1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
bado dunia haijakibali kutoa siri zake... Ni sisi Tu tunaotunga tunga hizi assumptions
Hakuna siri tena.
Kwa wale waliojifunza biblia watatundua kuwa mambo yaliyokuwa yamefichwa yote sasa yanaweza kupatikana na kuwekwa hadharani.
Mungu anawaonyesha wanadamu mambo makubwa na magumu wasiyoyajua tangu awali.
Yesu aliitwa Emanueli maana yake Mungu pamoja nasi. Kwa hiyo jama Mungu yupo pamoja nasi hakuna siri tena mana yeye ni Engineer Mkuu wa yote.
Kwa wale wakristo wanafahamu kuwa kuna Roho wa maarifa. Hii ni roho inayovumbua mambo yasiyoonekana kwa macho na kuyafanya yaonekane.From nothing to something.
Mfano miaka 3000 iliyopita hapakuwa na simu au tv na haikuwahi hata kuzungumziwa. Lakini wanadamu leo wanaona ni kitu cha kawaida japo ukimwambia mtu hebu tengeneza na wewe simu anashindwa kwani ile ni Roho ya maarifa iliyowekwa kwa baadhi ya wanadamu ili walete mabadiliko na kuwafundisha wengine.
Maarifa ni ya Mungu nwenyewe.
Hata kujua kuwa ndani ya kina kirefu kuna nini na nini pia ni kazi ya maarifa .Kuna utaalam mkubwa wa kutumia mawimbi au wave na kutambua aina za layer zilizopo ardhini.
UKIMTAFUTA PROF.Mhongo atakupa data za kitafiti kuhusu mambo ya layer mbalimbali chini ya ardhi.Na wametumia elimu hiyo hiyo kugungua gesi,mafuta ,madini n.k.
Mpaka sasa hakuna mbadala wa elimu hiyo ya sayansi ya maumbile ya dunia. Na huo mbadala hauna faida yoyote kisayansi na waliotumia elimu tofauti na hii ya leo walishindwa kuwa na maendeleo makubwa ya kisayansi kwa karne nyingi.