BinSalum7
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,733
- 3,847
Msuluhishaji wako bado yupo?Pole Sana Mr,unapita nilipopita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msuluhishaji wako bado yupo?Pole Sana Mr,unapita nilipopita.
Mbona unatumia nguvu kubwa kupingaHuyo kashatapeliwa, siku aanze kuwa na huduma mbovu aone wateja watakavyomkimbia hata akusanye mchanga ujazo wa fuso hatoboi
Mbona unatumia nguvu kubwa kupinga
Unaposikia huko ulaya na Marekani wanazungumza kuhusu mtu kuuza nafsi yake ili kupata mafanikio na fame huwa unaelewa nini ?Siku zote utajiri wa kiroho, kichawi, kishetani na kishirikina Husikika tu kwa waafrika maskini choka mbaya.
Kama kuna utajiri wa kishetani kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi watu kama kina Mo Dewj, Bakhressa, Elon musk, Bill gates, warren Buffet, Jeff Bezos na matajiri wengine wakubwa.
Au huyo shetani na yeye pesa zake ni za kuunga unga?
Hujaja same kwa wapare utabadili kauli yakoHakuna watu washirikina kama Wanyantuzu wa Baridi na Simiyu,Wasukuma (wote),Waha na Wakurya...weka mbali na watoto!
Kitabu gani hicho mkuu..Why vitabu vya dini vnasema tajiri kuingia peponi ni kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano
Mbona unajihisi sana ,lisemwalo lipo kama halipo linakujaNitashangaa sana huu uzi tusipotajwa wakinga ni wachawi 😹
kwamba niwachawi sana..?Hujaja same kwa wapare utabadili kauli yako
Kuna utajiri wa aina mbili,Kuna dark wealth and light wealth,vitabu vya dini vimeupinga utajiri wenye element za giza na umafia.Why vitabu vya dini vnasema tajiri kuingia peponi ni kama ngamia kupita kwenye tundu la sindano
mkuu mwendelezo saa ngapi?Kuna utajiri wa aina mbili,Kuna dark wealth and light wealth,vitabu vya dini vimeupinga utajiri wenye element za giza na umafia.
Kusikia unaweza kusikia hata uongo.Unaposikia huko ulaya na Marekani wanazungumza kuhusu mtu kuuza nafsi yake ili kupata mafanikio na fame huwa unaelewa nini ?
Nilikuwa nachukua kwa dealer then nauza kwa 480 pic na 960 picMkuu vocha ulikuwa una bank kama wakala mkuu au unanunua kwa wakala mkuu....
Bila shaka ulikuw enzi hzo vocha za airtel zinauzwa 468 pic
Na wewe unathibitisha vp kwamba hicho kinachosemwa ni uongo?,Kama huna uhakika na kitu it's better to stay in the middle and keep learningKusikia unaweza kusikia hata uongo.
Sasa utathibitisha vipi hicho ulicho kisikia kina ukweli?
Hakuna kiumbe kimekaa mahali kinauziwa nafsi, Halafu kinatoa mafanikio.
Braza shusha stori basi usitufanye tuwe na alostoNa wewe unathibitisha vp kwamba hicho kinachosemwa ni uongo?,Kama huna uhakika na kitu it's better to stay in the middle and keep learning
Nashusha mzigo soon.....Braza shusha stori basi usitufanye tuwe na alosto