The difference between Turkana and Singida

Hii ni analysis ya kijinga kabisa na muonekano wa weak mindset ya Re Dimmer (yes he has a very dim mindset)
The data sets of both regions don't support hiyo analysis yako ya uchawi.
Acha kujitetea.
Turkana ni semi-arid wala sio total-arid.
Turkana nir semi-arid kama Dodoma na Singida zilivyo semi-arid lakin kwann ninyi mfe njaa kizembe???!!!!!
 
Support your nonsense with facts. Tz is poorer than Kenya and your opinions diarhoea is just a consolation that won't change facts
You are richer in nominal GDP but you are poorer on life standards and social welfare hilo hupingi.
 
Acha kujitetea.
Turkana ni semi-arid wala sio total-arid.
Turkana nir semi-arid kama Dodoma na Singida zilivyo semi-arid lakin kwann ninyi mfe njaa kizembe???!!!!!
Rainfall ya less than 200mm na ya over 550mm ni same?
Nugu kabisa
 
Rainfall ya less than 200mm na ya over 550mm ni same?
Nugu kabisa
Issue ni kuwa ninyi mmekosa mipango.
Halafu nyie sio total desert bali ni semi desert.
Mngekua mnajielewa mngechukua measures km kuanzisha irrigation agriculture(kilimo cha umewagiliaji na mngeanzisha kilimo cha kisasa mngeona km mngekufa njaa.
Egypt ni total desert lakin wana kilimo cha kisasa hawafi njaa sembuse wewe????
Hvyo ndivyo ht Dodoma na Singida huanzisha vilimo vya umwagiliaji maana maeneo ya mengi hayafikiwi na mvua za kutosha kwasababu Singida na Dodoma ni semi-arid.
Kubalini tu KUWA NYIE MUCH KNOW BUT NOTHING TRULY YOU KNOW HAMPIGWII EEEH.
 


Chagua habari itayokufaa hapo, recently hiyo.
Hamna wakulima kutajwa kuwa wamelipwa SI mazao Yao mliwarudishia ati ni low quality afu Kama yameanza kuota...comedy in Tz keeps me alive. Week nyingine nipate raha 😂😂😂
 
Hamna wakulima kutajwa kuwa wamelipwa SI mazao Yao mliwarudishia ati ni low quality afu Kama yameanza kuota...comedy in Tz keeps me alive. Week nyingine nipate raha [emoji23][emoji23][emoji23]
Source hyo hapo kuwa mazao yanauzwa na hakuna mazao yaliyorudishwa kwa wakulima bali serikali waliyashikilia pasi na kuwalipa.
Au ww unasikia sasa hv wakulima wanalalamika??!!!
Now they are preparing for the new cultivation buddy we kaa na assumptions aisee.
 
Nyie ni Nchi iliobarikiwa kwa mvua ila nashangaa vipi mnakula Kinyesi eti njaa???bure kabisa SI wacha tuingie huko tuwaonyeshe jinsi ya kulima...Kenya produces more Maize than Tanzania ila consumption yetu ipo juu Tena Sana inabidi tuagize toka nje...Mkenya wa kawaida anakula chakula kingi na bora kuliko Mtanzania mla kinyesi.😭😭😭
 
Mkiambiwa nyie much know but nothing you know mwakataa.
Waleta news za 2015 aisee are you serious ????!!!!!!
Weka yako ya 2019 Tz ikiongoza pande hip na Kama ipo unitag nikucheke.
 
Mimi huingia jukwaa la siasa najua ninachokisema...usifikiri hapa Kuna Mkenya mjinga Kama wewe.
 
Kwa hiyo kumbe source yako ni upinzani wa Tanzania, asee
Hivi Ushawahi ona upinzani wakisifia serikali au kuongea mazuri ya nchi.
Mimi huingia jukwaa la siasa najua ninachokisema...usifikiri hapa Kuna Mkenya mjinga Kama wewe.
 
Unaanza kujitetea kijana.
Halafu habari ya kula kinyesi ni ya familia moja ya Bukoba tena mdogo mtu kwa kushindwa kuvumilia kukaa muda mrefu bila kula ndio anaokota kinyesi cha mbuzi anakula mpk atapokuja kaka yao na chakula ndio wanakula.
Wala sio ukanda mzima.
Lakini the whole poorly Turkana watu wanakufa njaa mtu anakaa siku tatu kawaida hajala hadi mifugo inateketea maskini.

Kama mngekua mna production kubwa msingeweza kuwa na balaa njaa.
Embu tumia akili kijana.
Nyie mpo 40s millions halafu kuna wengine wanakufa njaa hiyo consumption inakuaje kubwa???!!!!
Embu acha utani bhana acha uzwazwa think before blabbering man.
Tz km tuna produce kdogo inamaana consumption isingetosheleza maaana tunakimbilia kuwa 60 millions kivp tu produce kdogo Halafu consumption iwe kuwa meeted??!!!!
Usikute ww ni kale kafala mwenzie na Egineer yule mkenya mwezio alosema kuwa Turkana wanakufa njaa kwasababu ugali ipo ndogo halafu mchele upo wa kutosha kisa wanapenda sana ugali.

Acha hzo najielewa bhana usinijaze fikra za kipuuzi.
 
Embu ni County hapa Kenya so Rudi darasani.

Kinyesi ni chakula huko Bukoba vile vile Turkana Kuna njaa na sio tafadhali na sitawatetea.

ATCL bado inasafirisha minofu Qatar ama vile imekamatwa inawabidi wakulima wasafirishe kwa migongo?
 
Mimi huingia jukwaa la siasa najua ninachokisema...usifikiri hapa Kuna Mkenya mjinga Kama wewe.
Wee acha ufalaa.
Usinifananishe mm na akili za nyie kuku broiler.
Kuna kafala kenzako kanajiita Engineer kalisema USA ni continent.
Ndio unifananishe na akili zenu????
Ktk hayo majukwaa ya siasa kuna blunder na pumba nyingi wanaongea na kujazana ujinga humo wakichukua habari za Zitto Kabwe wakitumia km reference.
Mjomba angu mpendwa "REDEEMER" alikuletea chanzo cha habari kuwa sasa hv Korosho zinauzwa inamaana wakulima wanalipwa hela zao.
Na hiko chanzo cha habari ni cha Ayo sio cha serikali.
Na chanzo hiko hiko cha habari kiliripoti habari kipindi wakulima wanalalamika kutokulipwa korosho.
Asa ww nn unahitaji???!!!
Mwisho wa wakulima kulalamika hawakulipwa ni march mwaka huu baada ya hapo hakuna malalamiko yaliyosikika.
Tumia akili we zwazwa.
Au ndio sawa na yule mjinga mwenzako alosema Amunike kafukuzwa bila kulipwa ilhali amesaini mkataba na kuna sheria za kuvunja mkataba????!!!!!
 
Embu ni County hapa Kenya so Rudi darasani.

Kinyesi ni chakula huko Bukoba vile vile Turkana Kuna njaa na sio tafadhali na sitawatetea.

ATCL bado inasafirisha minofu Qatar ama vile imekamatwa inawabidi wakulima wasafirishe kwa migongo?
Mbona unaongea upupu mazeeh!!!!????
Ushaishiwa hoja??!!!
Tz familia moja ndio ilitangazwa mdogo mtu akila kinyesi cha mbuzi kwa kukosa kuvumilia kukaa muda mrefu pasi na kula.
Sio km hawapati chakula laa bali wanachelewa kupata chakula na hawapati chakula ktk right proportion (balanced diet).
Ila sio Bukoba nzima.
Ila Kenya Turkana nzima wafa njaa hadi mifugo yafa njaa.
NILETEE RIPOTI KUWA TZ UKANDA MZIMA WA BUKOBA UNAKULA KINYESI???
NASUBIRI JIBU.

Mkikosa hoja mwaropoka tu mtakavyo
 
Usimjibu tena mkuu.
 
America ni Continent you canis lupus.

Hip nyingine umeandika ni pumba Kama hauna ushahidi wa kuonyesha wakulima walilipwa.

Jukwaa la siasa limejaa wajinga na waongo ama inamaanisha Nini?? So Watanzania na ,it to kabwe ni Wadanganyika??

Unajielewa ama unajibu tu umfurahishe bwana yako redeemer ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…