The earth is flat and is not rotating

The earth is flat and is not rotating

Wewe ukiwa kwenye ndege ukitaka kwenda 🚽 kama choo kiko uelekeo tofauti na inakoelekea huwa unachelewa kufika msalani, satellite huwa inazungukunga angani au haizunguki? Obviously inazunguka inaporushwa kutoka duniani kwenda orbit 💫 yake huwa inaingia kwa speed kama ile ya dunia kwa zinakuwa kama mabasi mawili yanatembe side by side speed ya kufanana wale walioko kwenye basi wanaona kama yamesimama tu
 
Wewe ukiwa kwenye ndege ukitaka kwenda 🚽 kama choo kiko uelekeo tofauti na inakoelekea huwa unachelewa kufika msalani, satellite huwa inazungukunga angani au haizunguki? Obviously inazunguka inaporushwa kutoka duniani kwenda orbit 💫 yake huwa inaingia kwa speed kama ile ya dunia kwa zinakuwa kama mabasi mawili yanatembe side by side speed ya kufanana wale walioko kwenye basi wanaona kama yamesimama tu

Sasa ukiwa ndani ya ndege sawa na ukiwa juu ya mgongo wa ndege effect ni sawa ?

Wataalam wa anga wanapochunguza vilivyopo angani wakiwa kwenye vituo vyao wanawezaje kuvichunguza na kuviona wakati vituo vyao vipo kwenye dunia ambayo iko kwenye motion au na vyenyewe/ zenyewe zina speed sawa na dunia hivyo kuwa sawa na mabasi mawili sambamba yenye speed sawa ?
 
Sasa ukiwa ndani ya ndege sawa na ukiwa juu ya mgongo wa ndege effect ni sawa ?

Wataalam wa anga wanapochunguza vilivyopo angani wakiwa kwenye vituo vyao wanawezaje kuvichunguza na kuviona wakati vituo vyao vipo kwenye dunia ambayo iko kwenye motion au na vyenyewe/ zenyewe zina speed sawa na dunia hivyo kuwa sawa na mabasi mawili sambamba yenye speed sawa ?

Same speed!!! Vitu vyote vilivyoko duniani na kwenye atmosphere yake vina move at the same speed same momentum. Vituo vya anga vya utafiti ni moving station viko fixed kwenye orbit na vinazunguka kwa speed sawa na ya dunia. Na ndio maana unaviona kama viko stationary
 
Biblia naona jamaa alienda chaka kidogo, pembe nne za dunia haimaanishi dunia ni flat, kwani si kuna north,west,east na south!! Afu anavosema jua na mwezi vikasimama, hiyo ni lugha ya picha tu... Kama haamini dunia ni round akasome kwenye bibllia
Isaya 40:22 "Anakaa kwenye kiti cha enzi juu ya duara ya dunia, nao watu wakaao ndani yake ni kama panzi"

Yaani hata mimi ni panzi? Sikubali!!!
 
Problem ni kwamba watu wanafikiri dunia ni duara kabisa kama mpira, no! Yaani ni kwamba shape yake ni duara sawa lakini sio round ile ya mpira kama picha ya mpira jamani. Ingekuwa na duara hilo kama tungesawazisha milima yote (mfano kilimanjaro wenye futi kama 5000 hivi kwenda juu) na mabonde yote ambamo kuna maji na kusikokuwa na maji (mfano lake Tanganyika lenye zaidi ya kilometa moja na nusu kwenda chini). Yaani shape generally ni round lakini kwenye sphere hiyo kuna milima na mabonde ila kutokana na ukubwa wa kipenyo cha dunia, milima hiyo ni kama kipele tu usoni!!

Ila hata mimi theory ya mtoa mada imeni-confuse sana! Hasa hapo kwenye usafiri wa ndege. Kama dunia ni duara route ya ndege flani (mfano kutoka London kwenda Western Sydney) isingekuwa ileile wakati wote kwa sababu destination point (mfano sydney) ingekuwa inahamahama kutokana na kuzunguka kwa dunia na kutokana na ukweli kwamba ndege inakuwa ilikuwa juu wakati dunia inazunguka na hivyo haikuzunguka nayo.
 
Nimependa hoja za fikra tofauti. Mtoa mada kahoji kitu tusichotegemea.....ila tunadhani tunajua. Katutoa nje ya boksi.

Kwamba inabidi kurudi 'darasani' kutafuta majibu.

Kuhusu kusafiri kwa ndege......
Tukiwa ndani ya 'atmosphere' basi sisi tunakua tunafanya reference ya movement kwa dunia. Dunia imetushikilia ndani ya atmosphere kwa nguvu zake za mvutano. Hadi utoke nje ya dunia ndio utakua unaweza kuwa na mwendo kwa kulinganisha na dunia
 
Mkuu Dreson4, mleta maada ana ushawishi kiasi chake lakini pia nakubaliana na maelezo yako
naomba nikuulize swali la kizushi tu
kwahiyo hivyo vifungu vya biblia vina walakini au mleta maada ndio hajavisoma na kuvielewa vizuri ??

.made in mby city.

usilete udini katika sayansi,hii ni mada nyingine wangu ndugu.
 
kwanza kabisa nampa hongera mtoa mada,kwa kutuleta katika mjadala mpana sana wa kisayansi.

Pili naomba nijielekeze katika mada. Kama dunia anasema ipo flat,inamaana ipo mfano wa meza au mche mstatili,ikatokea mtu yupo kwa mguu kutokea mashariki kwenda magaribi, itafikia mwisho mwa magaribi ambapo akiendelea kutembea atadondoka.hapa anachotaka kutuaminisha si sahihi,ni ngumu mtu kutemabea juu ya ghorofa bila kuanguka.(kutoka na kua na sifa ya kuwa bapa)
 
Mkuu Dreson4, mleta maada ana ushawishi kiasi chake lakini pia nakubaliana na maelezo yako
naomba nikuulize swali la kizushi tu
kwahiyo hivyo vifungu vya biblia vina walakini au mleta maada ndio hajavisoma na kuvielewa vizuri ??

.made in mby city.

usilete udini katika sayansi,hii ni mada nyingine wangu ndugu.
 
usilete udini katika sayansi,hii ni mada nyingine wangu ndugu.

Mkuu Imany John mbona unakurupuka kuandika bila hata kufikiria kidogo ?
hivi unajua maada inahusu nini ?
kabla ya kunikurupukia mimi, kwanini usingeanza na huyo mleta maada ambaye kaweka reference za kwenye bible ?
hivi kunaweza kukawa na kitabu cha dini bila dini ?

.made in mby city.
 
Mkuu Imany John mbona unakurupuka kuandika bila hata kufikiria kidogo ?
hivi unajua maada inahusu nini ?
kabla ya kunikurupukia mimi, kwanini usingeanza na huyo mleta maada ambaye kaweka reference za kwenye bible ?
hivi kunaweza kukawa na kitabu cha dini bila dini ?

.made in mby city.

swali lako umelenga nini kama sio udini? yule kaambatanisha tu kama nyenzo za kumsaidia kujenga hoja,sasa kwa wasio amini biblia unafikiri atakuwa kawashawishi kitu gani? ndio maana nikakuelekeza kuwa ulichokiulizi ni mada mpya.

umeamka salama lakini?
 
Yaani hata mimi ni panzi? Sikubali!!!
Hahaha! mtanzania naona lugha ya picha inakuchanganya kidogo! imeandikwa "watu kama panzi" sio "watu ni panzi" LOL! wazungu wanaiita "simile" bahati mbaya kiswahili nilikua nadodge darasa mwalimu alikua anatandika sana siikumbuki inaitwaje...
 
hahaha dunia ikiwa flat ukitaka kwenda marekani unaweza tokea australia na kuzunguka kulia ukafika, au ukatokea hapa bongo ndege ikaenda kushoto na ukafika.. sasa ingekua flat wa australia si wangefika mwisho wa dunia afu waanguke... hahaha au kama ni bahari basi si maji yangemwagika mwisho wa dunia yakaisha manake ingekua ka meza.. hahaha hadi najihisi naongea pumba
 
Hoja nzuri sana, imejengwa vema ktk namna ya kuchallenge nadharia zilizopo!!

Critique: Kama dunia ni flat na co duara, JE NANI AMEWAHI FIKA KWENYE NCHA ZA HII FLAT??
AU PEMBEZON MWA HYO DUNIA FLAT???
Make Dunia kama ni flat tutegemee kuona KINGO zake kama ilivyo kwa upanga, au kiwanja cha mpira au la vingnevyo!!
Sura halisi ya dunia hii flat umbile lake lipoje????
 
swali lako umelenga nini kama sio udini? yule kaambatanisha tu kama nyenzo za kumsaidia kujenga hoja,sasa kwa wasio amini biblia unafikiri atakuwa kawashawishi kitu gani? ndio maana nikakuelekeza kuwa ulichokiulizi ni mada mpya.

umeamka salama lakini?

mkuu Imany John, hivi unazani kuwa mimi ni-mwamini wa biblia au vitabu vya kidini ?
mkuu mimi kitu chochote nitakachoona cjaelewa vizuri basi lazima niulize huwa sijari wewe utasema nini
lengo la kumuuliza vile mkuu Dreson4 ni kutaka kujua kaelewa vipi maada nzima, maana ukiangalia vizuri mkuu Dreson4 alijibu baadhi ya eneo la maada na kuacha bonge la nafasi unanswered

nimeamka salama kabisaa mkuu ila ughaibuni baridi balaa

.made in mby city.
 
"earth is not rotating"
Umekuja na mfano wa ndege kuhalalisha hoja hii, so nitajibu kwa mfano kama huu
Imesemwa hapo juu ukiwa ndani ya basi limefungwa vioo je nzi anayeruka mle ndani una mchukuliaje
Pili ukiwa ndani ya ndege unakwenda chooni kwa hoja yako utachelewa kufika iwapo umekaa nyuma na choo kipo mbele?
Je unajua ukiwa ndani ya ndege kubwaa na ikawa na uwanja wa mpira wa miguu mtacheza mpira kama kawaida na ndege inapaa?

"the earth is flat and not round"
Picha zipo tele wala haina mjadala,
Na kama haipo round hadi karne hii ya dunia kama kijiji haijagundulika tu juo mwisho wake? au kama inapembe hazijaonekana hadi leohii na kama zinafichwa kwa faida gani na yanani? vipi kuhusu gprs na makila kitu yanayoongoza mitambo ya ramani ya dunia kutumia fomula ya dunia kuwa around?

Dini
Hili sidhani kama lina mashiko sana maana tuna zaidi ya dini milioni moja duniani, na dini maana yake ni imani isiyoweza kuthibitika
 
hahaha dunia ikiwa flat ukitaka kwenda marekani unaweza tokea australia na kuzunguka kulia ukafika, au ukatokea hapa bongo ndege ikaenda kushoto na ukafika.. sasa ingekua flat wa australia si wangefika mwisho wa dunia afu waanguke... hahaha au kama ni bahari basi si maji yangemwagika mwisho wa dunia yakaisha manake ingekua ka meza.. hahaha hadi najihisi naongea pumba

Mkuu kuna watu wana reasoning za ajabu sana aisee
 
mkuu Imany John, hivi unazani kuwa mimi ni-mwamini wa biblia au vitabu vya kidini ?
mkuu mimi kitu chochote nitakachoona cjaelewa vizuri basi lazima niulize huwa sijari wewe utasema nini
lengo la kumuuliza vile mkuu Dreson4 ni kutaka kujua kaelewa vipi maada nzima, maana ukiangalia vizuri mkuu Dreson4 alijibu baadhi ya eneo la maada na kuacha bonge la nafasi unanswered

nimeamka salama kabisaa mkuu ila ughaibuni baridi balaa

.made in mby city.

Nia yako ni nzuri,ila kuna tatizo humu jamvini,kama unafwatilia mada hii utakuja kuliona tatizo husika.
 
Back
Top Bottom