Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wanaweza lakini kwa nchi kama USA ambayo ina maadui wengi kuliko nchi yoyote dunia, kumpa nchi mwanamke ni vigumu, Israel kipindi cha Golda Mier kwenye Yom Kipper war walichezea kichapo hata kama walishinda ile vita ila jeshi walilipa gharama kubwa sana , Israel walipata taarifa za kiintelijensia kubwa vikosi vya Egypt vinashambulia Israel muda wowote inatakiwa tuanze sisi kuwashambulia PM alikataa ombi hilo akasubiri ruhusa ya Kissinger GS wa USA it was to lateTrump is next president of united state no way...Wamarekani hawajawqhi mpa nchi mwanamke German walimpa Putin akamtumia vizuri leo kimeumana unafikiri cia watakubali hilo litokee kwao?
Hakuna Mungu anayepanga kifo.Hakuna cha bahati, kama tumekubali kifo ni mipango ya Mungu na ndie aliemchukuwa magufuli basi tukubali kuwa Mungu huyu huyu ndie alipanga samia kuwa raisi
Kwahyo nani anapanga kifo?Hakuna Mungu anayepanga kifo.
Huyo Mungu hayupo.
Hakuna.Kwahyo nani anapanga kifo?
SHIDA ni wale majasusi wabobezi wakila Jimbo ambao huamua nani awe RAIS ,wale ndo huchukua dira ya marekani wako 600Urais wa Marekani kwa miaka ya karibuni huwa upo wazi hadi kura zitapopigwa...
Sababu ni ipi hasa Kwa mtazamo wako?sina imani na mwanamke kwenye uongozi,
Amerika kumwamini mwamke kwa madaraka makubwa kiasi hiki sidhani.