The earth is flat and is not rotating

The earth is flat and is not rotating

Mkuu kwanza lazima ujue definition ya EARTH ndio utaelewa kwa rahisi kwanini umbali wa safari za ndege haubadiliki japokua dunia nayo inazunguka kwa kasi zaidi. Kwa ufupi tu nikwamba vyote vilivyo ndani ya ndani za layer za EARTH, huzunguka nao hiyo EARTH bila kuathirika na uzungukaji huo. Kama unatoka nje ya EARTH ndio utakupambana na athari za mzunguko huo wa kasi. i.e Ukitoka nje ya layer zote za atmosphere kabisa ndio hutakwenda sambamba na kasi ya Dunia a.k.a EARTH.


View attachment 217822
attachment.php

hili swala la dunia kuzunguka ni IMANI zaidi kuliko kuwa ujuzi.watu wamekaririshwa kwa ushahidi wa kuunga unga ili dunia izunguke.
ukweli ni kwamba busara ikitumika na kuchunguza mwenendo wa mwezi na nyota ukiziangalia katika nyakati maalumu ukweli ni tofauti.
Lakini pia chunguza hata mawingu yanayoonekana kwa karibu, wakati tunaambiwa dunia na vilivyomo kwenye anga la dunia huzunguka lea speed sawa na uelekeo sawa.
ukiangalia mawingu mwenendo wake ni kinyume na hili la dunia kuzunguka pamoja na vilivyomo kwenye anga.
mawingi yana mwenendo ambao unabadilika wakati mwingine ukiwa kinyume na kinachosemwa mzunguko wa dunia
tufikiri zaidi ya tulivyoambiwa bandugu...
 
Embu nilale maana naona nimeanza kuleweshwa na hii story
 
bado umesizi mkuu utashtuka lini?

Haya we uliyejiunga juzi unakuja na ujinga wako kichwani unataka u-infect watu huo uchizi.... Nyie ndo watu mnarudisha nyuma nchi hii, yani wewe ka 1000 hivi wangepungua south africa tungekua tushaitoa kiuchumi, 1000tu hata si zaidi ya hapo... Zaidi ya hapo tutakua tunaifukuzia South Korea kabisa
 
hili swala la dunia kuzunguka ni IMANI zaidi kuliko kuwa ujuzi.watu wamekaririshwa kwa ushahidi wa kuunga unga ili dunia izunguke.
ukweli ni kwamba busara ikitumika na kuchunguza mwenendo wa mwezi na nyota ukiziangalia katika nyakati maalumu ukweli ni tofauti.
Lakini pia chunguza hata mawingu yanayoonekana kwa karibu, wakati tunaambiwa dunia na vilivyomo kwenye anga la dunia huzunguka lea speed sawa na uelekeo sawa.
ukiangalia mawingu mwenendo wake ni kinyume na hili la dunia kuzunguka pamoja na vilivyomo kwenye anga.
mawingi yana mwenendo ambao unabadilika wakati mwingine ukiwa kinyume na kinachosemwa mzunguko wa dunia
tufikiri zaidi ya tulivyoambiwa bandugu...

Mkuu nimekusoma kwa karibu kabisa

Hakuna ushahidi ila kuna maelezo tu ambayo ni kama hadithi

Ningependa zaidi uthibitisho badala ya ushahidi

Haya mambo bana yana ugumu wake ,kuna jamaa alianziha uzi hapa akidai dunia sio duara kama mpira wa rugby kama vile ambavyo watu wameaminishwa na pia akaweka picha ya aina ya mviringo wa dunia ....

Hili na umbo halisi la dunia na kama dunia inazunguka nimekuwa nikilitilia mashaka tangu siku nyingi sana na nina sababu zaidi ya moja za kutilia mashaka na kubwa hakuna uthibitiso wa hili bali kuna ushahidi tu

Kuna jamaa anapinga kuwa kuna binadamu wameshakwenda mwezini na anatoa nae sababu zake na zinaleta maana

Haya mambo yanaonekana yana siri sana,tuendelee kutafiti zaidi!
 
Haya we uliyejiunga juzi unakuja na ujinga wako kichwani unataka u-infect watu huo uchizi.... Nyie ndo watu mnarudisha nyuma nchi hii, yani wewe ka 1000 hivi wangepungua south africa tungekua tushaitoa kiuchumi, 1000tu hata si zaidi ya hapo... Zaidi ya hapo tutakua tunaifukuzia South Korea kabisa

acha kutokwa na povu bas kila id mpya uionayo usidhanie mtumiaji wake pia ni mpya
 
Mkuu nimekusoma kwa karibu kabisa

Hakuna ushahidi ila kuna maelezo tu ambayo ni kama hadithi

Ningependa zaidi uthibitisho badala ya ushahidi

Haya mambo bana yana ugumu wake ,kuna jamaa alianziha uzi hapa akidai dunia sio duara kama mpira wa rugby kama vile ambavyo watu wameaminishwa na pia akaweka picha ya aina ya mviringo wa dunia ....

Hili na umbo halisi la dunia na kama dunia inazunguka nimekuwa nikilitilia mashaka tangu siku nyingi sana na nina sababu zaidi ya moja za kutilia mashaka na kubwa hakuna uthibitiso wa hili bali kuna ushahidi tu

Kuna jamaa anapinga kuwa kuna binadamu wameshakwenda mwezini na anatoa nae sababu zake na zinaleta maana

Haya mambo yanaonekana yana siri sana,tuendelee kutafiti zaidi!

nashukuru sana mkuu. ni kweli mkuu. kuna wakati natilia shaka hata masomo ya yasansi yenyewe namna ambavyo yanawacondition binadamu namna ya kufikiri.
kuhusu hili la dunia kuzunguka kama natakiwa kuamua kusema ukweli ikiwa unaambatana na kifo NITASEMA DUNIA HAIZUNGUKI naamini hata nikifa nikiulizwa sababu naweza kujitetea LAKINI NIKISEMA INAZUNGUKA kwangu siwezi kuwa na utetezi kwa kuwa kusema hivyo kunaacha maswali.mengi ambayo siwezi kujibu. ajabu hata Einstein hakuhitimisha kwa dhati kama dunia kweli inazunguka.
Hili la umbo la dunia nalo.ninashaka nalo lakini naona kuwa kama yai lenye mabonde na miinuko naafiki kiasi.
ngoja tuendelee si kujifunza kwa kusoma ya wenzetu hata sisi tutafakari kadri ya kile ambacho milango yetu ya fahamu inakutana nacho katika mazingira yetu.
 
nashukuru sana mkuu. ni kweli mkuu. kuna wakati natilia shaka hata masomo ya yasansi yenyewe namna ambavyo yanawacondition binadamu namna ya kufikiri.
kuhusu hili la dunia kuzunguka kama natakiwa kuamua kusema ukweli ikiwa unaambatana na kifo NITASEMA DUNIA HAIZUNGUKI naamini hata nikifa nikiulizwa sababu naweza kujitetea LAKINI NIKISEMA INAZUNGUKA kwangu siwezi kuwa na utetezi kwa kuwa kusema hivyo kunaacha maswali.mengi ambayo siwezi kujibu. ajabu hata Einstein hakuhitimisha kwa dhati kama dunia kweli inazunguka.
Hili la umbo la dunia nalo.ninashaka nalo lakini naona kuwa kama yai lenye mabonde na miinuko naafiki kiasi.
ngoja tuendelee si kujifunza kwa kusoma ya wenzetu hata sisi tutafakari kadri ya kile ambacho milango yetu ya fahamu inakutana nacho katika mazingira yetu.

Mkuu nakuelewa sana unachomaanisha kwani niko hapo hapo

Suala la kuzunguka dunia liko kinadharia zaidi na hakuna uthibitisho wa kutosha

Suala la um bo la dunia kuna mdau hapo juu amezungumza dunia ni duara lakini ni kama CD hivi na sio kama ambavyo tunaambiwa

Haya mawazotofauti na yanayoonekana kama ya kizamani kuna wakati yana umuhimu mkubwa sana na ninayakubali baadhi kwa kutoa changamoto kwa wale ambao wameganda kwenye vitabu na dhana za wanasayansi

Ukiangalia mfano hoja ya mtoa mada ya ndege,tunaambiwa kuwa dunia inazunguka na "anga lake",sijui kwanza hii inakuwa inaashiria nini

Wanasema hii inatokana na gravity ya dunia,sijui ni kwa namna gani inaweza kuzungusha kijisehemu tu cha anga na sio anga yote

Mkuu haya mambo mimi siyaelewi na naendelea kujifunza,ngoja tuendelee kuwasoma wadau na watafiti lakini kuna uongo mkubwa sana humu duniani na watu wako tayari hata kufa wakiutetea huku wakidhani ni ukweli

N inachoweza kushauri ni kwamba if you continue to trust these people,proceed carefully!
 
Kuna wakati hata mimi niliwahi kuhoji mambo kama haya ila niliishia kuchekwa na wenzangu darasani na mwalimu akanipuuza hivyo nilijiona sina ninachojua ila kila siku huwa najiuliza vitu kama hivyo..kwa mfano ni nani hasa aliyepanga mwaka uwe na miezi 12 na mwezi uwe na siku 30, wiki iwe na siku 7, siku iwe na saa 24, saa iwe na dk 60 na dk iwe na sek 60??? alipigaje hesabu hadi vikabalance usiku na mchana kote masaa ni 12 hakuna hata dk 5 zilizobaki na kwa nini alifanya mwezi uwe na siku 30 na 31 kwa nini asingefanya 60 kama alivyofanya kwenye dk na sekunde>?
 
quraan ishasema long tym dunia tambarare bishana utoke povu shauri yako endelea kusizishwa kakaa big up sana dunia duara oyeeee hufaidiki kitu bullsh.it
Duuh,nipe aya mkuu nikasome nione hiyo Quraan inavosema.
Najua wengi tulisoma Geography,tatizo ni uafahamu wetu au walimu wetu walivyokuwa wanafundisha kama dunia ni duara aua la.
Kwa nilikopita na vitabu nilivyosoma dunia ni duara nami nilamini hivyo
Evidence ninazozikumbuka.
1😀unia ni duara na si tambarare kama meza,ingekuwa tambarare ukienda baharini ship inapo ondoka ingekuwa inaonekana muda wote kama haikati kona ,lakini kwa sababu kuna ellipse shape inapotea baada ya kwenda umbali fulani.Dunia ingekuwa tambarare meli zisingekuwa zinapotea zingekuwa zinaonekana muda wote.
2.Kama dunia ingekuwa tambarare na si spherical jua lingekuwa linachomoza na kuzama muda mmoja duniani kote,na time difference isingekuwepo.
3.Kama dunia ingekuwa ni tambarare duniani kote mchana ungekuwa ni mmoja na usiku ni mmoja,kwa sasa unakuta Tz ni mchana na nchi nyingine ni usiku.Kusingekuwa na kupoteza siku au kugain ukisafiri kutoka bara moja kwenda jingine.

Tunachotakiwa kujua dunia ni kubwa sana kama sikajahau radius ya ni kama km 6370( am not sure long time) kwa hiyo unaweza kuwa sehemu ukaona tambalale na kuhisi dunia ni tambalale kwa sababu uko kwenye eneo dogo kati ya eneo kubwa.Fikiria sisimizi yuko juu ya mpira unazani anaona kama ni duara?
 
Duuh,nipe aya mkuu nikasome nione hiyo Quraan inavosema.
Najua wengi tulisoma Geography,tatizo ni uafahamu wetu au walimu wetu walivyokuwa wanafundisha kama dunia ni duara aua la.
Kwa nilikopita na vitabu nilivyosoma dunia ni duara nami nilamini hivyo
Evidence ninazozikumbuka.
1😀unia ni duara na si tambarare kama meza,ingekuwa tambarare ukienda baharini ship inapo ondoka ingekuwa inaonekana muda wote kama haikati kona ,lakini kwa sababu kuna ellipse shape inapotea baada ya kwenda umbali fulani.Dunia ingekuwa tambarare meli zisingekuwa zinapotea zingekuwa zinaonekana muda wote.
2.Kama dunia ingekuwa tambarare na si spherical jua lingekuwa linachomoza na kuzama muda mmoja duniani kote,na time difference isingekuwepo.
3.Kama dunia ingekuwa ni tambarare duniani kote mchana ungekuwa ni mmoja na usiku ni mmoja,kwa sasa unakuta Tz ni mchana na nchi nyingine ni usiku.Kusingekuwa na kupoteza siku au kugain ukisafiri kutoka bara moja kwenda jingine.

Tunachotakiwa kujua dunia ni kubwa sana kama sikajahau radius ya ni kama km 6370( am not sure long time) kwa hiyo unaweza kuwa sehemu ukaona tambalale na kuhisi dunia ni tambalale kwa sababu uko kwenye eneo dogo kati ya eneo kubwa.Fikiria sisimizi yuko juu ya mpira unazani anaona kama ni duara?

lazma meli uione inapotea cz uono uliopewa ni dhaifu sio kila kitu utakiona hlf dunia kuwa tambarare hakumaanishi kuwa hamna mabonde wala milima km quran inavosema
 
Mwenyezi Mungu) ambaye amekufanyieni hii ardhi kuwa kama tandiko, na mbingu kama paa, na akateremsha maji kutoka mbinguni, na kwayo akatoa matunda yawe riziki zenu. Basi msimfanyizie Mwenyezi Mungu washirika, na hali nyinyi mnajua.2:22
 
Yeye ndiye aliye idhalilisha ardhi kwa faida yenu, basi tembeeni katika pande zake, na kuleni katika riziki zake. Na kwake Yeye ndio kufufuliwa.67:16
 
Na ndiye aliye itandaza ardhi na akaweka humo milima na mito. Na katika kila matunda akafanya dume na jike. Huufunika usiku juu ya mchana. Hakika katika haya zimo Ishara kwa watu wanao fikiri.
 
lazma meli uione inapotea cz uono uliopewa ni dhaifu sio kila kitu utakiona hlf dunia kuwa tambarare hakumaanishi kuwa hamna mabonde wala milima km quran inavosema
Ok.hata ukitumia darubini yenye nguvu au uwezo wa kuona mabali zaidi utaendelea kuiona?Vipi kuhusu sababu zinhgine nilizotoa unaionaje kama issue ya usiku na mchana kuwa tofauti duniani?
 
Ambaye amekufanyieni ardhi kuwa tandiko, na akakupitishieni humo njia, na akakuteremshieni kutoka mbinguni maji. Na kwa hayo tukatoa namna mbali mbali za mimema.
 
ishu hzo sijui ninavo fahamu mm mungu amesema yy ndo ameufunika usiku kwa mchana
 
Back
Top Bottom