The difference between Turkana and Singida

The difference between Turkana and Singida

Kum****keeee daaah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yani U.A.E iliyo total-arid ina donate chakula kwa semi-arid??!!!!!!!!!!!!!
Asa jiulize nchi ya jangwa huko bara arab wana survive vp kuliko hawa wakenya kiasi cha kuwafadhili chakula wakenya ilhali wakenya kuna maeneo ya kikuyu highlands kuna fertile land ya kutosha?????!!!!!!
Ndio maana nakwambia hawa bongolala hawa broo.
Ni aibu kubwa sana.
 
Unatoa misaada wakati nyumbani kwako hakuna kitu.
UAE, a desert country donates relief food to Kenya, a country where it rains. Should we say Kenya is mismanaged?
Vile sisi tulitoa misaada huko Mwanza [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona unaongea upupu mazeeh!!!!????
Ushaishiwa hoja??!!!
Tz familia moja ndio ilitangazwa mdogo mtu akila kinyesi cha mbuzi kwa kukosa kuvumilia kukaa muda mrefu pasi na kula.
Sio km hawapati chakula laa bali wanachelewa kupata chakula na hawapati chakula ktk right proportion (balanced diet).
Ila sio Bukoba nzima.
Ila Kenya Turkana nzima wafa njaa hadi mifugo yafa njaa.
NILETEE RIPOTI KUWA TZ UKANDA MZIMA WA BUKOBA UNAKULA KINYESI???
NASUBIRI JIBU.

Mkikosa hoja mwaropoka tu mtakavyo
Mtakula kinyesi tu. Hapa Turkana mifugo na watu wanakufa njaa kwa sababu ya ukame, kumbuka mifugo wanategemea nyasi so Kama hamna mvua hamna nyasi, watakufa pamoja na wafugaji...Ni upungufu wa kiakili kea wa Turkana kwa kuwa wanaishi kizamani, hawataki kutulia mahala pamoja na wengi wamekataa masomo kinyume na Wala kinyesi walio Nchi yenye rotuba na mvua nyingi...sisi hatukatai Kuna upungufu nyie mnajaribu kuficha Hali yenu ngumu ya utapiamlo...nyinyi mnasema Bora lishe na sio lishe Bora.
 
America ni Continent you canis lupus.

Hip nyingine umeandika ni pumba Kama hauna ushahidi wa kuonyesha wakulima walilipwa.

Jukwaa la siasa limejaa wajinga na waongo ama inamaanisha Nini?? So Watanzania na ,it to kabwe ni Wadanganyika??

Unajielewa ama unajibu tu umfurahishe bwana yako redeemer ?
NINYI NIWAAMBIE MAFALA MNABISHA.
KAMA USA CONTINENT NORTH AMERICA IITWAJE WORLD AU????
WE MBONA FALA KUPITILIZA.!!!!!???
NINA MASHAKA NA ELIMU YA KENYA.

EMBU SOMA ARTICLES ZA WORLD ATLAS KUTOKA KWA WAZUNGU MNAOWASHABIKIA WANAKWAMBIA USA IS A NATION INSIDE A NORTH AMERICA CONTINENT;

The United States lies within the central portion of the continent of North America, and it is a federal republic comprising of 50 states. The US also comprises of Washington D.C, which is the capital city, five major self-governing territories, and several possessions. The US has a surface area of 3.8 million square miles, and the population was estimated at 325,365,189 in 2017.

7 continents of the world
The widely recognized all the 7 continents are listed by size below, from biggest to smallest.
ASIA includes 50 countries, and it is the most populated continent, the 60% of the total population of the Earth live here.
AFRICA comprises 54 countries. It is the hottest continent and home of the world's largest desert, the Sahara, occupying the 25% of the total area of Africa.
NORTH AMERICA includes 23 countries led by the USA as the largest economy in the world.
SOUTH AMERICA comprises 12 countries. Here is located the largest forest, the Amazon rainforest, which covers 30% of the South America total area.
ANTARCTICA is the coldest continent in the world, completely covered with ice. There are no permanent inhabitants, except of scientists maintaining research stations in Antarctica.
EUROPE comprises 51 countries. It is the most developed economically continent with the European Union as the biggest economic and political union in the world.
AUSTRALIA includes 14 countries. It is the least populated continent after Antarctica, only 0.2% of th

SOMA HAPO NAONA USHAANZA KUWA KICHAA SIKU HZ.

HALAFU KUHUSU KOROSHO NIMEKWAMBIA UMESHAWAHI SIKIA WAKULIMA WAKILALAMIKA KUWA HAWAJALIPWA TOKA MARCH IISHEEE??!!!
UNAJUA VITU VINGINE NI SIMPLE TU VYA KUVIMALIZA.
HAO WA JUKWAA LA SIASA WAJAZWA KASUMBA ZA KABWE NDIO UNAWAAMIN WW???
BASI WAAMBIE WALETE RIPOTI INAYOONESHA MALALAMIKO YA WAKULIMA KUTOKULIPWA.
FOOL YOU!!!!
 
Toeni hiyo excuses ya ukame, acheni ubishi na uzembe,
Kwanini msitumie hili jukwaa kuwapa makavu serikali yenu badala yake mnatumia kupost ukumbafu usio na tija yoyote kwa taifa lenu.

"UAE, a desert country donates relief food to Kenya, a country where it rains. Should we say Kenya is mismanaged?"
Mtakula kinyesi tu. Hapa Turkana mifugo na watu wanakufa njaa kwa sababu ya ukame, kumbuka mifugo wanategemea nyasi so Kama hamna mvua hamna nyasi, watakufa pamoja na wafugaji...Ni upungufu wa kiakili kea wa Turkana kwa kuwa wanaishi kizamani, hawataki kutulia mahala pamoja na wengi wamekataa masomo kinyume na Wala kinyesi walio Nchi yenye rotuba na mvua nyingi...sisi hatukatai Kuna upungufu nyie mnajaribu kuficha Hali yenu ngumu ya utapiamlo...nyinyi mnasema Bora lishe na sio lishe Bora.
 
Vile sisi tulitoa misaada huko Mwanza [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanza hamkutoa msaada bali mlitoa rambi rambi za Tsh 150 millions km rambi rambi na hazikusaidia kitu maana ht nyumba ya baba angu haina thamani ya chini km hiyo hela 150 million tz shillings ni Mara mbili unusu ya hyo mlioleta km rambi rambi.
Mbadala wake ikachukuliwa kurekebisha vituo vya afya.Yani sio kujenga bali kurekebisha vituo vya afya
 
Toeni hiyo excuses ya ukame, acheni ubishi na uzembe,
Kwanini msitumie hili jukwaa kuwapa makavu serikali yenu badala yake mnatumia kupost ukumbafu usio na tija yoyote kwa taifa lenu.

"UAE, a desert country donates relief food to Kenya, a country where it rains. Should we say Kenya is mismanaged?"
Kaka yani nilikua nikijua Kenya kuna watu wanajielewa kumbe ni mafala kiasi kuiita USA ni continent haki ya Mungu Yesu anawaona hawa jamaa.
 
Unatoa misaada wakati nyumbani kwako hakuna kitu.
UAE, a desert country donates relief food to Kenya, a country where it rains. Should we say Kenya is mismanaged?
No we should say the world follows a strict pecking order... Tunapewa na UAE(wealthy country) afu Kenya(middle income) inagawia Tanzania (LDC)... Yani Desert(UAE) inapatia Semi desert(Kenya) afu semi desert inapatia Nchi ya Maziwa na Asali(Tanzangiza)... So which country is mismanaged according to the information I have fed you? 😂😂😂
 
Failed state kenya,
No we should say the world follows a strict pecking order... Tunapewa na UAE(wealthy country) afu Kenya(middle income) inagawia Tanzania (LDC)... Yani Desert(UAE) inapatia Semi desert(Kenya) afu semi desert inapatia Nchi ya Maziwa na Asali(Tanzangiza)... So which country is mismanaged according to the information I have fed you? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanza hamkutoa msaada bali mlitoa rambi rambi za Tsh 150 millions km rambi rambi na hazikusaidia kitu maana ht nyumba ya baba angu haina thamani ya chini km hiyo hela 150 million tz shillings ni Mara mbili unusu ya hyo mlioleta km rambi rambi.
Mbadala wake ikachukuliwa kurekebisha vituo vya afya.Yani sio kujenga bali kurekebisha vituo vya afya
Bora mlipokea, otherwise mngekataa ama mregeshe...bure kabisa
 
Failed state kenya,

That is what I meant exactly...kumbuka Tz anapata mvua kote na bado wanaanchi wanakula KINYESI. Hapa Kenya tunajaribu kulima kwa kutumia maji na si mvua so somethings can fail due to weather conditions ila nyinyi ni uvivu na ujinga.
 
Unataka kutudanganya kuwa watanzania wote wanakula ujinga kama kunyan,
Ile siku mtaacha excuses ya eti jangwa ndio njaa itaisha kenya.
Keep talking about past news huku nduguzo wakiteseka na njaa.
Eti mnajaribu, wapi galana kulalu,
That is what I meant exactly...kumbuka Tz anapata mvua kote na bado wanaanchi wanakula KINYESI. Hapa Kenya tunajaribu kulima kwa kutumia maji na si mvua so somethings can fail due to weather conditions ila nyinyi ni uvivu na ujinga.
 
No we should say the world follows a strict pecking order... Tunapewa na UAE(wealthy country) afu Kenya(middle income) inagawia Tanzania (LDC)... Yani Desert(UAE) inapatia Semi desert(Kenya) afu semi desert inapatia Nchi ya Maziwa na Asali(Tanzangiza)... So which country is mismanaged according to the information I have fed you? [emoji23][emoji23][emoji23]
Embu sema msaada gani muhimu mlitoa kwetu????
Hamjawahi toa msaada wa chakula wala wa kimatibabu wala wa kifedha kuendesha miradi ya kiuchumi Bali mlitoa rambi rambi ya hela ambazo hata mama angu anaweza kudonate eti 150 tshs.
 
Unataka kutudanganya kuwa watanzania wote wanakula ujinga kama kunyan,
Ile siku mtaacha excuses ya eti jangwa ndio njaa itaisha kenya.
Keep talking about past news huku nduguzo wakiteseka na njaa.
Eti mnajaribu, wapi galana kulalu,
Anachekesha huyu jamaa anasema sisi twala kinyesi nimempa muda alete evidence hapa kuwa kuna ukanda wa Tz unaokula kinyesi ila hajaleta hadi sasa anashikilia bango tu.
 
Unataka kutudanganya kuwa watanzania wote wanakula ujinga kama kunyan,
Ile siku mtaacha excuses ya eti jangwa ndio njaa itaisha kenya.
Keep talking about past news huku nduguzo wakiteseka na njaa.
Eti mnajaribu, wapi galana kulalu,
Ile siku mtaacha kuficha uwazi was Hali yenu ndio mtaacha kula Kinyesi for supper.
 
Anachekesha huyu jamaa anasema sisi twala kinyesi nimempa muda alete evidence hapa kuwa kuna ukanda wa Tz unaokula kinyesi ila hajaleta hadi sasa anashikilia bango tu.
Kwani kinyesi kililiwa Uganda ama Tz?
 
Back
Top Bottom