The Cuban Banking system has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media that all their money is gone from their accounts

The Cuban Banking system has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media that all their money is gone from their accounts

Hata sisi Mungu ametunusuru, utawala ule unfeendelea kuwepo, kutawala kwa sera3zile za Fedha yawekana yangetokea haya
No,no,no,no.Infact Magufuli angekuwepo,lililotokea Cuba would not have happened in Tanzania,kwa kuwa Banks zingebanwa sana.Now it is a likely scenario, kwa kuwa Banks ziko huru sana in Tanzania, na zinafanya zinavyotaka.

Pia kumbuka kwamba serikali yetu ipo infiltrated by Western Governments sana(ipo state captured),kiasi kwamba Western Governments ambazo in principle ndio NWO, can do almost anything they want in Tanzania.Magufuli was a no nonsense President mkuu,don't forget.
 
I know it,but this time they are successful.See below how well it is doing against the US Dollar.

USD to ZIG Yesterday
AmountYesterday at 9:14 pm
1 USD9.96 ZIG
5 USD49.78 ZIG
10 USD99.55 ZIG
50 USD497.77
These exchange rates won't last until the end of this year before the Zimbabwe currency plummets back to where it used to be. I'm keeping my words.
 
These exchange rates won't last until the end of this year before the Zimbabwe currency plummets back to where it used to be. I'm keeping my words.
Let us pray for them,tusiwatakie mabaya.
 
All paper Money (FIAT) eventually comes to its intrinsic value which is zero... Watu mnashangaa Cuba mnasahu USA (global Financial Crisis, Stock Market Crisis) n.k.; Mnasahau yaliyotokea Ugiriki mnasahau yaliyotekea England black Wednesday..., In short huu mfumo wa Pesa ni Desi iliyochangamka....
 
Wq
Waingie vitani wakina nani mkuu,hawa hawa wabongo wanaokubali kila kitu,I don't think so.Tena nadhani wakiona Cubans wamenywea, the next traial run itakuwa Tanzania.Sasa tukuone ukiingia vitani.
Watz wanachoweza ni ngono, uchawi na majungu tu
 
The Banking system of Cuba has reportedly collapsed.
Cubans are reporting via Social Media all their money is gone from their accounts, and all Automated Teller Machines (ATM's) have been emptied. This news is being heavily suppressed but it is getting out slowly.

At banks all over the country, angry mobs descended upon banks where Police tried to turn them away. Instead, the mobs overturned Police Cars and sent the cops running.

It was all for naught. Not only were the banks closed, they were empty too. People who got in found open vaults; the vaults weren't even broken into, but there was no cash in them at all.

The Cuban people have been left with no financial resources, they have no means of buying food,they are desperate; and they are afraid.

Many people are saying, "This is the final destination, this is where globalism wants to lead you, to the apocalypse."

Cubans were forced to adopt the digital banking system, but are now financially ruined, they have no recourses to turn to.
collaborating with your government and especially
but this is actually the means to total enslavement and dominance.

IT IS SAID THAT THE GOVERNMENT WILL OFFER THE CUBAN CITIZENS UNIVERSAL BASIC INCOME,BUT THAT WILL ONLY BE A MEANS OF ENSLAVING AND FURTHER DOMINATING THE CUBAN PEOPLE

MY TAKE:
If they have done this to Cuban People, what would stop them from doing it to the rest of us?

I think it is important for everybody to start taking some CASH out of the banks. Bankers are globalists, and if they did it in Cuba, I think they can try it here in Tanzania and everywhere else, It is just common sense.

I think they've done this on an island nation to get a sense of how bad the reaction will be. If it's manageable, I think they'll do it to all of us. And if the government is "in on it," what could any individual do? Surely nothing. I think everybody can now see that Governments are collaborators in the Globalist world's enslavement and dominance agenda.

Thankfully for us as humans, when there are enough victims, individuals become large groups, and we know what large groups of individuals can do to banks, bankers, and governments. Please keep those possibilities in your mind.

-Je, ni nini nyuma ya ziara ya rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba nchini Urusi? -Ripoti kutoka kwa maabara ya mawazo tunduizu ya "Cuba katika karne 21 (Cuba 21st Century) inasema kwamba hali ya Cuba iko karibu na ile ya Haiti: nchi iliyo nyuma sana katika Ulimwengu wa Magharibi; Pia anachambua jinsi uimla umetekelezwa katika Kisiwa hicho cha Cuba , hadi kufikia kuthibitisha kwamba kuanguka kwake "ni ukweli." Nikiwa na Juan Antonio Blanco Gil, rais wa maabara ya mawazo tunduizi ya "Cuba katika karne ya 21 (Cuba 21st Century". ..... uchambuzi wa kina kuhusu kisiwa hiki kilichopata kuikabili taifa kubwa jirani la Marekani kwa miongo 6 bila kutetereka, lakini Cuba sasa mambo yaelekea kwenda mrama na uchumi wake kuangamia

View: https://m.youtube.com/watch?v=cGa6ATmAR9s

Habari kwa kina; Ripoti mbili za hivi majuzi kutoka Cuba Karne ya 21 – “ Cuba : utawala wa mkono wa chuma, Cuba kufuata mkondo wa Haiti ” na “ Mkono wa Chuma Cuba ” zinafichua athari za utawala wa kimla kwa jamii ya Cuba. Ya pili inachambua vipengele vitatu ambavyo vimebainisha mfumo wa kiimla katika kisiwa hicho: maangamizi ya mali binafsi, ufisadi na uhamisho.

Mwandishi anaona kuwa kutaifishwa kwa mali, kukandamiza uhuru wa biashara na soko, ni jambo muhimu ambalo mwishowe - kwa kukosekana kwa mlinzi wa kufadhili mapungufu yake - kumesababisha mzozo wa mifumo mingi ambao umesukuma zaidi ya 80% ya watu Cuba katika umaskini uliokithiri.

Utafiti huo unatoa maelezo mafupi ya jinsi serikali ya Cuba katika nusu ya pili ya karne ya 20 ilinyakua utajiri wa nchi kuanzia Mei 1959, wakati, pamoja na Mageuzi ya Kilimo ya Kwanza, 40% ya ardhi iliyochukuliwa hawakupewa wakulima wadogo bali ilipewa Serikali . Kufikia 1975, serikali iliyojikita ktk shughuli za kilimo (latifundium) tayari ilishughulikia 75% ya ardhi bora kwa kilimo nchini . Kitu kama hicho kilipata tokea kwa kampuni za kibinafsi kabla ya mapinduzi ya 1959 kuhodhi ardhi iliyo bora kwa kilimo kabla ya baadaye kutaifishwa .

Mnamo 1960, kampuni kubwa 381 za viwanda na biashara zilitaifishwa , mchakato ambao ulimalizika mnamo 1968 na kuangamiza zaidi ya kampuni elfu 55 ndogo na za kati ambazo bado zilikuwa mikononi mwa waCuba.

Matokeo yake yanaonekana wazi. Cuba ilitoka kuwa moja ya nchi zenye kiwango cha juu cha maisha katika Amerika ya Kusini hadi moja ya nchi masikini zaidi.

Kwa hivyo, mwandishi anafafanua katika ripoti yake nyingine kwamba katika mwaka wa 2024, hali ya Cuba ni karibu na ile ya Haiti: nchi iliyo nyuma zaidi katika Ulimwengu wa Magharibi. Kikwazo cha kihistoria ambacho mwandishi amekiita Haitianization .

Mwandishi anahusisha chimbuko la Uasilia huu na ukweli kwamba serikali ya mapinduzi ilisambaratisha mashirika ya kiraia, kutokomeza mali ya kibinafsi, kukandamiza uhuru, na kutekeleza mfumo wa kiimla ambao raia, ambaye ni wakala hai na muhimu kwa chachu ya kuleta maendeleo ya kijamii, alitoweka.

Ukosefu wa ufanisi wa uchumi wa kati ulitambuliwa mnamo 2018 na Ofisi ya Mdhibiti wa Taifa : kati ya kampuni 402 zilizothibitishwa, 39% zilitathminiwa kuwa duni na 19% kuwa duni, na hasara ya zaidi ya peso milioni 2,000, mara mbili ya ile iliyogunduliwa mwaka jana.
Mwaka uliopita, wakati makampuni 369 yaliripoti hasara ya milioni 1,057.

Ripoti hiyo inajumuisha mfuatano wa matukio ya kashfa za ufisadi zilizoanza mwaka wa 1987 na rais wa Taasisi ya Aeronautics, Luis Orlando Domínguez Muñiz—aliyekuwa ameshikilia wadhifa wa katibu wa Umoja wa Vijana Wakomunisti na alikuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Kikomunisti. Chama (PCC).

Juhudi zote za kudhibiti ufisadi hazijafanikiwa. Lakini ufisadi ulikwenda kwa kiwango cha juu zaidi wakati katika miongo ya kwanza ya karne ya 21 utawala wa kikomunisti, kama ilivyotokea huko Venezuela, Urusi na nchi zingine ulimwenguni, ulibadilishwa kuwa serikali ya mithili ya kundi la mafia inayodhibitiwa na oligarchy.

Katika muktadha huu mpya, Ofisi ya Mdhibiti wa Taifa ni wasomi wasio na uwezo wa kweli wa kukagua uchumi mikononi mwa mbadhirifu mkuu wa utajiri wa taifa, ambao ni serikali mpya ya oligarchy. Uovu wake mkuu, jeshi linaloshikilia GAESA, haliwezi kukaguliwa na kufanya kazi kwa uwazi sio tu ya ofisi ya mtawala yenyewe yaani ikulu , lakini kwa mifumo yote ya kitaasisi na - mbaya zaidi - nje na dhidi ya masilahi ya watu.

Suluhu la mzozo uliopo linapaswa kuanzia katika kutambuliwa kwa Serikali ya kiimla kama sababu kuu ya kuenea kwa rushwa, kurejesha uhuru wa raia, kugawanya uchumi, na kuruhusu kuundwa kwa tabaka la kitaifa lenye tija.

Kuhusu mlolongo huo wa mchakato, mwandishi anathibitisha kuwa sababu yake kuu ni ya ndani. Hii ilianza kabla ya tawala za Joe Biden, Donald Trump na Barack Obama; kabla ya hatua za "mwanamageuzi" zilizotekelezwa na Raúl Castro mnamo 2008, Sheria ya Marekebisho ya 1966, na hata kabla ya kuvunjika kwa uhusiano wa kidiplomasia mnamo 1961.

Mlolongo wa kudondoka uchumi utaendelea kwa sababu haiwezekani kuuzuia bila kukata mizizi yake: mtindo wa kiimla na umaskini wa kudumu na mkubwa ambao umezalishwa.
Kuanguka kwa mfumo wa kiimla wa Cuba ni wa dhahiri kabisa. Jaribio la suluhisho la mzozo wa Cuba kupitia mabadiliko ya maafisa au mabadiliko yoyote ya urembo nakshi halitatosha. Uzoefu wa karne iliyopita unaonyesha kwamba, nchini Cuba, kwa sababu ya historia yake, utamaduni wake na hali yake ya sasa, ufumbuzi wowote wa mgogoro wa sasa unahitaji mabadiliko ya kimuundo.

Kinachojadiliwa ni, kwa vyovyote vile, njia (ya amani au ya vurugu) ambayo bila shaka itapita kwenye mfumo mwingine na iwapo jamii itakayojitokeza bado itakuwa ya kiimla (ingawa si ya kiimla kwa kiwango cha uliopo) au hatimaye ya kidemokrasia.

Mwandishi anaamini kwamba inatia moyo kwamba vuguvugu la kijamii lililoibuka hivi majuzi la Uhuru 5 dhidi ya Utawala wa Kiimla ambalo linapendekeza njia kuelekea mabadiliko kupitia uanzishaji upya wa uhuru wa kimsingi muhimu ili kuhakikisha kwamba mabadiliko yanayotokea ni ya kweli na yanaelekeza kwenye jamii ya kidemokrasia. na utawala wa kuzingatia sheria na uchumi wa soko huru.


Totalitarianism in Cuba - Cubasiglo21
 
Wa hati fungani nmb wawe Makini, chochote kinaweza tokea.
Cha msingi ni kuchimbia pesa kwenye majaba
Kitete kimeshaniingia,ngoja nikanunue shelf kubwa la kuhifazia hela niliweke ndani,kumbe bank usalama wa hela ni 50 kwa 100
 
Sasa wakuu tutaenda kusoma wapi kama wameifilisi cuba?
 
Sawa mkuu,lakini hata hapo you are not safe.Wao ndio wanao own hizo pesa(bank notes au coins),ingawa wewe ni custodian for a while.Unajua wanachoweza kufanya ni nini ili kutunyang'anya pesa.Ni kufanya all currency iwe Central Bank Digital Currency-Tanzania Central Bank Digital Currency for example, ,in that way, your bank notes or coins will become valueless,na hiyo digital currency yako iliyoko bank wanaichukua.It is as simple as that.

The only solution mkuu,but also in the short term, ni kuwa na commodities kama Gold,Silver etc.na assets.

REMEMBER THEIR SLOGAN:YOU WILL OWN NOTHING BUT HAPPY.
Yaani mkuu unarahisisha...watu tuna pressure aisee....yaani huu ni ukweli mchungu sana...
 
Waingie vitani wakina nani mkuu,hawa hawa wabongo wanaokubali kila kitu,I don't think so.Tena nadhani wakiona Cubans wamenywea, the next traial run itakuwa Tanzania.Sasa tukuone ukiingia vitani.
Nadhani pia yaweza kuwa maandalizi ya kucrash physical money na kuleta cashless economy , Maana hata serikali ya cuba wamesisitiza hilo.
Nigeria hii trial ya CBDC wamefanya mwaka jana na ilikuwa chaos vibaya mno .
Hii ndio ile alama ya mpinga kristo yenyewe , na inasemekana kila nchi duniani kwa sasa wana experiment CBDC , sasa itakuwa balaa .
Kuna nchi kama sweden wale hamna cash kabisa kwa sasa , na wameenda mbali mpaka kutengeneza microchips na kuzipandikiza kwenye mikono , hizo ndio mpesa zao na atm cards
Kuna kitu kinapangwa na hizi serikali zetu ni puppets Tu WA mfumo wa hawa globalists
 
Kitete kimeshaniingia,ngoja nikanunue shelf kubwa la kuhifazia hela niliweke ndani,kumbe bank usalama wa hela ni 50 kwa 100
Haisaidii sasa kwa mfano majuzi tuu hapa dollar imehadimika...na ww una mashillingi yako unahitaji dollar kwa matumiz yako nje ya nchi yako...hizo fedha ulizochimbia zitakusaidia nn kuipata dollar?
 
The Banking System will not collapse in our life time mkuu,it will only evolve.Infact their end game is the Central Bank Digital Currency,they are the ones introducing it,so it is their brain child,how can they not be part of it.Unawachezea Bankers wewe.The CBDCs is their final tool in controlling,ENSLAVING and dominating humanity [emoji817]%
Kuna sababu kwa nini hata hizi NIDA zililetwa , ni mbinu ya human control inayotumiwa na globalists , sovereign nations soon zitatowwka na kutakuwa na super global state moja na uongozi mmoja .
 
Yes,umeiweka vizuri sana in schematic form,thanks.Ni kweli kwamba Smart Cities are our final prisons,so it is time people realize this truth and get out of cities.
"15 munites cities " plan ya UN hiyo na world economic forum hiyo
" You will OWN nothing "
Kauli mbiu hiyo ya hawa Satanists na wamedhamiria kuikamilisha kabla ya 2050 , kila nikipitia plans zao ,
Future inatisha sana ,kiufupi ni global enslavement.
 
Hizo zote ulizozitaja ni NWO projects.Sasa Cuba inaelekea nayo ni NWO project,ndio maana hili limeweza kutokea.Hili limekuwa wazi sana baada ya kutokea scenario hii ambayo si ya kawaida kabisa.Somo hapa ni nini.Somo ni kwamba do not believe anything on face value.
Kuna uwezekano hata hizi conflicts na hostilities za mataifa au conflicts ni well staged na maigizo ili kucreate confusion na distraction watu wawe vipofu wa kinachoendelea kufanywa na puppet masters WA ulimwengu huu
 
These exchange rates won't last until the end of this year before the Zimbabwe currency plummets back to where it used to be. I'm keeping my words.
Kwa sasa hawajatoa makaratasi pesa yao sasa ipo backed na dhahabu ndo maana inaitwa Zimbabwe gold sio zim dollar tena,,,,,na kuishusha thamani inategemea na upepo wa bei ya dhahabu, wakitusua hapa na dalili zipo basi nchi nyingi zinaweza kufanya kama wao. BRICS wenyewe kwa sasa wanakusanya dhahabu wakiongozwa na China ,baadae pesa zao watazipa backup na dhahabu, tofauti na mfumo wa sasa wa kuprint makaratasi tu,,,dhahabu kushuka sana thamani ni ngumu toka enzi
 
Kitete kimeshaniingia,ngoja nikanunue shelf kubwa la kuhifazia hela niliweke ndani,kumbe bank usalama wa hela ni 50 kwa 100
Rais wa Gabon aliyepinduliwa na jeshi alikutwa na pesa mwenye mabegi, pia huyu ni freemason.

Wezi wa pesa za escrow walibeba pesa kwenye mashangazi kaja.
Na ndio watu wengi wa prime areas hawataki mazoea ya watu nyumbani kwao na ulinzi ni mkali,
Watu wamechimbia pesa chini.
Masikini ndio anatumia Bank,kutwa kukatwa na matozo juu
 
Kuna uwezekano hata hizi conflicts na hostilities za mataifa au conflicts ni well staged na maigizo ili kucreate confusion na distraction watu wawe vipofu wa kinachoendelea kufanywa na puppet masters WA ulimwengu huu
Vita kuu ya 1 na ya 2 zilitengeneza njia ya mambo mengi na taasisi nyingi za jamaa wa NWO,,,,kwa sasa unaweza ukadhani mrusi, mchina hapatani na marekani kumbe ni mpango tu na baadae ndo effect zake zitakuja kuonekana, watakwambia vita ya uchumi mara dola inapotezwa kumbe kinatengenezwa kitu kipya kuzidi kukandamiza watu, na China ni project kubwa ya NWO hizi teknolojia zinazofurahiwa kwa sasa baadae zitakua ndo minyororo yenyewe
Screenshot_20240516-224151_X.jpg
Screenshot_20240516-224043_X.jpg
Screenshot_20240516-224025_X.jpg
Screenshot_20240516-224006_X.jpg
 
Back
Top Bottom