The earth is flat and is not rotating

The earth is flat and is not rotating

Is what you have written a fact or your opinion?Usiwadharau viongozi wa dini,au unauhakika wao hawajasoma?"Generalization is very bad especially for a person who consider himself to be an educated person"
Kwa sababu tu viongozi wa dini uwajuao wewe hawajasoma haimanishi wote hawajaoma na hawana jibu la swali la Ordinary level kama hili lilioulizwa,garbage in garbage out.
Sometimes watu sijui mnatufuta tu kuongeza namba of post per day.
 
Mkuu hiyo avat yako si Galaxy hiyo? utakuwa mjuzi wa haya mambo.

Nishachangia nyuma huko.

Watu waliojishughulisha kujielimisha walishaacha kuamini kwamba the earth is flat kabla ya enzi za Aristotle miaka 2300 iliyopita.

Leo tuna man made satellite bado watu wanauliza suala hili?

Anayesema kwamba the earth is flat kashawahi hata kupanda ndege kwenda 30,000 feet above the ground?

Watu wanaongelea the curvature of spacetime and spooky action at a distance, sie huku wengine bado wanajadili if the earth is flat?
 
Kumbe ndio maana waliopinga mawazo ya "wengi" waliuwawa

Ukipinga jambo ambalo kuna kundi kubwa linaona liko "wazi" unaonekana kama hamnazo wakati unaweza kuwa sahihi vile vile

Kaazi kweli kweli!
 
Nishachangia nyuma huko.

Watu waliojishughulisha kujielimisha walishaacha kuamini kwamba the earth is flat kabla ya enzi za Aristotle miaka 2300 iliyopita.

Leo tuna man made satellite bado watu wanaukiza suala hili?

Anayesema kwamba the earth is flat kashawahi hata kupanda ndege kwenda 30,000 feet above the ground?

Watu wanaongelea the curvature of spacetime and apooky action at a distance, sie huku wengine bado wanajadili if the earth is flat?

Hii ni GPS PHOTO YA NDEGE halisi ikiwa angani, inaonyesha ni jinsi gani dunia ipo duara na siyo flat, hii inaonyesha mleata mada hajawahi safiri na ndege za kisasa na kuona uhalisia.
 

Attachments

  • FLIGHT PHOTO.docx
    FLIGHT PHOTO.docx
    3.4 MB · Views: 86
  • IMG-20131005-01323.jpg
    IMG-20131005-01323.jpg
    350.3 KB · Views: 141
Earth is spherical hili halina ubishi. Wazee wa flat earth society msife moyo, the UNIVERSE is indeed flat kama chapati and expanding indefinately.
 
Angalia post yangu ya hapo juu, nimekuwekea flight halisi inavyoonekana ikiwa angani, hiyo GPS image nilipiga mimi mwenyewe, ndege unayoiona nilikuwa ndani nikisafiri kuelekea US from london. unaweza kuona jinsi gani dunia ilivyo duara.


Nishachangia nyuma huko.

Watu waliojishughulisha kujielimisha walishaacha kuamini kwamba the earth is flat kabla ya enzi za Aristotle miaka 2300 iliyopita.

Leo tuna man made satellite bado watu wanaukiza suala hili?

Anayesema kwamba the earth is flat kashawahi hata kupanda ndege kwenda 30,000 feet above the ground?

Watu wanaongelea the curvature of spacetime and apooky action at a distance, sie huku wengine bado wanajadili if the earth is flat?

Habarini,

Katika pitapita zangu za kujua vitu nikakuta hii kitu kuhusiana na dunia kutokuwa ni duara na ni tambarale pia haizunguki katika muhimili wake kama tulivofundishwa huko shule za awali.

Kuna baadhi ya ushahid unaotokana na mazingira jinsi yalivo pamoja na udini kidogo...

1. kwa mazingira jinsi yalivyo:

Kwanza kuhusu "earth is not rotating" .... kawaida dunia inazunguka jua kwa muda siku 365 na hujizungusha katika muhimil wake kwa muda wa masaa 24 kumaliza mzunguko wake, na ndipo tunapata usiku na mchana.... (hivi ndivo navojua mm na wewe)

lakini kuna maelezo yanayo onyesha kuwa dunia haijizungushi bali jua na vilivo juu vinaizunguka dunia. proof wanaosema kwamba dunia haizunguki ni hii ya usafiri wa ndege.

Tuanze kwa kusema kwamba dunia inajizungusha katika muhimili wake kwa speed ya 6070 km/hr kutokea magharibi kwenda mashariki, ndio maana tunapata kuona jua linachomoza kutokea mashariki na kuzama magharibi.

Sasa tuchuke mfano ndege inatokea marekani (Washington DC) kwenda uingereza (London). Hivyo ndege inatoka magharibi kwenda mashariki. Umbali kutoka marekani mpaka uingereza ni 5934.6 km na inachukua masaa 7 na dakika 39, hivyo ndege husafiri katika umbali huo kwa 775.76 km/hr. Hivyo kama dunia inakuwa katika speed yake ya 1675 km/hr basi huu umbali ungeongezeka zaid maana dunia ingekuwa inazidi kwenda mbele kutoka magharibi kwenda mashariki na ndege hiyo kwa speed hiyo ya 775.76 km/hr. [lets assume kwamba umbali huo unatokana na speed ya dunia na speed ya ndege kutoka magharib kwenda mashariki]

JE, KAMA NDEGE INATOKA UINGEREZA KWENDA MAREKANI UMBALI UTAKAO KUWA COVERED NA NDEGE UTAKUWA SAWA NA WA MWANZO (5934.6 KM) KAMA DUNIA INAJIZUNGUSHA KUTOKA MAGHARIBI KWENDA MASHARIKI?

JIBU NI HAPANA, MAANA KAMA NDEGE INATOKA MASHARIKI KWENDA MAGHARIBI NA DUNIA INAZUNGUKA KUTOKA MAGHARIBI KWENDA MASHARIKI BASI UMBALI UTAPUNGUA MAANA DUNIA NA JUA ZITAKUWA OPPOSITE DIRECTION.

View attachment 216726

Lakini kiuhalisia umbali utakuwa ni huohuo na masaa ya kusafiri yatakuwa ni hayohayo... HIVYO HII INAONESHA KUWA DUNIA HAIZUNGUKI.

Pili kuhusu "the earth is flat and not round".... bado kuna debate zinaendelea kuelezea kivipi dunia ni flat na sio duara kama tunavojua. Ila katika hili kuna maswali mengi sana, maana kuna issues za horizon, light, space and sky ceiling, land curvature ambazo mm mwenyewe binafsi naendelea kuzifatilia ila kwa sasa sina clue ambazo zitani support kuelezea kivip dunia ni tambarale.

Ila inasemekana dunia ina umbo la flat disk kama hii.

View attachment 216727

Hii ni bendera ya United Nations na ramani yake ya dunia iko tofauti na ramani ambazo tunazozijua. Hivyo inasemekana kuna siri katika shape ya dunia. flat earth society wanaamini kuwa dunia iko hivyo ila kwa pande nne sio round kama inavoonekana kwenye hiyo picha juu.

Pia kuhusu maji ya bahari kuna kuta za barafu zinashilia hayo maji. Hii inawezekana baada ya ile mada ya kuto kuwepo kwa south pole kule Antarctica.

Kunasemekana Antarctica ni kubwa kuliko tunavoiona katika ramani, pia ndiko kunakoaminika kuwa ni kitovu kitakocho onyesha kuwa dunia sio duara bali ni tambarale.

Maana hakuna ndege inayoruhusiwa kipita katika anga la Antarctica. Jiulize, Kina "NASA" wanadai wameenda mwezini, wametuma vifaa vya kisasa huko sayari mars na vyengine mbali zaid lakini wameshindwa kupita juu ya Antarctica kisa ni baridi kali... JIULIZE!!!!!!

2. Udini:

Katka udini nitazungumzia katika upande wa imani ya kikristo.

1. katika agano la kale yoshua alisimamisha jua. Yoshua 10: 12-13 "12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni;

Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao."

hii inaonyesha kuwa Jua ndilo linalozunguka dunia na sio dunia linazunguka Jua, Hivyo dunia haizunguki na iko stationary

2. katika agano jipya shetani alimchukua Yesu mpaka mahali pa juu na kumuonyesha ulimwengu wote:
Luka 4 : 5 -8

5 Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia,

6 Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza. 7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."

8
Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake."

kama dunia ingekuwa duara basi ingekuwa haiwezekani kwa falme zote za ulimwengu kuonekana kwa mara moja.


3. malaika wanne katika kona za nchi:

Ufunuo 7 : 1

"1 Baada ya hayo nikaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za nchi, wakizizuia pepo nne za nchi, upepo usivume juu ya nchi, wala juu ya bahari, wala juu ya mti wo wote."

hii inaonesha kuwa dunia pia sio duara, maana kama ni round hizo pembe nne za nchi zitapatikanaje?. Hivyo dunia might be square or rectangle.


TUJADILI ZAID NI HAYA NILIYOYAKUTA KATIKA KUJUA ZAID...... THANKS
 
Sayansi na Dini ni tofauti msichanganye mada please!!!
Mkuu Dreson4, mleta maada ana ushawishi kiasi chake lakini pia nakubaliana na maelezo yako
naomba nikuulize swali la kizushi tu
kwahiyo hivyo vifungu vya biblia vina walakini au mleta maada ndio hajavisoma na kuvielewa vizuri ??

.made in mby city.
 
mimi nakubaliana sana na hawa jamaa wa flat world. kuna baadhi ya vitu inabidi tutumie akili zetu kufikiri zaidi ya kupinga tu kila jambo ambalo lipo tofauti na ulivyosoma shule. kama dunia ni duara kama yai au mpira na inazunguka kwa kasi ya 460MPS ikitokea mashariki kuelekea magharibi isingewezekana kwa ndege kutua coz rubani asingeweza kulenga uwanja wa kutua. na kama kweli inazunguka kwa nini ndege ikisafiri kutoka Marekani hadi Ghana inatumia muda na kilomita ni zilezile haziongezeki wala kupungua?? sababu kama kweli inazunguka ungetumia muda mfupi sana kutoka magharibi kuja mashariki coz ndege ingenyanyuka tu juu kidogo then itue coz dunia imeshazunguka.
 
mimi nakubaliana sana na hawa jamaa wa flat world. kuna baadhi ya vitu inabidi tutumie akili zetu kufikiri zaidi ya kupinga tu kila jambo ambalo lipo tofauti na ulivyosoma shule. kama dunia ni duara kama yai au mpira na inazunguka kwa kasi ya 460MPS ikitokea mashariki kuelekea magharibi isingewezekana kwa ndege kutua coz rubani asingeweza kulenga uwanja wa kutua. na kama kweli inazunguka kwa nini ndege ikisafiri kutoka Marekani hadi Ghana inatumia muda na kilomita ni zilezile haziongezeki wala kupungua?? sababu kama kweli inazunguka ungetumia muda mfupi sana kutoka magharibi kuja mashariki coz ndege ingenyanyuka tu juu kidogo then itue coz dunia imeshazunguka.



Majibu yameshatolewa na ushahidi wa kisayansi.
Pitia comments za watu humu kwa umakini.
Sayansi haidanganyi .
Ndio ufunuo wa mwisho kwa wanadamu ili ufalme wa Mungu ukamilike.

Tafakari vitu kwa maelfu vilivyogunduliwa na wanasayansi kwa usahihi utagundua kuwa wale sio politician.
Sayansi ikikosewa kwa kiwango unachofikiri inakuwa ni hatari sana.
Unapozungumzia chaji chanya na hasi ni vitu vya kufikirika tu lakini vimefanyiwa majaribio na tunapata matokeo makubwa ya umeme.
Hilo la umbo la dunia ni jambo dogo sana. Kuna mtu humu ameweka mpaka picha aliyopiga yeye mwenyewe akiwa anasafiri kwenda USA.
 
Hii ni GPS PHOTO YA NDEGE halisi ikiwa angani, inaonyesha ni jinsi gani dunia ipo duara na siyo flat, hii inaonyesha mleata mada hajawahi safiri na ndege za kisasa na kuona uhalisia.

mkuu kwahiyo nasafiri kwa ndege za kienyeji.... Kama Una ndugu au rafik ambaye Ni ruban jaribu kumuuliza
 
Majibu yameshatolewa na ushahidi wa kisayansi.
Pitia comments za watu humu kwa umakini.
Sayansi haidanganyi .
Ndio ufunuo wa mwisho kwa wanadamu ili ufalme wa Mungu ukamilike.

Tafakari vitu kwa maelfu vilivyogunduliwa na wanasayansi kwa usahihi utagundua kuwa wale sio politician.
Sayansi ikikosewa kwa kiwango unachofikiri inakuwa ni hatari sana.
Unapozungumzia chaji chanya na hasi ni vitu vya kufikirika tu lakini vimefanyiwa majaribio na tunapata matokeo makubwa ya umeme.
Hilo la umbo la dunia ni jambo dogo sana. Kuna mtu humu ameweka mpaka picha aliyopiga yeye mwenyewe akiwa anasafiri kwenda USA.

jaman hii Kwan real picha ya ndege au Ni animation Tu ya 3D.... Hii Ni picha ya kuchorwa... Na if u don't knw .. They use science to deceive you... Its all about mind control
 
jaman hii Kwan real picha ya ndege au Ni animation Tu ya 3D.... Hii Ni picha ya kuchorwa... Na if u don't knw .. They use science to deceive you... Its all about mind control




Vipi kuhusu function ya memory card,cd,flash n.k.Hapo sayansi unaitumia na kuiamini au ni Boko haram?
 
Habarini,

Katika pitapita zangu za kujua vitu nikakuta hii kitu kuhusiana na dunia kutokuwa ni duara na ni tambarale pia haizunguki katika muhimili wake kama tulivofundishwa huko shule za awali.

Kuna baadhi ya ushahid unaotokana na mazingira jinsi yalivo pamoja na udini kidogo...

1. kwa mazingira jinsi yalivyo:

Kwanza kuhusu "earth is not rotating" .... kawaida dunia inazunguka jua kwa muda siku 365 na hujizungusha katika muhimil wake kwa muda wa masaa 24 kumaliza mzunguko wake, na ndipo tunapata usiku na mchana.... (hivi ndivo navojua mm na wewe)

lakini kuna maelezo yanayo onyesha kuwa dunia haijizungushi bali jua na vilivo juu vinaizunguka dunia. proof wanaosema kwamba dunia haizunguki ni hii ya usafiri wa ndege.

Tuanze kwa kusema kwamba dunia inajizungusha katika muhimili wake kwa speed ya 6070km/hr kutokea magharibi kwenda mashariki, ndio maana tunapata kuona jua linachomoza kutokea mashariki na kuzama magharibi.

Sasa tuchuke mfano ndege inatokea marekani (Washington DC) kwenda uingereza (London). Hivyo ndege inatoka magharibi kwenda mashariki. Umbali kutoka marekani mpaka uingereza ni 5934.6 km na inachukua masaa 7 na dakika 39, hivyo ndege husafiri katika umbali huo kwa 775.76 km/hr. Hivyo kama dunia inakuwa katika speed yake ya 1675 km/hr basi huu umbali ungeongezeka zaid maana dunia ingekuwa inazidi kwenda mbele kutoka magharibi kwenda mashariki na ndege hiyo kwa speed hiyo ya 775.76 km/hr. [lets assume kwamba umbali huo unatokana na speed ya dunia na speed ya ndege kutoka magharib kwenda mashariki]

JE, KAMA NDEGE INATOKA UINGEREZA KWENDA MAREKANI UMBALI UTAKAO KUWA COVERED NA NDEGE UTAKUWA SAWA NA WA MWANZO (5934.6 KM) KAMA DUNIA INAJIZUNGUSHA KUTOKA MAGHARIBI KWENDA MASHARIKI?

JIBU NI HAPANA, MAANA KAMA NDEGE INATOKA MASHARIKI KWENDA MAGHARIBI NA DUNIA INAZUNGUKA KUTOKA MAGHARIBI KWENDA MASHARIKI BASI UMBALI UTAPUNGUA MAANA DUNIA NA JUA ZITAKUWA OPPOSITE DIRECTION.

View attachment 216726

Lakini kiuhalisia umbali utakuwa ni huohuo na masaa ya kusafiri yatakuwa ni hayohayo... HIVYO HII INAONESHA KUWA DUNIA HAIZUNGUKI.

Pili kuhusu "the earth is flat and not round".... bado kuna debate zinaendelea kuelezea kivipi dunia ni flat na sio duara kama tunavojua. Ila katika hili kuna maswali mengi sana, maana kuna issues za horizon, light, space and sky ceiling, land curvature ambazo mm mwenyewe binafsi naendelea kuzifatilia ila kwa sasa sina clue ambazo zitani support kuelezea kivip dunia ni tambarale.

Ila inasemekana dunia ina umbo la flat disk kama hii.

View attachment 216727

Hii ni bendera ya United Nations na ramani yake ya dunia iko tofauti na ramani ambazo tunazozijua. Hivyo inasemekana kuna siri katika shape ya dunia. flat earth society wanaamini kuwa dunia iko hivyo ila kwa pande nne sio round kama inavoonekana kwenye hiyo picha juu.

Pia kuhusu maji ya bahari kuna kuta za barafu zinashilia hayo maji. Hii inawezekana baada ya ile mada ya kuto kuwepo kwa south pole kule Antarctica.

Kunasemekana Antarctica ni kubwa kuliko tunavoiona katika ramani, pia ndiko kunakoaminika kuwa ni kitovu kitakocho onyesha kuwa dunia sio duara bali ni tambarale.

Maana hakuna ndege inayoruhusiwa kipita katika anga la Antarctica. Jiulize, Kina "NASA" wanadai wameenda mwezini, wametuma vifaa vya kisasa huko sayari mars na vyengine mbali zaid lakini wameshindwa kupita juu ya Antarctica kisa ni baridi kali... JIULIZE!!!!!!

2. Udini:

Katka udini nitazungumzia katika upande wa imani ya kikristo.

1. katika agano la kale yoshua alisimamisha jua. Yoshua 10: 12-13 "12 Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni;

Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13 Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao."

hii inaonyesha kuwa Jua ndilo linalozunguka dunia na sio dunia linazunguka Jua, Hivyo dunia haizunguki na iko stationary

2. katika agano jipya shetani alimchukua Yesu mpaka mahali pa juu na kumuonyesha ulimwengu wote:
Luka 4 : 5 -8

5 Kisha Ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. Huyo Shetani akamwambia,

6 Nitakupa uwezo juu ya falme zote hizi na fahari zake, kwa maana nimepewa hivi vyote; nikitaka kumpa mtu ninaweza. 7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu."

8
Yesu akamjibu, "Imeandikwa: Utamwabudu Bwana Mungu wako, na utamtumikia yeye peke yake."

kama dunia ingekuwa duara basi ingekuwa haiwezekani kwa falme zote za ulimwengu kuonekana kwa mara moja.


3. malaika wanne katika kona za nchi:

Ufunuo 7 : 1

"1 Baada ya hayo nikaona malaika wanne wamesimama katika pembe nne za nchi, wakizizuia pepo nne za nchi, upepo usivume juu ya nchi, wala juu ya bahari, wala juu ya mti wo wote."

hii inaonesha kuwa dunia pia sio duara, maana kama ni round hizo pembe nne za nchi zitapatikanaje?. Hivyo dunia might be square or rectangle.


TUJADILI ZAID NI HAYA NILIYOYAKUTA KATIKA KUJUA ZAID...... THANKS

Bwana wee hiyo 6070km/hr si sahihi!
Kumbuka ndege ili iweze kutokea Uingereza hadi Marekani inabidi iinuke kutoka usawa wa bahari zaidi ya 13000ft, hivyo ndege itatembea umbali mrefu zaidi ukilinganisha na kitu kilichopo aridhini!

Hesabu hii ni wakati najifunza tafsiri ya diameter, tangent, radius, circumference na arc!
Halafu, achana na habari za imani kwenye sayansi utakuwa boko haramu bureeeeeee!
 
Back
Top Bottom