Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajiri wa mwisho Dunian n nan mkuu?Kwenye list ya matajiri kuna yule tajiri wa kwanza hadi wa mwisho.
Hata kwenye Top ten, kuna wa kwanza na wa mwisho, wa kumi.
Nimekusoma,itabidi nitupie kwny post ya kwanza na kwny new post ili ukikosa huku unacheki huku.Kwenye post ya kwanza mkuu
Uliowataja unaamini ni walokole(upande wa Mungu)eti?..... mafanikio yoyote yana kiwango na hatua ya ulipo kulingana na unavyotumikia upande uliopo... Na haiwezekani kupanda ghafla... kuna hatua za kupitia...Kama kuna utajiri wa kishetani kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote Uwazidi watu kama kina Mo Dewj, Aliko Dangote, Bakhressa, Elon musk, Bill gates, warren Buffet, Jeff Bezos n.k?
Unasema "utoto" halafu wewe unayedai kuna utajiri wa kishetani ni kapuku maskini choka mbaya!!
Mtumie huyo shetani akupe utajiri, kama ni rahisi hivyo.
Hii ndo bei ya sasa hv.....Nilikuwa nachukua kwa dealer then nauza kwa 480 pic na 960 pic
Umesababisha Nikanunue niyatazame vzuriTanzania dream unabishana na watoto waliopanda magari ya njano wakapewa mtaji wakakuta kwao mambo safi hawajawahi kukutana na changamoto haya ya upande wa pili hawayajui mimi nimeshuhudia kwa macho yangu haya maji ya kunywa ya kununua dukani yanawaka moto mpaka chupa inaungua
Akili yako inakutosha mwenyewe pambana na hali yako.Kil lakheri hapo kitandani
Kazi kweli kweli, unasoma hadithi zakipuuzi pamoja na kukwambia sifuatilii huo upuuzi unaniweka mtu kati.Huyu ndo mchawi anaechukua pesa kwenye droo za mbao,hampendag watu wapate mwanga
Pimbi
Mimi naongelea kwenye top ten lists kama ya Forbes.Tajiri wa mwisho Dunian n nan mkuu?
One day utupe kisa cha maji kuwaka motoTanzania dream unabishana na watoto waliopanda magari ya njano wakapewa mtaji wakakuta kwao mambo safi hawajawahi kukutana na changamoto haya ya upande wa pili hawayajui mimi nimeshuhudia kwa macho yangu haya maji ya kunywa ya kununua dukani yanawaka moto mpaka chupa inaungua
Hatua katika mafanikio zipo ndio.Uliowataja unaamini ni walokole(upande wa Mungu)eti?..... mafanikio yoyote yana kiwango na hatua ya ulipo kulingana na unavyotumikia upande uliopo... Na haiwezekani kupanda ghafla... kuna hatua za kupitia...
Tigo ilikuwa 472.5,vd 470 air ilikuwa inacheza 465-468,halo ni 460Hii ndo bei ya sasa hv.....
Mimi ni dealer na huwa tunawauzia 475 adi 477.5 inategemea na mzigo.
Kwa dealer ulikuwa unachukua kwa sh ngapi
Mambo haya siyo mepesi kihivyo.... kuna mengi yaliyomo.....pambana utamzidi tu ....Kama utajiri wa namna hii upo, kwa nini usiutumie kwa nguvu zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa kama kina Mo Dewji?
Ona haka kajinga,sasa ujue waganga wengi tu wanamiliki mijengo yao hapa town na huko vijijin wana mifugo na mashamba ya kutoshaHao waganga wa kienyeji watumie huo uganga wao kwa nguvu zako zote wawazidi matajiri wakubwa kama kina Aliko Dangote, Bakhressa, Mo Dewji na wengineo.
Hao waganga ndio makapuku nambari moja maskini choka mbaya wanaishi kwenye vibanda vya udongo.
Halafu wajinga kama wewe unaamini mganga huyo ndio ataweza kukupatia utajiri!!!
Maisha si rahisi hivyo wewe!!
Kama ww ni mfanya biashara basi uwenda unajua hizi code unapinga kuepuka siri kuvuja tu.Huyo kashatapeliwa, siku aanze kuwa na huduma mbovu aone wateja watakavyomkimbia hata akusanye mchanga ujazo wa fuso hatoboi