The government of Iran has issued Notice(s) to Air Missions (NOTAM) closing certain air space in their country for "military Action / Emergency

Ayatollah ajue yuko kwenye waiting list. Jamaa wanamsikilizia tu wakati ukifika wanamuondoa. Apambane kutafuta gap la suluhu za kidiplomasia akishupaza shingo ajue nguvu ya kupambana na wazayuni hana
 
Ayatollah ajue yuko kwenye waiting list. Jamaa wanamsikilizia tu wakati ukifika wanamuondoa. Apambane kutafuta gap la suluhu za kidiplomasia akishupaza shingo ajue nguvu ya kupambana na wazayuni hana
Ayatollah ni kiongozi wa dini.
Ukitaka SHIA wakucharukie gusa kiongozi wao wa dini.
Utajua hujui.
 
Jamani kushambulia taifa lenye nyukilia unatafuta kifo, sikio la kufa halisikii dawa, Iran amefuata njia ya Iraq enzi za Sadamu. Watu wanahisi Israel hana maandalizi na vita kwamba amekurupuka, atakuwa alishajiandaa muda mrefu sana kwa chochote kitakachotokea. Air force ya Iran bado sana ukilinganisha na Air force ya Israel, Iran anazidi Israel tu idadi ya wanajeshi, kwa upande wa technology Israel amezidi Iran kwa kila kitu, Israel ana ndege za kisasa , Iran ana ndege za zamani. Alichonacho USA Israel anacho.
 
Ayatollah ni kiongozi wa dini.
Ukitaka SHIA wakucharukie gusa kiongozi wao wa dini.
Utajua hujui.
Ikifika muda wa kazi anakuwa ELIMINATED bila kujali ushiha, usuni, mujahdeen nk. Adabu ni muhimu vinginevyo anaondolea na washia watakaobaki wanajifix wenyewe kwenye mstari
 
Iran ni nchi ya kijinga kabisa, inajiingiza kwenye mambo yasiyowahusu. Pilipili iko shambani, wao inawawashia nini? Ameuwawa kiongozi wa Hamas, wao Iran wanataka kuanzisha vita na Israel ili iweje?
Ngojq waendelee kujipeleka kichwa kichwa wauwawe kama kumbikumbi. Myahudi hanaga huruma yule.
 
Ikifika muda wa kazi anakuwa ELIMINATED bila kujali ushiha, usuni, mujahdeen nk. Adabu ni muhimu vinginevyo anaondolea na washia watakaobaki wanajifix wenyewe kwenye mstari
Jidanganye.
Majibu yatakayotoka hapo hiyo Israel haitaamini.
Unadhani wao hawajui hasara zitakazowakumba?
Unadhani hilo litazuia wao kulipa kisasi!?
Subirini Netanyahu akalalamike tena UN council kama June.
 
Uongo mwingi mno hapa
 
Hivi unajua ni violation of sovereignty kiongozi kuuawa katika taifa lako!?
Yani mgeni wa serikali auawe hapo ikulu ndogo ya Tanzania halafu Tanzania wakae kimya!?
Pia Israel kalipua moja ya post ya Iran pale Syria.
Hivyo Iran linamuhusu pia.
 
Hapo unakunywa kahawa na kashata, umeevaa kanzu bila boxer ndani basi unandika utumbo mtupu, hiyo ilikuwa mwaka gani vyuma vilipita juu ya bungee la israel
Mwaka huu June,au hukutizama video!?
Zilirushwa vyombo vikuu vyote vya habari.
 
Hivi nyie mbona mnaichukulia israel poa sana israel ina nuklia
 
QURAN yenu ndiyo iliwatuma mkazoa na raia wenu wa Gaza mkaingia Israel kuua raia wa watu wasio na hatia kutia ndani na Watanzania wenzio akina Joshua ambapo nyinyi Waislamu mlimuua kwa ukatili. Sasa ndiyo hayo mavuno yake; na Allah wenu Feki ndiyo mwaka huu mtamjua kikamilifu hana msaada wowote
 
Hapo unakunywa kahawa na kashata, umeevaa kanzu bila boxer ndani basi unandika utumbo mtupu, hiyo ilikuwa mwaka gani vyuma vilipita juu ya bungee la israel
Mbona Masjidi walitusimulia kwamba vuuma vilipita juu ya bunge!?
 
Uhuru gani anaopigania, ndiyo mnavyodsnganywa na Masheikh wenu hivyo. Hata haujui historia ya Gaza; na wala haujui kuwa Hanniye ni Mu Egypt, ni kwa sababu hamjishughulishi kusoma

Kwani Haniyyeh alizaliwa wapi?
wazazi wake wake walizaliwa wapi?
Babu na bibi yake walizaliwa wapi?
 
Kwani Haniyyeh alizaliwa wapi?
wazazi wake wake walizaliwa wapi?
Babu na bibi yake walizaliwa wapi?
Ndiyo msome, siyo kudandia tu propaganda za Quran na kupuliziwa na Wakomunisti wa KGB waliounda taifa la kilaghai la Palestina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…