Kama nitakuwa na-offend kundi fulani la watu, naomba msamaha mapemaaa...
Yupo mdada mmoja ambaye kwa anavyofahamika, ni mlokole 'toka utotoni'. Baada ya kutumia gia kadhaa zinazotumika katika kuwapata hawa viumbe wa kundi hili, nilifanikiwa kumuingiza line. Huku kidume nikiamini kuwa leo naenda kutesa katoto kasikojua sawa mchezo, hasa nikizingatia uzoefu wangu kiasi fulani nilionao kwa magumegume, ebwana nilipigwa sapraizi vibaya!!!
Nilichezewa mchezo ambao sikuwahi kuuona neither kwa gumegume, nor kwa mwanamke yeyote katika historia yangu ya mapenzi. Sio siri, na tena nakiri kuwa hadi gemu linaisha asubuhi alikuwa akinicheka balaa, maana kama ingekuwa mpira ningekuwa nimechapwa 3-0, kitu ambacho hakijawahi kunitokea kwenye haya magemu.
Kumbe tusiwajaji watu kwa mwonekano wa nje...
Yupo mdada mmoja ambaye kwa anavyofahamika, ni mlokole 'toka utotoni'. Baada ya kutumia gia kadhaa zinazotumika katika kuwapata hawa viumbe wa kundi hili, nilifanikiwa kumuingiza line. Huku kidume nikiamini kuwa leo naenda kutesa katoto kasikojua sawa mchezo, hasa nikizingatia uzoefu wangu kiasi fulani nilionao kwa magumegume, ebwana nilipigwa sapraizi vibaya!!!
Nilichezewa mchezo ambao sikuwahi kuuona neither kwa gumegume, nor kwa mwanamke yeyote katika historia yangu ya mapenzi. Sio siri, na tena nakiri kuwa hadi gemu linaisha asubuhi alikuwa akinicheka balaa, maana kama ingekuwa mpira ningekuwa nimechapwa 3-0, kitu ambacho hakijawahi kunitokea kwenye haya magemu.
Kumbe tusiwajaji watu kwa mwonekano wa nje...