The Daily Nation(Kenya): Like others, Tanzania's Magufuli is bound to fail

Moja ya tatizo kubwa linalozikabili nchi za kiafrika ni kuganga njaa kwa kutumia kivuli cha siasa. Baada ya uchàguzi viongozi wa vyama vya siasa huendelea kuzunguka huku na huko kwa wa mgongo wa siasa ili kuhalalisha utumiaji wa fedha za ruzuku kwa kile kinachoitwa kuimarisha chama au kukosoa yale yanayofanywa na serikàli. Lakini wajue kuwa ukosoaji wa serikali nje ya taratibu rasmi za kikatiba hauleti matokeo yoyote chanya kwa serikali iliyopo madarakani kujirekebisha. Ukosooaji bora baada ya uchaguzi hutakiwa kufanyika bungeni. Ndio maana Kafulila alipoamua kuikosoa serikali kuhusu escrow, alifanya hivyo bungeni na matokeo yake yanajulikana.
Hakuna uhuru usio na mipaka.
Professoer amejikita kuhusu uhuru wa kisiasa, mbona hayaoni mengine yanayofanywa na uongozi wa sasa? Anataka nchi iendelee kutawaliwa na nguvu mbili. Moja iliyoshinda uchaguzi na inaendeaha serikali na nyingine iliyoshindwa ikiendesha maandamano.
Haiwezekani zizi likatawaliwa na fahari wawili.
 
So that people like you who writes silly articles take notice
Silly is all relative. You might think I am silly by questioning your unabashed presidential boot licking, but others might think you have a more serious problem of infatuation.
 
Mkuu, nakubaliana na wewe 100%.

Lakini pia huyu profesa ni mnafiki au pengine ni profesa uchwara. Uingereza na Marekani hakuna demokrasia (nimelizungumzia hili swala kirefu siku za nyuma humu). Wana kiinimacho tu cha demokrasia lakini yeye haoni yanayotokea mlangoni kwake bali anaamua kuwavaa wanyonge wa kimatumbi. Mimi wapuuzi kama hawa wanaotembea na nembo za uprofesa siwapi ahueni hata kidogo. Siku zote nitawashushia vipondo.
 
They should be given due process, not fired as a publicity gimmick. I noticed you deftly avoided mentioning Escrow. Isn't that more costly than some petty crooks siphoning off funds?
 
Kusimama kwa miguu yako na kuwa na fikra huru ni mambo ya msingi sana ktk maendeleo ya mwanadamu yoyote dunia.

Nchi ya Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe,na kwa mikono yetu wenyewe na tusitegee eti tunaye Mjomba huko nje aje kutusaidia.Tutakuwa tunajidanganya.

Aluta continua
 
Dah...kidogo tuwe na Gavana wa BOT kutoka Kenya[emoji13] [emoji13]
 
Day dreamer
 
Umemuuliza swali la msingi sana
Nadhani ukoo wenu wote wanaweza kuwa na akili kama zako, nisingependa kukutusi lakini unapokunya sebleni ukiwa na akili timamu, kisha ghafla wakaja wageni..utagundua kuwa.wewe ni.........
 
Vipi, unataka tukufanyie machepta na wewe uingie? Buku saba sio haba! Jua kali mkuu.

Just kidding, Sir. But I agree with you, great minds think alike. So it is not a coincident that jingalao and I agree on these issues.
Hahaha!!
 
Silly is all relative. You might think I am silly by questioning your unabashed presidential boot licking, but others might think you have a more serious problem of infatuation.
Silly is all relative. You might think I am silly by questioning your unabashed presidential boot licking, but others might think you have a more serious problem of infatuation.

That is your problem, all I know he there to govern, and his leadership is approved by over 90% of Tanzanians, accept and move on.
 
Iz he the british foreign minister.Again how iz he the british foreign minister?Boris Johnson iz the big dumbass on thz planet.Next tym he will say Africa iz a motorcycle not a country he he he I wonder wat kind of history and geography he learnt in school. That professor should teach hiz minister before faced our prezidaa
 
Some ar too dumb n retarded to b alive in an ordinary world. He iz loosing hiz attitude n ground. The fact iz he do nt know and that iz the way it iz. No intellect,only passion n more likely baseless judgement.
 
They should be given due process, not fired as a publicity gimmick. I noticed you deftly avoided mentioning Escrow. Isn't that more costly than some petty crooks siphoning off funds?
Nahisi tuko levels tofauti za ufahamu. Yaani corruption ya bandarini, kwenye containers elfu kadhaa na meli zaidi ya 60 kutoweka wewe unaita ni petty crooks! Do you have any reference standard for such nomenclature? Then you need me talk about escrow, why? The president is more informed on this than you. He has all the apparatus for knowing the truth than you. Importantly, the past regimes cultivated a good number of thieves. Now, where or which to start with cannot be dictated by your opinion.

Tulia kama baba, mama, kaka, dada, mjomba atakumbwa kwa miaka 5 hii, vumilia na uwashauri kutafuta kazi halali. waambie pesa haipatikani kwa ujanja, it's performance.
 
Kifyatu unatumia nguv nyingi kumuelewesha mtu aliyeamua kutoelewa. Acha nao,maendeleo ya serikal ya Magufuli ndo yatakua na majibu sahihi.
 
VIPI KUHUSU MTU ANAYEJIITA ANA-Phd na NI RAIS wa nchi alafu anajua kuwa SADAMU HUSSEIN ni rais wa KUWAIT or LIBYA???
 
Labda mwenzangu ni genius na wengine tuliishia darasa la saba. Ok, ame-tackle corruption ya bandarini, many kudos for that. Lakini mbona corrpution ya BOT, Escrow, Tanesco/IPTL haigusi?

Hiyo haiusiani na dictates ya my opinion, but by the fact that he does not want to bite the hand that feeds him. Publicity stunts are one thing, but real fundamental change is quite another.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…