ila ni kuwa watu wataweza kuishi nao bila kuwapelekesha na kuwalaza hospitali na hiyo ndo point ya chanjo sababu sio dawa.
Variant za ugonjwa bado zinaweza kuja na hii ni tabia ya virus kubadirika( mutate),wenye uwezo bado wanaendelea na research maabara,ili kuwahi kama kutakuja na mutation hatari zaidi na hii ndo uzuri wa sayansi 'we live with hope' na tunategemea wengine hawatakumbana na haya tunayokumbana nayo sie,wewe angaika na new world order sisi tutaangalia sayansi, na ukiumwa usisahau kwenda kwa hao hao.
 
Ufunuo 13 : 18
Kila mwenye kusikia na asikie hesabu yake ni kibinadamu . Na hesabu yake ni Mia Sita, sitini na Sita.
C- 3
O- 15
R- 18
O- 15
N- 14
A- 1

6. 66

CORONA ina tarakimu 6, hesabu mtiririko wa hizo tarakimu kwa kufuatana na namba eg A -1, B - 6, C -3. Then ujumlishe zote unapata 66.

Ufahamu umefichwa na Watu Hawaoni hata tuonasema ni viongozi wa Dini hawaoni. Lakini maneno ya Mungu yanatimia na watu wanabeza.

Ahimidiwe Mungu Baba wa Bwana wetu Kristo Yesu mwenye kutoa maono kwa wote awapendao.
 
Kweli knowledge is power, lakini sio kila andiko unalokutana nalo lipo sahihi.Huwezi ku copy andiko usilojua mwandishi aliandika akiwa na elimu gani ya anachokiandika na ana uelewa anaosema,ndo maana tukitaka kujua kuhusu dawa tunamsoma daktari sio fundi garage. Na ndo maana hata maandishi tunyokutana nayo,inabidi tuyadadisi kujua ukweli wake sio kubeba kila tunalokutana nalo alafu mkiulizwa jibu ni kuwa aloandika kafanyia research huu ni uvivu wa kufikiri.
Unazungumzia kuhusu mapambano ya Covid na unayabeza,hapa umebugi sana na umeandika vitu ambavyo huvielewi na si vya kweli,kama kawaida yako umefuatilia sehemu sio,ngoja nikuelezee ilivyokuwa.
"Lockdown" hakuna nchi ulaya ilosema lockdown sio njia sahihi sijui hii umeiokota wapi, Lockdown bado ni njia inayotumika ku 'contain' maambukizo. Nchi kama uingereza lockdown na chanjo ndo imekuwa mwongozo wao katika kufungua nchi,na mpaka sasa wanategemea kutoka lockdown full sababu asilimia kubwa (over70%) wana chanjo,na bado wanaendelea.
"Barokao" bado zinatumika na ni hitaji la kisheria kuwa nayo,ingawa kuna sehemu wanalegezea sabbu july 19 wanaambiwa mambo yatarudi kama zamani,kwani chanjo zimeonyesha ufanisi wa juu,hakuna serikali iliyoamua kuacha kuvaa barakoa,nahisi ili nalo umelitoa huko huko kwa ma freemanson na world order sites,lakin hali ni tofauti na mnavyoaminishwa.
"Chanjo hazithibitishi uwezo wa kutoka kinga" unajiita msomi lakini unayoandika ni tofauti na uhalisia.chanjo zimekuwa successfully nchi nyingi na ndo maana nchi nyingi zipo mbioni kutaka kuchanja wananchi wao wote.Maambukizi yameshuka nchi nyingi zilizokuwa na strategy nzuri za lockdown na chanjo,lockdown zilifanya ugonjwa usisambae na chanjo zilipunguza watu kufa kwa huu ugonjwa au kulazwa hospital na ma oxygen.
Challenge ya Covid bado ipo na chanjo si dawa,ivo haimaanishi ugonjwa umeondoka ila ni kuwa watu wataweza kuishi nao bila kuwapelekesha na kuwalaza hospitali na hiyo ndo point ya chanjo sababu sio dawa.
Variant za ugonjwa bado zinaweza kuja na hii ni tabia ya virus kubadirika( mutate),wenye uwezo bado wanaendelea na research maabara,ili kuwahi kama kutakuja na mutation hatari zaidi na hii ndo uzuri wa sayansi 'we live with hope' na tunategemea wengine hawatakumbana na haya tunayokumbana nayo sie,wewe angaika na new world order sisi tutaangalia sayansi, na ukiumwa usisahau kwenda kwa hao hao.

Hongera kwa hoja zako hizo kwa kuonesha ufahamu wa hali ya juu kuhusu tafiti na chapisho za matokeo yake.

Umedai Huwezi ku copy andiko usilojua mwandishi aliandika akiwa na elimu gani ya anachokiandika na ana uelewa anaosema,ndo maana tukitaka kujua kuhusu dawa tunamsoma daktari sio fundi garage. "I challenge you" kuambatanisha machapisho ya kisayansi, unazoziamini kuhusu COVID-19 (chanzo, kinga dhidi ya maambukizi na chanjo) ili hoja yako hiyo iwe na nguvu kuaminika.

Pia ITAPENDEZA kama utathibitisha pasipo shaka kuwa nakala za machapisho kwenye mada hii ni za watu wasio na elimu na uelewa wa COVID-19.

Ukishindwa kufanya hivyo sina sababu ya kutokuita kijana wa kijiweni au bingwa wa udaku
 
Kweli knowledge is power, lakini sio kila andiko unalokutana nalo lipo sahihi.Huwezi ku copy andiko usilojua mwandishi aliandika akiwa na elimu gani ya anachokiandika na ana uelewa anaosema,ndo maana tukitaka kujua kuhusu dawa tunamsoma daktari sio fundi garage. Na ndo maana hata maandishi tunyokutana nayo,inabidi tuyadadisi kujua ukweli wake sio kubeba kila tunalokutana nalo alafu mkiulizwa jibu ni kuwa aloandika kafanyia research huu ni uvivu wa kufikiri.
Unazungumzia kuhusu mapambano ya Covid na unayabeza,hapa umebugi sana na umeandika vitu ambavyo huvielewi na si vya kweli,kama kawaida yako umefuatilia sehemu sio,ngoja nikuelezee ilivyokuwa.
"Lockdown" hakuna nchi ulaya ilosema lockdown sio njia sahihi sijui hii umeiokota wapi, Lockdown bado ni njia inayotumika ku 'contain' maambukizo. Nchi kama uingereza lockdown na chanjo ndo imekuwa mwongozo wao katika kufungua nchi,na mpaka sasa wanategemea kutoka lockdown full sababu asilimia kubwa (over70%) wana chanjo,na bado wanaendelea.
"Barokao" bado zinatumika na ni hitaji la kisheria kuwa nayo,ingawa kuna sehemu wanalegezea sabbu july 19 wanaambiwa mambo yatarudi kama zamani,kwani chanjo zimeonyesha ufanisi wa juu,hakuna serikali iliyoamua kuacha kuvaa barakoa,nahisi ili nalo umelitoa huko huko kwa ma freemanson na world order sites,lakin hali ni tofauti na mnavyoaminishwa.
"Chanjo hazithibitishi uwezo wa kutoka kinga" unajiita mstupe CV yako,kwa kuwa maoni yako hayana ushahidi wowote wa true scienve.lakini unayoandika ni tofauti na uhalisia.chanjo zimekuwa successfully nchi nyingi na ndo maana nchi nyingi zipo mbioni kutaka kuchanja wananchi wao wote.Maambukizi yameshuka nchi nyingi zilizokuwa na strategy nzuri za lockdown na chanjo,lockdown zilifanya ugonjwa usisambae na chanjo zilipunguza watu kufa kwa huu ugonjwa au kulazwa hospital na ma oxygen.
Challenge ya Covid bado ipo na chanjo si dawa,ivo haimaanishi ugonjwa umeondoka ila ni kuwa watu wataweza kuishi nao bila kuwapelekesha na kuwalaza hospitali na hiyo ndo point ya chanjo sababu sio dawa.
Variant za ugonjwa bado zinaweza kuja na hii ni tabia ya virus kubadirika( mutate),wenye uwezo bado wanaendelea na research maabara,ili kuwahi kama kutakuja na mutation hatari zaidi na hii ndo uzuri wa sayansi 'we live with hope' na tunategemea wengine hawatakumbana na haya tunayokumbana nayo sie,wewe angaika na new world order sisi tutaangalia sayansi, na ukiumwa usisahau kwenda kwa hao hao.
Real science is against lockdows,social distancing,face masks and the so called C-19 vaccine.Nimeambatanisha ample evidence katika bandiko langu hili👇



kuthibisha yale ninayo yasema,na wewe tupe evidence yako,otherwise nyamaza.Kubwata tu hakutatusaidia sana,unajidhalisha.Watu makini hawafanyi hivyo,they speak with evidence mkuu.No research no right to speak.
 
Back
Top Bottom