The expert Mlokole

The expert Mlokole

Ramos

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2010
Posts
498
Reaction score
130
Kama nitakuwa na-offend kundi fulani la watu, naomba msamaha mapemaaa...
Yupo mdada mmoja ambaye kwa anavyofahamika, ni mlokole 'toka utotoni'. Baada ya kutumia gia kadhaa zinazotumika katika kuwapata hawa viumbe wa kundi hili, nilifanikiwa kumuingiza line. Huku kidume nikiamini kuwa leo naenda kutesa katoto kasikojua sawa mchezo, hasa nikizingatia uzoefu wangu kiasi fulani nilionao kwa magumegume, ebwana nilipigwa sapraizi vibaya!!!
Nilichezewa mchezo ambao sikuwahi kuuona neither kwa gumegume, nor kwa mwanamke yeyote katika historia yangu ya mapenzi. Sio siri, na tena nakiri kuwa hadi gemu linaisha asubuhi alikuwa akinicheka balaa, maana kama ingekuwa mpira ningekuwa nimechapwa 3-0, kitu ambacho hakijawahi kunitokea kwenye haya magemu.

Kumbe tusiwajaji watu kwa mwonekano wa nje...
 
'Mlokole' my foot, kuna Mlokole wa dini as in dhehebu lkn si kweli ameokoka! Anakuwa ameokoka wakati anakata mauno, yaani ni bonge la kufuru; l wonder why they use that term in the first place!

Uko baharini (duniani) na unahangaika na mawimbi unajiita umeokoka? Kwanini usifike nchi kavu (mbinguni) ambapo una uhakika wa kutokurudi baharini ndipo useme umeokoka?
 
'Mlokole' my foot, kuna Mlokole wa dini as in dhehebu lkn si kweli ameokoka! Anakuwa ameokoka wakati anakata mauno, yaani ni bonge la kufuru; l wonder why they use that term in the first place!

Uko baharini (duniani) na unahangaika na mawimbi unajiita umeokoka? Kwanini usifike nchi kavu (mbinguni) ambapo una uhakika wa kutokurudi baharini ndipo useme umeokoka?

ndetichia like this
 
relax bwana sie ndio twashindwa elewa. kumbuka mtu kuokoka haimaanishi basi yeye ndio kawa mkamilifu..all it means ni kwamba yeye ameamua kuishi maisha yenye kumpendeza MUNGU. sasa inatokea kuwa anaweza kutereza pamoja na kwamba yeye ni mlokole becoz pamoja na ulokole huo bado hajawa mkamilifu.
alafu wao wale ambao ndio hivyo double lifestyle...huku full maombi kumbe upande mwengine full shetani.
 
maana kama ingekuwa mpira ningekuwa nimechapwa 3-0, kitu ambacho hakijawahi kunitokea
Kumbe tusiwajaji watu kwa mwonekano wa nje...

uchapwe 3-0 kwani wewe simba!!!
 
Ngono wameumbiwa binadamu bana..na hao walokole nao ni binadamu ati..
 
'Mlokole' my foot, kuna Mlokole wa dini as in dhehebu lkn si kweli ameokoka! Anakuwa ameokoka wakati anakata mauno, yaani ni bonge la kufuru; l wonder why they use that term in the first place!

Uko baharini (duniani) na unahangaika na mawimbi unajiita umeokoka? Kwanini usifike nchi kavu (mbinguni) ambapo una uhakika wa kutokurudi baharini ndipo useme umeokoka?

I like this really.
 
'Mlokole' my foot, kuna Mlokole wa dini as in dhehebu lkn si kweli ameokoka! Anakuwa ameokoka wakati anakata mauno, yaani ni bonge la kufuru; l wonder why they use that term in the first place!

Uko baharini (duniani) na unahangaika na mawimbi unajiita umeokoka? Kwanini usifike nchi kavu (mbinguni) ambapo una uhakika wa kutokurudi baharini ndipo useme umeokoka?

Baadhi ya walokole ni 'wagonjwa tu wa akili'
so matendo yao huwa vurugu tupu

niliwahi opoa mdada mlokole
baada ya round ya kwanza
akapanda kitandani na biblia huku yuko naked akaanza kunihubiria...
 
Baadhi ya walokole ni 'wagonjwa tu wa akili'
so matendo yao huwa vurugu tupu

niliwahi opoa mdada mlokole
baada ya round ya kwanza
akapanda kitandani na biblia huku yuko naked akaanza kunihubiria...

Ha ha ha, yaani l can imagine hiyo scene. What did u do? Haikukuput off?
 
Baadhi ya walokole ni 'wagonjwa tu wa akili'
so matendo yao huwa vurugu tupu

niliwahi opoa mdada mlokole
baada ya round ya kwanza
akapanda kitandani na biblia huku yuko naked akaanza kunihubiria...

Just tell me you are kiddin' buddy...hahahahaha!!
 
Baadhi ya walokole ni 'wagonjwa tu wa akili'
so matendo yao huwa vurugu tupu

niliwahi opoa mdada mlokole
baada ya round ya kwanza
akapanda kitandani na biblia huku yuko naked akaanza kunihubiria...
The Boooooooooooos!ahaahhahahahhahahah duh leo umenipa kali kuliko!sasa uliendelea kweli?
 
Back
Top Bottom