The debate has ended. Who won? πŸ€”

Nani kashinda debate kati ya kamara na trump?


  • Total voters
    60
Mzee wetu mbona kimya kingi hivyo, hasikiki kabisa siku hizi

Amerika kumwamini mwamke kwa madaraka makubwa kiasi hiki sidhani.
Ndio maana nakwambia labda mambo yaharibike sana.

USA Linapokuja swala la sekta nyeti za uongozi hasa Uraisi, Historia yenyewe inajieleza vizuri.

Hata Hillary Clinton alipigwa na kitu kizito kichwani..πŸ˜„
 
Ndio maana nakwambia labda mambo yaharibike sana.

USA Linapokuja swala la sekta nyeti za uongozi hasa Uraisi, Historia yenyewe inajieleza vizuri.

Hata Hillary Clinton alipigwa na kitu kizito kichwani..πŸ˜„
Nawaoenda USA, huwa wapitishi yoyote mradi apite , tena akipita akiwa sivyo hawachelewi kumtoa iwe kwa heri ama kwa shari, ila kwa kamala haita kuwa mbali na kama ilivyokuwa kwa Hillary
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…