The government of Iran has issued Notice(s) to Air Missions (NOTAM) closing certain air space in their country for "military Action / Emergency

The government of Iran has issued Notice(s) to Air Missions (NOTAM) closing certain air space in their country for "military Action / Emergency

Jamani kushambulia taifa lenye nyukilia unatafuta kifo, sikio la kufa halisikii dawa, Iran amefuata njia ya Iraq enzi za Sadamu. Watu wanahisi Israel hana maandalizi na vita kwamba amekurupuka, atakuwa alishajiandaa muda mrefu sana kwa chochote kitakachotokea. Air force ya Iran bado sana ukilinganisha na Air force ya Israel, Iran anazidi Israel tu idadi ya wanajeshi, kwa upande wa technology Israel amezidi Iran kwa kila kitu, Israel ana ndege za kisasa , Iran ana ndege za zamani. Alichonacho USA Israel anacho.

Unapozungumzia nyuklia maana yake unaongelea silaha inayopaswa kumilikiwa na watu wenye uvumilivu na uwezo mkubwa sana wa vita na inatumika tu pale unapokuwa attacked na nyuklia powere mwenzio.

Kitendo cha kuachia Nyuklia dhidi ya Iran tutaitaka either ni ukurupukaji,uoga au ni kuzidiwa, maana unamiliki Nyuklia halafu unauza wenzio wasiwe nayo halafu ukiguswa unatishia kupiga nuke, hii ni dalili ya uoga.

USA angeachia wengine nao wamiliki nuke na sio kuwekeza watu vikwazo kumiliki nuke halafu unatishia kuwapiga wenzako nuke, Inachekesha Sana, tuweke usawa na kuacha kubase upande mmoja ili wote wamiliki silaha hata siku wakichapana kunakuwa na balance of power, sasa haiwezekani umuwekee mtu vikwazo since 1979 halafu leo tena unaanza kupigana naye vita, balance of power iko wapi hapo.
Wangemuacha naye Iran awe free kununua silaha atakako, kununua technolojia atakako, kumiliki atakacho ili naye aweze kulinda mipaka na watu wake.
 
Iran anadai eti huyo fogo ameuawa akiwa katika ardhi ya Iran. Badala ya Iran kuitakasa ardhi yake iliyomwagikiwa (Najisiwa)na damu ya huyo gaidi, yeye anakwenda kuliamsha na Myahudi.
 
Hivi nyie mbona mnaichukulia israel poa sana israel ina nuklia
Ngoja tusubiri,ila remember that Israel is a small country and could be overwhelmed within 5 minutes with a salvo of missiles and completely destroyed.Ni maamuzi tu.
 
Unapozungumzia nyuklia maana yake unaongelea silaha inayopaswa kumilikiwa na watu wenye uvumilivu na uwezo mkubwa sana wa vita na inatumika tu pale unapokuwa attacked na nyuklia powere mwenzio.

Kitendo cha kuachia Nyuklia dhidi ya Iran tutaitaka either ni ukurupukaji,uoga au ni kuzidiwa, maana unamiliki Nyuklia halafu unauza wenzio wasiwe nayo halafu ukiguswa unatishia kupiga nuke, hii ni dalili ya uoga.

USA angeachia wengine nao wamiliki nuke na sio kuwekeza watu vikwazo kumiliki nuke halafu unatishia kuwapiga wenzako nuke, Inachekesha Sana, tuweke usawa na kuacha kubase upande mmoja ili wote wamiliki silaha hata siku wakichapana kunakuwa na balance of power, sasa haiwezekani umuwekee mtu vikwazo since 1979 halafu leo tena unaanza kupigana naye vita, balance of power iko wapi hapo.
Wangemuacha naye Iran awe free kununua silaha atakako, kununua technolojia atakako, kumiliki atakacho ili naye aweze kulinda mipaka na watu wake.
Ukizingatia Vigezo ulivyotaja hapo 👆 👆 vya nchi kuwa na uhalali wa kumiliki nukes; unaonaje hao kobaaz wangekuwa wamezimiliki hizo silaha, leo hii kwa hali iliyopo mashariki ya kati pangekuwaje? Hadi sasa Myahudi hajatumia nukes licha ya kwamba anazo wala hajasema ana mpango wa kuzitumia. Hao wavaa madela wanajulikana kuwa ni arrogant na very aggressive. Wataleta balaa kama wakiwa nazo.
 
Anayoyafanya Israel ya kuua viongozi siyo kwamba Nchi nyingine haziwezi kuwadungua viongozi wao pia au watu wao muhimu ikiwemo wanasayansi au wafanyabiashara. Ila nchi hizo zina kiasi ktk maamuzi yao.
Israel hauwi viongozi bali anaua viongozi wa magaidi walioshiriki katika kupanga mauaji ya wayahudi.
 
Ngoja tusubiri,ila remember that Israel is a small country and could be overwhelmed within 5 minutes with a salvo of missiles and completely destroyed.Ni maamuzi tu.
Ni Maamuzi yasiyotekelezeka. Kuwa small country in terms of area haimaanishi ni small country in terms of power. Sijui ni kwa nini watu hawaamini anachokisema Myahudi. Myahudi alishasema na akarudia tena kwamba yupo tayari kukabiliana na hao kobaaz mmoja-mmoja au wote kwa pamoja na kwa uwingi wao. Ni lugha ghani aseme ili mumwelewe? Tukubaliane hapo kwamba Ngoja Tusubiri.
 
Acha pawake..nadhani binadamu ana maximum point ya uvumilivu... ipo adabu inahitajika....ni matter how...ni.muda sada
 
Acha pawake..nadhani binadamu ana maximum point ya uvumilivu... ipo adabu inahitajika....ni matter how...ni.muda sada
Ndiyo. Wakizichapa atapatikana ni nani kidume na kweli hapo adabu na kuheshimiana vitatamalaki. Sio kila siku ng'rr-ng'rr kama
1722540635487.png
 

Iran has officially informed the United Nations that it will conduct retaliatory attack upon Israel according to UN Treaty Article 51​


AUGUST 01, 2024

Iran Officially Informs United Nations: Will Conduct Retaliatory Attack Upon Israel according to UN Treaty Article 51


Iran has officially informed the United Nations of its intent to carry out a retaliatory action of self-defense against Israel in accordance with Article 51 of the UN charter.
U.N. Secretary-General Antonio Guterres confirmed in a phone call to the Iranian Foreign Minister that Iran has the 'inherent right to self-defense' against violations of its national security and territorial integrity.
UPDATE 6:14 PM EDT --
Intel assesses: Iran and its proxies will launch very large missile assault; US expects the attack within days, with a scope to be larger than April 13 retaliation, after Israel Bombed the Iran Embassy in Damascus, Syria.
One American official predicts several difficult days ahead, and says the US is taking steps to help IDF intercept incoming threats.
 

ISRAEL AWAKENS SLEEPING MINISTERS. RUSHES THEM TO UNDERGROUND BUNKERS​


AUGUST 01, 2024
********** BULLETIN **********    ISRAEL AWAKENS SLEEPING MINISTERS; RUSHES THEM TO UNDERGROUND BUNKERS


The government of Israel woke-up sleeping, high-ranking Ministers about one hour ago, and rushed them all to UNDERGROUND BUNKERS
Regular members of the Knesset (Parliament) who are do not get evacuated to Bunkers, have been given Satellite Phones in event of communications failures from expected Iran retaliation.
All this within the past 60 minutes, as this story is published at 8:20 PM eastern US Time (GMT -0400).
 
Jamani kushambulia taifa lenye nyukilia unatafuta kifo, sikio la kufa halisikii dawa, Iran amefuata njia ya Iraq enzi za Sadamu. Watu wanahisi Israel hana maandalizi na vita kwamba amekurupuka, atakuwa alishajiandaa muda mrefu sana kwa chochote kitakachotokea. Air force ya Iran bado sana ukilinganisha na Air force ya Israel, Iran anazidi Israel tu idadi ya wanajeshi, kwa upande wa technology Israel amezidi Iran kwa kila kitu, Israel ana ndege za kisasa , Iran ana ndege za zamani. Alichonacho USA Israel anacho.
Kama ni hivyo basi vita ingekuwa haipiganwi kisa alichonacho fulani naye anacho vita ni mkakati ndio maana Marekani na Uingereza wameshindwa kupita bahari ya houthi ilihali houthi bado ni tegemezi kwa silaha
 
Are you in the military? Military analyst? Or just sharing unfounded opinions
Jamani kushambulia taifa lenye nyukilia unatafuta kifo, sikio la kufa halisikii dawa, Iran amefuata njia ya Iraq enzi za Sadamu. Watu wanahisi Israel hana maandalizi na vita kwamba amekurupuka, atakuwa alishajiandaa muda mrefu sana kwa chochote kitakachotokea. Air force ya Iran bado sana ukilinganisha na Air force ya Israel, Iran anazidi Israel tu idadi ya wanajeshi, kwa upande wa technology Israel amezidi Iran kwa kila kitu, Israel ana ndege za kisasa , Iran ana ndege za zamani. Alichonacho USA Israel anacho.
 
Back
Top Bottom