AbouZakariya
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 1,646
- 2,378
Watanzania 80% hatujui kiingereza, sasa ukiweka mada kwa lugha hiyo ni kwamba unawanufaisha wale wanaojua ambao ni 20% . Nimeipenda tatizo lugha.
Naam mkuu uko sahihi nami naliona hilo,twamuomba mleta uzi kama kuna tafsiri yake katika lugha yetu ya taifa ni bora sana.