The difference between the west and the Chinese societies in responding to racism acts

The difference between the west and the Chinese societies in responding to racism acts

Wachina mara kibao wameandamana mamilioni kwa mamilioni kupinga waliyofanyiwa na wajapani miaka 80 iliyopita, mbona hapo waliweza kuandamana?.

Hoja kuwa wachina huwa hawaandamani hiyo siyo kweli

Kuandamana wanaweza sana sema hawako Interested

Hapa chini hii ni picha wachina wakiandamana kulaani matendo ya zamani ya wajapani dhidi yao

View attachment 1471834
Mbona hii kitu ishaelezwa juu na mdau mmoja, nikuulize Mkuu jamaa haijaeleweka alivyoeleza!? Kiufupi ni kuwa yaliyofanywa na Wajapan kwa Wachina yalifanya hadi Serikali ya Uchina kuyafumbia macho maandamano (ni very exceptional case). Serikali ya China si kama serikali unazozishihudia Magharibi mzee (China hata kupigana tu mtaani ni janga utakalojutia maishani, sembuse kuingia mtaani kwa makundi ya watu). By the way, hivi Africa ni nchi gani imeingia mtaani kuandamana, kuonesha tu kutoridhishwa na unyanyasaji wa mtu mweusi!?
 
Mbona hii kitu ishaelezwa juu na mdau mmoja, nikuulize Mkuu jamaa haijaeleweka alivyoeleza!? Kiufupi ni kuwa yaliyofanywa na Wajapan kwa Wachina yalifanya hadi Serikali ya Uchina kuyafumbia macho maandamano (ni very exceptional case). Serikali ya China si kama serikali unazozishihudia Magharibi mzee (China hata kupigana tu mtaani ni janga utakalojutia maishani, sembuse kuingia mtaani kwa makundi ya watu). By the way, hivi Africa ni nchi gani imeingia mtaani kuandamana, kuonesha tu kutoridhishwa na unyanyasaji wa mtu mweusi!?
Nilitaka kuvunja hoja kuwa wachina huwa hawaandamani kabisa, tumeona kuwa siyo kweli (wewe umesema kuwa hiyo ni exceptional case).

Naona umeulizia nchi gani ya Africa wameandamana, jibu ni Nigeria
 
Nilitaka kuvunja hoja kuwa wachina huwa hawaandamani kabisa, tumeona kuwa siyo kweli (wewe umesema kuwa hiyo ni exceptional case).

Naona umeulizia nchi gani ya Africa wameandamana, jibu ni Nigeria
Unaelewa kwa nini waliandamana kuhusu Wajapan (unaifahamu taswira ya Japan ilivyo kwa serikali ya Uchina), maana yawezekana neno exception limekupa shida!
Nigeria, good!! So nchi nyingine za Africa nao wanasupport ubaguzi wa rangi kwa vile hawajaandamana?
 
Back
Top Bottom