The Godfather ya Mario Puzo

The Godfather ya Mario Puzo

“A man who doesn't spend time with
his family can never be a real man.”......Don
 
Unamkumbuka 1st born wa don corleone, jina limentoka alikua hafai kwa lolote, akapelekwa kusimamia casino las vegas akachemsha halafu akajiweka upande wa Mo Green ambae michael alitaka kuchukua hotel zake.
Michael alimwambia kaka ake .... u r my brother but never ever take sides against the family.
Mshkaji hakuskia aka betray la familia tena, basi kuna scene 1 jamaa kachukua kaboti kwenda kuvua samaki na mtoto wa michael, hukohuko akapigwa risasi!
Unakumbuka?

yule alikuwa 2nd born jina lake fredo alikuwa mtu wa starehe tu,alikula njama na gang lingine dhidi ya mdogo wake mike hakutegemea guns zitakuwa involved!!!!
 
Captain22;

Terminologies kibao: going to the matress, doing the job on ..., breaking the bone


...sleeping with fishes!
 
The Godfather (1972) & The Godfather part II (1974) are the greatest movies of all time. Part III (1990) haikuwa nzuri kama I & II labda kwa kuwa ilitengenezwa muda mrefu baada ya mbili za kwanza kutolewa.
 
Don alimwambia bonasera why ulienda kwanza polisi na sio kwangu! Ungewahahi kuja kwangu hao wahuni wangekua wanalia siku nzima! Corleone alikua mtata hasa!

Bonasera ina maana usiku mwema nawezaje kuiweka jamvini yote
 
"...keep your friends close but your enemies closer" - Michael Corleone ( The Godfather Part II)

"...just when I thought I was out, they pull me back in." - Michael Corleone ( The Godfather Part III)
 
The great man are not born grat buta are grew the greatest
Revenge is the dish that test best when it is cold
hiyo novel kila nikiadhimisha hairudi nimebaki nayo niliyodowload kwenye mtandao pia tafuta siciliany ambacho kinamzungumzia Michael akiwa mafichoni nina movies zake part 1 na 11 lakini novel ni nzuri zaidi ya movies kwani kuna vitu vimeelezwa kwenye novel ambavyo kwenye movie vimeshindwa kuelezewa
 
Huku ndio kuna Kate Adams, mmarekani aliyeolewa na muitaliano (ambacho kilikuwa kitu toffauti kidogo)?
 
Hivi hapa tz siku hizi ma-don siwapo, tena wanayo maconciliori sawa tu na mafia wa sicily!
 
"... a Lawyer with his briefcase can steal more than a hundred men with guns..."

"... everybody has a price..."

Nimezisoma nyingi, sikumbuki kama hizo quotes niliziona kwenye The Godfather!

Katika Novel zangu nilizonazo, Novel zinazoongoza kwa kuchakaa kutokana na kuzisoma mara nyingi ni The Godfather, Bourne Identity na The Firm. Acha kabisa!

Wakuu mnakumbuka Santino (Sonny) alivyomsukumia "nyama" Lucy kwenye Harusi ya Dada yake Santino?

............. Godfather & Bourne Identity bado zina shine kwenye memory yangu ...........
 
Hz movie bro anazipenda sn anazo 1 hadi 3 kumbe ni nzuri sn bahati mbaya kila nikijitahidi kuziangalia nashindwa maana siwezi kuangalia movie nusu saa nisilale
 
'i will give him an offer so good he will never refuse it!' hapo ujue akikataa anaokotwa maiti, kazi ya luca bracci(spp)
alimpa hyo ofa yule producer aliyemtosa johny fontane! Kilichomkuta ni siri yake!
 
'i will give him an offer so good he will never refuse it!' hapo ujue akikataa anaokotwa maiti,kazi ya Luca Bracci(spp)

alimpa hyo ofa prodyuza wa movie aliyemtosa johny fontane! kilichomkuta pale kitandani ni noma!
 
Huku ndio kuna Kate Adams, mmarekani aliyeolewa na muitaliano (ambacho kilikuwa kitu toffauti kidogo)?
siku kate adams anatambulshwa kwa johny fontane,hakuamini kama michael anamfahamu fontane the movie star!
 
Back
Top Bottom