The Godfather ya Mario Puzo

The Godfather ya Mario Puzo

hapa ni baada ya Sony kuonyesha pupa ya kuongea wakati ile family nyimngine ilipokuja kujifanya wanataka muafaka baina ya families mbili hizi zilizoingiliana maslahi.


Posted from my Nokia tochi, black & White.
Kikubwa hasa hapa Sony alionyesha hisia zake ambapo Don hakupenda kwani iliwaonyesha adui kuwepo kwa tofauti ndani ya familia.
 
Kuna forum moja napenda kuipitia mara kwa mara. Kuna discussions nyingi kuhusu hizi movies. THE GODFATHER TRILOGY - The Web Site You Can't Refuse Pitia usome

Pia unaweza kupata transcripts, pictures etc za GF zote. Links hizi hapa

THE GODFATHER (1972)

THE GODFATHER, Part II (1974)

THE GODFATHER, Part III (1990)

mainpic_gf1.jpg
 
Wakuu hizo novel zinapatikana kwa hard copy ? Naweza kuzipata wapi??? Vp khs hizo movie zinapatikana hpa mjini kwani mi nilichek part 2 hizo nyingine cjaziona
 
Hz movie bro anazipenda sn anazo 1 hadi 3 kumbe ni nzuri sn bahati mbaya kila nikijitahidi kuziangalia nashindwa maana siwezi kuangalia movie nusu saa nisilale

ukiona ivo ujue movie. Cyo hobby yako tafuta hobby nyingine usilazimishe
 
Wakuu hizo novel zinapatikana kwa hard copy ? Naweza kuzipata wapi??? Vp khs hizo movie zinapatikana hpa mjini kwani mi nilichek part 2 hizo nyingine cjaziona

Fika mitaa ya motel agip kule na tankot house kuna masela wanauza vitabu na wakiwa hawana unawaachia namba za simu wanakutafutia wale wana!!!
 
Fika mitaa ya motel agip kule na tankot house kuna masela wanauza vitabu na wakiwa hawana unawaachia namba za simu wanakutafutia wale wana!!!

mkuu asante sna hyo agip motel iko pande zp? posta samora au?ungenitajia mtas ingekuwa poa zaid
 
kweli kuna mtu alikua kama don? Mzee alikua na empire hadi sicily kule alikoenda jificha michael ambako kipindi anarud us ilibid arudi na salvatore'turi

Mzee huwezi kuamini lakini walikuwepo, miongoni mwao ni Carlo "Don Carlo" Gambino (Gambino Crime Family), Joseph "Joe Bananas" Bonnano (Bonnano Crime family), Vitorio "Don Vitto" Genovese (Genovese Crime family), Tommy "Three Fingers" Luchesse (Luchesse Crime Family) na Joseph Colombo (Colombo Crime Family). Hawa walikuwa traditional Mafia Bosses kama Don Corleone alivyokuwa kwenye movies za "The Godfather". Rackets zao zilikuwa ni Gambling,Prostitution, Loan sharking, Extortion na Union filtration.

Kwao biashara ya madawa ya kulevya ilikuwa marufuku. Member wa Family akijulikana anafanya biashara hiyo lazima ale shaba tu. Lakini baada ya hao niliowataja hapo juu kufariki, mabosi waliochukua nafasi zao walishindwa kujizuia kufanya biashara hiyo kwani ilikuwa na faida kubwa sana.
 
Film ya Godfather ilikuwa inaelezea real life ya Gambino Family...


Inawezekana Mkuu, maana Carlo "Don Carlo" Gambino alikuwa old school Mafia Boss. Hataki attention, anapiga rackets zake nyuma ya pazia na alikuwa hataki Family members wake wajihusishe na drug business. You deal with drugs, you die. Na ndio maana alidumu kwa muda mrefu mpaka alipokufa.

Kabla ya kufa alimuachia Shemeji yake The Big Paul Castellano kuwa bosi wa Gambino Crime Family badala ya Underboss wake Aniello "Father Neil" Dellacroce, jambo ambalo youngbloods wakiongozwa na John Gotti walilipinga sana. Baada ya Don Carlo kufa kwa ugonjwa wa moyo na baadaye Dellacroce kufa kwa kansa, John Gotti na wenzake wakafanya njama wakamuua The Big Paul na John Gotti akawa Bosi.

Pia role ya Johnny Fontane kwenye The Godfather ilikuwa loosely based kwenye maisha halisi ya Frank Sinatra ambaye anajulikana kuwa alikuwa mtu wa karibu makundi mbalimbali ya Mafia.
 
mkuu asante sna hyo agip motel iko pande zp? posta samora au?ungenitajia mtas ingekuwa poa zaid

Siukumbuki jina mkuu that short ave inaanzia mbele ya WoolWorth inaishia Luther house ,unaweza ianzia Samora ya chini baada ya askari monument kama unaenda IFM kona ya kwanza turn right!!!
 
Back
Top Bottom