Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hammaz leo ikitokea mauaji katika maandamano yanayoendelea US lazima watu watahoji aina yademokrasi nautendaji wao
Leo UCHINA kama wataandamana wakafa haitakua sawa ila watu watasema UCHINA hawana demokrasia ndio maana
Kabla yakutaka kuilinganisha UCHINA na US(WESTERN)mnatakiwa muangalie aina yamifumo inayotawala katika mataia husika kwanza
Katika mataifa ambayo hakuna DEMOKRASIA kama UCHINA unalalamikia kama watu hawaandamani kweli ?!
Halafu pia hua nalaumu sana kwamba licha yamfumo wao ambao wala sio wademokrasia mtu kama Missile of the Nation hua hajawahi kuongelea UCHINA katika nyanja nzurib
UCHINA Ipo vizuri kisiasa(kwamfumo wao) kijeshi kijamii mpaka KIUCHUMI kulikomataifa mengi ambayo yanafuata siasa zakidemokrasia ndani ya ULAYA pale Mpaka nje sasa jamaa haoni ?!
Kunamuda inatakiwa tuongelee uhalisia wamambo yalovyo kuliko kueka mahaba mbele napropaganda.
Leo UCHINA kama wataandamana wakafa haitakua sawa ila watu watasema UCHINA hawana demokrasia ndio maana
Kabla yakutaka kuilinganisha UCHINA na US(WESTERN)mnatakiwa muangalie aina yamifumo inayotawala katika mataia husika kwanza
Katika mataifa ambayo hakuna DEMOKRASIA kama UCHINA unalalamikia kama watu hawaandamani kweli ?!
Halafu pia hua nalaumu sana kwamba licha yamfumo wao ambao wala sio wademokrasia mtu kama Missile of the Nation hua hajawahi kuongelea UCHINA katika nyanja nzurib
UCHINA Ipo vizuri kisiasa(kwamfumo wao) kijeshi kijamii mpaka KIUCHUMI kulikomataifa mengi ambayo yanafuata siasa zakidemokrasia ndani ya ULAYA pale Mpaka nje sasa jamaa haoni ?!
Kunamuda inatakiwa tuongelee uhalisia wamambo yalovyo kuliko kueka mahaba mbele napropaganda.