The dark side of business

Rich dady poor dady
 
Mkuu, huwezi kua na experience ya kila kitu, hivo haipaswi kumbishia mtu mwenye experience ya jambo fulani ambalo wewe huna experience nalo.
Tutahakikisha vipi na kuthibitisha vipi hiyo experience ni ukweli na si uongo?

Nikikwambia nina experience ya kwenda kwenye sayari ya Mars kwa kupaa na ungo utakubali tu bila uthibitisho?
 
Tutahakikisha vipi na kuthibitisha vipi hiyo experience ni ukweli na si uongo?

Nikikwambia nina experience ya kwenda kwenye sayari ya Mars kwa kupaa na ungo utakubali tu bila uthibitisho?
Mkuu, kuna vitu huwezi vithibitisha kwa maandishi mpaka uingie field, vinginevyo utawaona wapuuzi tu wanaovisema.
 
cc kwa Xi jinping, asibishe vitu asivovijua anachukulia kirahisi rahisi tu kuwa ukitaka kufanikiwa tafuta eneo lenye mzunguko wa biashara..Hivi mtu kamiliki 400M in the bank account huyo kwamba huyo ni mjinga hajui mambo ya biashara? anakuja na hoja za kishule shule kirahisi...
apitie hii ajifunze kwa watu
 
100%
 
Hakika ambao awajui ndo wanabisha kuna kampuni ya wazungu kuna jamaa walitumwa mayai ya bundi walipoyapata walipewa ml 40 sasa wapi yanaenda haijulikani hiyo watu wakae kwa kutulia wajifunze elimu isiyofundishwa darasan
Wenyewe wanadhani ni rahisi rahisi..mtu analeta hoja za kishule shule sijui good customer care, sijui management, sijui location.. Hivyo vitu ni vipo tu unapotaka kufungua biashara lazima uangalie hivyo vitu.

Wanaposhindwa kujua ni kuwa hapa tunaongelea sustainability ya hiyo biashara/kampuni .e.t.c kuna mambo mengi ya kiroho lazima yahusike.
 
Wewe utapigwa seriously 😀😀😀
 
Leo nimetulia nimesoma huu UZi vzr kabisa japo sio mtu wa kifatilia mambo ya biashara na uchawi uchawi....

Ila hapa kuna ushauri nataka niwape ndgu zangu...
Hivi mnaonaje huyu jamaa Infropreneur tuka mkamata alafu tukampeleka kanisani tukamfungia kile chumba cha watu wanaungama alafu tunamuacha yeye na pasta mmoja wazichape...

Baada ya hapo mnanikabidhi mimi nampeleka msikiti pale masjidi mtoro tukamwadabishe....

😀😀😀😀
 
Anaebisha kwanini asimtafte mleta mada ampatie namba ya mzee ngurumo au mtalaam yeyote . Aanze kazi na yeye upande wa dark side ata kama ya kutafta mafanikio kwa njia hio, ndo uwe utafiti wake kuwa hii ni ishu uwa ya uongo au kweli.

Kisha alete mrejesho wake. Sio watu wakuletee tu uthibitisho, ni ishu ya wewe kuutafta uthibitisho

Au mpaka upewe namba za shetani ukutane nae stendi
 
The issue is very simple.

Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina. Kwa nini waafrika watanzania wasiutumie kwa nguvu zao zote wawazidi matajiri wakubwa duniani kama kina Elon musk, Jeff Bezos, Billgates, Warren Buffett n.k

Au huyo shetani na yeye pesa zake ni za kuunga unga?

Toeni makafara ya kutosha tuone kama mtaweza hata kumfikia Mo Dewji kwa utajiri.

Kwa nini muandikie mate na wino upo?

Kama kweli kwa hakika, Kuna utajiri wa kishetani kwa nini mtu hautumii kwa nguvu zake zote awazidi matajiri wakubwa duniani kina Elon musk?

Au basi angalau afikie level zao kwa huo utajiri wa kishetani.
 
Huyo mzee ngurumo kwani yeye hataki kuwa tajiri?

Huyo mzee ngurumo kama ana nguvu za kitajiri kweli, Kwa nini azitumii kwa juhudi zake zote awazidi matajiri wakubwa kama kina Mo Dewji Bakhressa?

Tumieni huo utajiri wa kishetani kuanzisha makampuni makubwa, real estates na Viwanda vikubwa vya uzalishaji ndipo nitajua huo utajiri wa kishetani upo kweli na unafanya kazi kweli.
 
Sasa unaambiwa wao uchawi wao mkubwa mkuu..
Kwani kwanini wewe mbishi hvo..
Kwani wewe ulivokua mdogo ulikua dini gani ...?
 
Sasa unaambiwa wao uchawi wao mkubwa mkuu..
Kwani kwanini wewe mbishi hvo..
Kwani wewe ulivokua mdogo ulikua dini gani ...?
Kwanza hizi habari za utajiri wa kishetani zipo kwenye mentality za waafrika maskini choka mbaya.

Kama kuna utajiri wa kishetani kwa nini huutumii kufanikiwa kama kweli upo?

Kwa nini unafanya kazi? Kwa nini unatafuta hela kwa jasho?

Kwa nini usikae na hayo matunguli yalete pesa automatically kila siku bila kujihangaisha kufanya kazi?

Mimi mtu akiweza kuanzisha kiwanda kikubwa cha uzalishaji kwa uchawi tu, bila kutumia mkopo wowote wa kibenki au taasisi yeyote ya kifedha, Au akiba yake yeyote ya fedha.

Yani Atumie uchawi tu kujenga kiwanda. Hapo ndio nitajua kwamba kweli kuna utajiri wa kishetani.

Unless otherwise, Hizi ni stori za kusadikika tu, hakuna utajiri wa kishetani.
 
Kwa nilivyo nikisha sikia mtukasema yeye ni Atheist. Uwa na mheshimu mtazamo wake na sisiwezi kubishana nae
View attachment 3174476

Kwani hio nayo hua ni dini au tabaka na lina waanzilishi wake na kuna vitabu vyao wanavyosoma
Hata wewe ulizaliwa Atheist bila kuwa na imani yeyote ile ya Mungu au miungu.

Mpaka pale ulipo aminishwa na wazazi wako kwenye kuamini Mungu na miungu.

Hivyo kila binadamu alizaliwa Atheist Bila kuwa na imani yeyote ile. Hadi pale alipo aminishwa na kukaribishwa kwenye imani za Mungu au miungu.
 
Utakuwa haujamuelewa mtoa mada...Mtoa mada hajaomgelea utajiri wa shetani...anaongelea Kinga za kiroho na mbini unapofanya business...Hao matajiri wakubwa we Ushawahi Fanya nao kazi?una uhakika hawafanyi chochote...Kawaulize customer care wa call centre wanaofanya .ye mak
ampuni makubwa ya simu wahindi Huwa wanafny
a inada Gani.?
Wahindi hauwwzi kuwatenga na Ibada zao....Waafrika we kama haujawahi kwenda Kwa mganga Wala kanisani ....Jua wazazi wako wanatambika.....au walikutambikia
 
Hakuna kinga za kiroho, mbona watu wanafilisika kila mara na hizo kinga unazodai zipo haziwasaidii chochote?

Au hizo kinga zina kinga nini?

Maana hata matajiri wakubwa biashara zao kuna muda huyumba na kupitia ups and downs.

Sasa hizo kinga zina kinga kitu gani haswa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…