- Thread starter
- #61
Anayeweza kututia majaribuni sisi walokole ni shetani peke yake! Kwa kuwa ulifanikiwa kumtia majaribuni mlokole, logically wewe ni ibilisi shetani, na ni sifa yako hiyo! wala usinitolee macho.
Ila sasa mbona yeye alikuwa mjuzi kuliko mimi Ibilisi shetani?!!