pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Tanzanian Dream nakuomba sana tena sana hicho kitabu iwe siri ya wachache tu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Tanzanian Dream nakuomba sana tena sana hicho kitabu iwe siri ya wachache tu,
Huko mbele kuna codes kuhusu hao ng'ombe si za kitotoHao ng'ombe wawili haikuwa baba na mama ako kweli ??
Mkuu Tanzanian Dream,Huko mbele kuna codes kuhusu hao ng'ombe si za kitoto
Au nyama za "msaada" za WATURUKIUshawahi jiuliza wale ng'ombe huko watokako mpaka kuletwa pale huwa wamefanyiwa nini?
Inauma sanaaa alafu ukute ndio unayoitegemea hadi na familia yako😭😭Binafsi nilishawahi kufanya biashara namuelewa sana mtoa story. Hakuna kitu kinampa stress mfanyabiashara kama biashara ilikuwa inafanya vizuri halafu ghafla ikaanza kufilisika.
Anasema kwa niaba ya wengi huku.
Ebu fafanua vZuri Ya mimi niwatangazie naanza biashara fulani ety mtu akiona husda ndo Sitafanikiwa how come??Mwamba, Kuna mtu aliwahi kuniambia ukiweza kufanya dili lolote la kiutafutaji, the best ni Lile unaloweza kulifanya in a confined environment... Akasema yeye ana shamba la mifugo ndani ya uzio wa ukuta, na amefanikiwa.
Logic yake anasema Macho ya watu Yana husda, na ndiyo mwanzo wa UCHAWI.
Ww umetengeneza bil ngapi tajiri yanguKama unahitaji kutengeneza pesa kupitia simu yako smartphone nicheki inbox nikupe maelekezo
nenda ukapate fursa mkuuWw umetengeneza bil ngapi tajiri yangu
Noma sana!nenda ukapate fursa mkuu
Noma sana ndugu. Usingizi hupati usikuInauma sanaaa alafu ukute ndio unayoitegemea hadi na familia yako😭😭
Ingia inbox ndugu yanguNoma sana ndugu. Usingizi hupati usiku