The debate has ended. Who won? 🤔

The debate has ended. Who won? 🤔

Nani kashinda debate kati ya kamara na trump?


  • Total voters
    60
Kuna kila namna mambo yalisha haribika ila bado hio sana, au ndio mkakati unaendelea wa kutengeneza mambo ya haribike!
But mzee ni wa kucheza kwa tahadhari sana, kama paka anavyo cheza na panya baada ya kumkamata kabla ya kumla.
Timu tatu ,chuma,mkojani na msoga!
Mkojani aliisahasau team chuma akaiamini team soga,sasa soga gang imemgeuka kiaina wakawekwa pembeni,baada ya kuwekwa pembeni tu poteza poteza ,Teka Teka imezidi Hadi sasa!

Tusemeje!!?

Wanataka mambo yaharibike sana kama soga alivyosema kipindi kile!

Damu ya Mohamedi kibao ni chungu Hadi EU itatoa tamko!
 
View attachment 3092933
Haya sasa piga kura hapo kati ya kamala na trump nani kashinda Mimi hapa naenda na Trump 100% he just COOKED kamala
Trump is next president of united state no way...Wamarekani hawajawqhi mpa nchi mwanamke German walimpa Putin akamtumia vizuri leo kimeumana unafikiri cia watakubali hilo litokee kwao? No
 
Back
Top Bottom