The Cuban Banking system has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media that all their money is gone from their accounts

The Cuban Banking system has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media that all their money is gone from their accounts

M
Sawa kutumia Gold,Silver au hata Crypto Currency ni alternative nzuri,lakini how many people can use that alternative,very few.Mkuu kinacho shangaza ni kwamba serikali ya Cuba ni sehemu ya wizi huu.It seems mpango ni kuiba fedha za wananchi ili wawaingize kwenye social welfare waweze kuwa-control 💯%.

Mkuu I must admit that hii ni scenario ya kutisha sana.Lakini as I have indicated,this is a trial run to see what the reaction will be,wakiona watu wamenywea they will do it somewhere else and later all over the World.So let us be prepared for any eventuality.
Mambo ya ujana hayo, nationalization of properties
 
M

Mambo ya ujana hayo, nationalization of properties
Una-nationalize hata hela ya mtu mkuu,acha utani wewe,hiyo sio nationalization,ni outright day light robbery.Anyway, kwani hata nationalization nayo si ilikuwa theft by the state,wizi ni wizi tu, whether done by the state or by an individual.

Hivi unajua Capitalism,Socialism na Communism ni nini mkuu,ni mifumo designed on purpose by the NWO.Tuliingizwa chaka tukaambiwa ni stages of development, kumbe ni mifumo designed kabisa na wanaifanyia utafiti ili kuweza kujua mfumo upi utafaa in their One World Government.Yaani jamaa wanatufanya sisi mabwege kweli kweli.
 
Back
Top Bottom