Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Haya sasa piga kura hapo kati ya kamala na trump nani kashinda Mimi hapa naenda na Trump 100% he just COOKED kamala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly 💯 brother Trump will winTokea tulipo pigwa za uso hapa bongo sina imani na mwanamke kwenye uongozi, Trump kapiga kwenye mshono hapa View attachment 3092937
Exactly 💯Trump has won the debate.
The debate was 3 in one, Trump was debating 3 people at once, moderators and Kamala Haris.
Trump won the debate and is going to win the election.
😁🤣😁Kamala kushinda uraisi, Labda mambo yaharibike sana.
Maneno ya mzee wetu yule wa Msoga.
Mzee wetu mbona kimya kingi hivyo, hasikiki kabisa siku hiziKamala kushinda uraisi, Labda mambo yaharibike sana.
Maneno ya mzee wetu yule wa Msoga.
Ndio maana nakwambia labda mambo yaharibike sana.Mzee wetu mbona kimya kingi hivyo, hasikiki kabisa siku hizi
Amerika kumwamini mwamke kwa madaraka makubwa kiasi hiki sidhani.
Dogo wahi shuleni.View attachment 3092933
Haya sasa piga kura hapo kati ya kamala na trump nani kashinda Mimi hapa naenda na Trump 100% he just COOKED kamala
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Trump has won the debate.
The debate was 3 in one, Trump was debating 3 people at once, moderators and Kamala Haris.
Trump won the debate and is going to win the election.
Nampenda KamalaView attachment 3092933
Haya sasa piga kura hapo kati ya kamala na trump nani kashinda Mimi hapa naenda na Trump 100% he just COOKED kam
Anaendelea na execution ya mission baada ya mambo kuharibika sana!Mzee wetu mbona kimya kingi hivyo, hasikiki kabisa siku hizi
Amerika kumwamini mwamke kwa madaraka makubwa kiasi hiki sidhani.
Kuna kila namna mambo yalisha haribika ila bado hio sana, au ndio mkakati unaendelea wa kutengeneza mambo ya haribike!Anaendelea na execution ya mission baada ya mambo kuharibika sana!
Nawaoenda USA, huwa wapitishi yoyote mradi apite , tena akipita akiwa sivyo hawachelewi kumtoa iwe kwa heri ama kwa shari, ila kwa kamala haita kuwa mbali na kama ilivyokuwa kwa HillaryNdio maana nakwambia labda mambo yaharibike sana.
USA Linapokuja swala la sekta nyeti za uongozi hasa Uraisi, Historia yenyewe inajieleza vizuri.
Hata Hillary Clinton alipigwa na kitu kizito kichwani..😄
Ungewasikiliza na kutafakari nina uhakika wa 100% kura yako ungempa Kamala Harris. Mwanamama amefanya vyema mnoo kwenye mdahalo.Sijawasikiliza ila nampa Trump tu.