The Emperor Jean-Bedel Bokassa

yaan dunian tunapita!! tujiangalie!! weng wanadhan mambo yatakua kama jana. hawajui ya kwesho. tutende hak kwa wote
 
 
Alifungwa
Huyu aliletwa na wafaransa wenyewe Afrika kumpindua ndugu yake awe kibaraka wao.
Alikuwa na cheo kikubwa tu jeshini Ufaransa alipoenda Africa kupindua.
Baada ya kuwa rais kaponda mali sana mpaka wafaransa wakaogopa na kuandaa mapinduzi mengine apinduliwe.
Ila wafaransa walimchukua na familia yake yote kuhamishiwa Ufaransa kwenye mijumba yake.
Ila sasa wakamtosa akawa analipwa pensheni tu ya jeshi alitumikia zamani.
Almas zote alizoweka huko wamhifadhie zikalambwa .
Jamaa akaona isiwe tabu kawafosi wamrudishe kwao wakamrudisha.
Akijua ataonewa huruma, wakamfunga miaka 2 kwenye kachumba kaduchu kwenye giza wakimtupia msosi tu.
Badae kaanza kuumwa wakamwachia hata hakukaa sana akafa.
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] moja kati ya post bora Kabisa,
 
Mleta mada hukumalizia kuwa alifikisi nchi mpaka ikakosa pesa ya kujiendesha. Bokassa aliomba msaada wa hela kwa Gadafi, masharti aliyopewa ilikuwa kubadili dini.
Rais alislimu Libya, alirudi nchini kwake anaitwa Mohamed Saladine Bokassa

Alirudia u Katoliki kabla mauti hayajamfika
 

Dah, sijui Chato international airport itakuwa hivi!!! Nawaza tu.
 
Ni kweli alipigana WWII kama Askari wa Ufaransa lakini jamaa alikuwa katili
 
Hii inaitwa Masikini akipata........ Huku kwetu viiipi sio dalili hizi
 
Wanawake weupe hapa Afrika lazima watakuwa majasusi tu hao,kupinduliwa inakuwa kazi rahisi sana
Nalog off
 
Udikteta ni ugonjwa.....sio wa kufanyia mzaha!

Hapa bongo umeingia,inatakiwa mtu atibiwe,like,seriously!
 
Gadaffi shetani tu
 
Hivi kwanini wanamapinduzi wengi wa Afrika walipenda sana kujiita Field marshal?
•Na ma notorious warlords wengi walikula nyama za watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…