The General meeting: Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza mkutano mkuu wa 10 tangu kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi Feb 1977 kwa mafanikio

The General meeting: Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aongoza mkutano mkuu wa 10 tangu kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi Feb 1977 kwa mafanikio

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
IMG-20221207-WA0135.jpg

Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Watanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM akiongoza kikao cha mkutano mkuu wa 10 Jijini Dodoma leo 07|12|2022
IMG-20221207-WA0128.jpg

Wajumbe zaidi ya 1,900 wakifuatilia mkutano wa kwa makini chini ya Mwenyekiti wao Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan mapema Leo, "Unaweza ukaona Ukumbi namna ulivyopendeza kwa kupambwaa na rangi za kijani "
IMG-20221207-WA0136.jpg


Katibu Mkuu wa Ccm-tanzania Mhe Daniel Chongolo akitoa mwongozo kwa Wajumbe na Meza wakati wa mkutano Mkuu hii Leo,

IMG-20221207-WA0123.jpg

Baadhi ya Wajumbe wakifuatilia mkutano mkuu wa 10 kwa Makini,
IMG-20221207-WA0140.jpg

Baadhi ya Wajumbe kutoka Zanzibar wakifuatilia mkutano Mkuu wa 10 kwa Makini
IMG-20221207-WA0130.jpg

Hili ndilo bashasha la Wajumbe wa Mkutano mkuu wa 10 Jijini Dodoma,
IMG-20221207-WA0150.jpg

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura kuchagua Mwenyekiti wa CCM Taifa pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Tanzania Bara katika Mkutano Mkuu wa 10 wa Chama Cha Mapinduzi CCM katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma
 
Huo Mkutano hufanyika Kila baada ya miaka mingapi?
 
IMG-20221207-WA0135.jpg

Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Watanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM akiongoza kikao cha mkutano mkuu wa 10 Jijini Dodoma leo 07|12|2022

IMG-20221207-WA0128.jpg

Wajumbe zaidi ya 1,960 wakifuatilia mkutano wa kwa makini chini ya Mwenyekiti wao Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan mapema Leo, "Unaweza ukaona Ukumbi namna ulivyopendeza kwa kupambwaa na rangi za kijani "
 
Back
Top Bottom