'The Greater Israel' inakuja ,hizi ni rasharasha

'The Greater Israel' inakuja ,hizi ni rasharasha

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
 
Hivyo wayahudi wa huku kayenze na kishiri huyu masihi wanaemuabudu ni masihi yupi ikiwa yule wa wayahudi hajaja..??

Binafsi hizi mimi naona ni ngonjera tupu!, taifa gani la Mungu linaishi kwa vita wakati huohuo wanasema Mungu wao ni wa amani..!
mnaijua amani nyie..?
Nitaandika kila leo huyu kiumbe binadamu bado yupo kwenye "evolution" na karne hizi naona evolution yake imetamalaki kwenye intelligence (ufahamu).
tuna safari ndefu sana yakuja kugeuka ktk maswala ya imani, haswa imani hizi zakidini.

Sasahivi sisi tunasoma kuwa karne kadhaa huko nyuma kulikuwa na biashara ya utumwa na mambo mengine ya hovyo, sasa karne zijazo hapo mbele vizazi vijavyo vitasoma nakushuhudia ujinga wetu wa imani hizi za dini!, itakuwa ni kichekesho cha haja kwelikweli.

Mungu gani anashindwa kuondosha mwiba barabarani ili watu wake anaowapenda wasijichome, ila yeye kaamua kuuacha halafu atakaejichoma nao ati anaenda motoni!!!! nini maana yakuwa na uweza wa yote ikiwa mambo yenyewe anayafanya kienyeji kiasi hichi..?

ndugu badilikeni hakuna Mungu wa namna hii, Hayupo narudia tena hayupo nikuchotwa tu akili mtasubiri sana kuja kwake, wenye njama zao watawabadilishia kila sura ya kinyago muogope, muabudu na mfanye vile watakavyo.

Kama unajiona wewe unashindwa kuishi kwa kutumia ubongo wako mpk utegemee maandiko yanayoitwa matakatifu basi unashida kichwani mwako kaa tafakari,jipime na uvue ujinga ulionao.
 
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
Uko sahihi lakini ukae ukijua wazayuni hao ibilisi wanaye mngoja sio Yesu au Christ wanamngoja Antichrist au mpinga Kristo Vitabu vya biblia na Quran vyote vinasema hivi ,
Na theolojia zinasema hivyo .
Mazayuni hawakukubali Yesu au Christ wao wanamsubiri Leviathan au Antichrist na inasemekana ameshazaliwa ana miaka 10 mpaka sasa duniani ,na ndio ibilisi au mpinga kristo katika mwili wa binadamu ambae hawa mazayuni washenzi waabudu ibilisi wanamngoja

Judaism na vitabu vyao vya Talmud hawamkubali Yesu kama Masiah wao ,wana Masiah wao mwingine ambaye ndio mpinga Kristo wa kwenye Quran na biblia .
 
Hii plan ya kutengeneza Greater Israel upo sawa ,ni maandalizi ya kuandaa kumpokea huyo mpinga Kristo na utawala wake duniani hapa na headquarters itakuwa ni hapo nchi ya walowezi
 
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
Usiacha kuendelea kuabudu kwa huyo mchungaji wako utailetea hii Taifa mzigo wa kizazi vilaza.
 
Ila dini inaweza kukufanya mpumbavu na pia inaweza kukufanya ukawa mtu wa maana kabisa
 
Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .
Haiko hivyo,,, Greater Israel ilikuwa ya kabila 12..Nà kabila 11 zilishapotea...Nowadays Israel imekuwa na kabila moja la Yuda...Na suala la Greater Israel lilishapita na halitakuwepo tena..Kabila moja limebakishwa kukamilisha mambo ya siku za mwisho...Hekalu kujengwa ni Baada ya kanisa (body of Christ) kunyakuliwa..Na litajengwa wakati wa miaka 7 ya dhiki kuu ambayo ni bora sana mtu yoyote asingeifikià hio miaka..
 
Ni heri niendelee kuwa mlevi wa pombe kuliko mlevi wa hizi dini za kipumbavu
 
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
Ndugu kwa Wayahudi, Isaya 9:6 wenyewe wanasema hilo andiko halijatimia,so Kwao Masihi bado hajazaliwa,wanasubiri azaliwe.
 
Kanisa siyo Nyumba ya Mungu.
Hekalu ndiyo Nyumba ya Mungu,na kwa sasa sisi wakristu miili yetu ndiyo imefanyika kuwa hekalu la Roho Mtakatifu,so miili yetu ni Nyumba ya Mungu.
 
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
Hadi utakapojua kwamba mungu wanaomuamini wayahudi na wanaomuamini wakristo ni tofauti
Na hadi utakapojua kwamba temple la wayahudi na kanisa ni vitu viwili tofauti huwezi kuelewa kinachoendelea duniani nenda ukaendelee kuimba tu kanisani
 
Hivyo wayahudi wa huku kayenze na kishiri huyu masihi wanaemuabudu ni masihi yupi ikiwa yule wa wayahudi hajaja..??

Binafsi hizi mimi naona ni ngonjera tupu!, taifa gani la Mungu linaishi kwa vita wakati huohuo wanasema Mungu wao ni wa amani..!
mnaijua amani nyie..?
Nitaandika kila leo huyu kiumbe binadamu bado yupo kwenye "evolution" na karne hizi naona evolution yake imetamalaki kwenye intelligence (ufahamu).
tuna safari ndefu sana yakuja kugeuka ktk maswala ya imani, haswa imani hizi zakidini.

Sasahivi sisi tunasoma kuwa karne kadhaa huko nyuma kulikuwa na biashara ya utumwa na mambo mengine ya hovyo, sasa karne zijazo hapo mbele vizazi vijavyo vitasoma nakushuhudia ujinga wetu wa imani hizi za dini!, itakuwa ni kichekesho cha haja kwelikweli.

Mungu gani anashindwa kuondosha mwiba barabarani ili watu wake anaowapenda wasijichome, ila yeye kaamua kuuacha halafu atakaejichoma nao ati anaenda motoni!!!! nini maana yakuwa na uweza wa yote ikiwa mambo yenyewe anayafanya kienyeji kiasi hichi..?

ndugu badilikeni hakuna Mungu wa namna hii, Hayupo narudia tena hayupo nikuchotwa tu akili mtasubiri sana kuja kwake, wenye njama zao watawabadilishia kila sura ya kinyago muogope, muabudu na mfanye vile watakavyo.

Kama unajiona wewe unashindwa kuishi kwa kutumia ubongo wako mpk utegemee maandiko yanayoitwa matakatifu basi unashida kichwani mwako kaa tafakari,jipime na uvue ujinga ulionao.
Umemaliza kila kitu mkuu.
Heshima yako mkuu
 
Uko sahihi lakini ukae ukijua wazayuni hao ibilisi wanaye mngoja sio Yesu au Christ wanamngoja Antichrist au mpinga Kristo Vitabu vya biblia na Quran vyote vinasema hivi ,
Na theolojia zinasema hivyo .
Mazayuni hawakukubali Yesu au Christ wao wanamsubiri Leviathan au Antichrist na inasemekana ameshazaliwa ana miaka 10 mpaka sasa duniani ,na ndio ibilisi au mpinga kristo katika mwili wa binadamu ambae hawa mazayuni washenzi waabudu ibilisi wanamngoja

Judaism na vitabu vyao vya Talmud hawamkubali Yesu kama Masiah wao ,wana Masiah wao mwingine ambaye ndio mpinga Kristo wa kwenye Quran na biblia .
Kwahiyo mpinga kristo amesha zaliwa na ana miaka 10 🤣 Location wapi?
 
Hivyo wayahudi wa huku kayenze na kishiri huyu masihi wanaemuabudu ni masihi yupi ikiwa yule wa wayahudi hajaja..??

Binafsi hizi mimi naona ni ngonjera tupu!, taifa gani la Mungu linaishi kwa vita wakati huohuo wanasema Mungu wao ni wa amani..!
mnaijua amani nyie..?
Nitaandika kila leo huyu kiumbe binadamu bado yupo kwenye "evolution" na karne hizi naona evolution yake imetamalaki kwenye intelligence (ufahamu).
tuna safari ndefu sana yakuja kugeuka ktk maswala ya imani, haswa imani hizi zakidini.

Sasahivi sisi tunasoma kuwa karne kadhaa huko nyuma kulikuwa na biashara ya utumwa na mambo mengine ya hovyo, sasa karne zijazo hapo mbele vizazi vijavyo vitasoma nakushuhudia ujinga wetu wa imani hizi za dini!, itakuwa ni kichekesho cha haja kwelikweli.

Mungu gani anashindwa kuondosha mwiba barabarani ili watu wake anaowapenda wasijichome, ila yeye kaamua kuuacha halafu atakaejichoma nao ati anaenda motoni!!!! nini maana yakuwa na uweza wa yote ikiwa mambo yenyewe anayafanya kienyeji kiasi hichi..?

ndugu badilikeni hakuna Mungu wa namna hii, Hayupo narudia tena hayupo nikuchotwa tu akili mtasubiri sana kuja kwake, wenye njama zao watawabadilishia kila sura ya kinyago muogope, muabudu na mfanye vile watakavyo.

Kama unajiona wewe unashindwa kuishi kwa kutumia ubongo wako mpk utegemee maandiko yanayoitwa matakatifu basi unashida kichwani mwako kaa tafakari,jipime na uvue ujinga ulionao.
Bahati nzuri Mungu wa Kweli anajipigania vita vyake.
 
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
Uhakika ni kwamba;taifa la Israel halitafutwa iwapo tu litaendelea kuwa taifa lenye nguvu kubwa na kiburi, lakini pia halitakuwa salama hadi dunia itakapoangamizwa.
Kile ambacho wanakifanya ni kujiongezea maadui siku hadi siku na kizazi hadi kizazi.
Israel itadumu kwa kutegemea nguvu ya 'Moto' kinyume na hivyo itafutwa.
Israel itaendeleza mauaji ya mara kwa mara na kufanya maangamizi kwa ajili ya usalama wake.
Naam, itakuwa salama lakini haitakuwa na amani ya kudumu.
Wale walio maadui wa Israel wataendelea kuisakama na kutishia uwepo wake na yenyewe Israel itaendelea kupigania uhai wake kwa fimbo ya Sinwar.
(Ni mtazamo tu!)
 
Hivyo wayahudi wa huku kayenze na kishiri huyu masihi wanaemuabudu ni masihi yupi ikiwa yule wa wayahudi hajaja..??

Binafsi hizi mimi naona ni ngonjera tupu!, taifa gani la Mungu linaishi kwa vita wakati huohuo wanasema Mungu wao ni wa amani..!
mnaijua amani nyie..?
Nitaandika kila leo huyu kiumbe binadamu bado yupo kwenye "evolution" na karne hizi naona evolution yake imetamalaki kwenye intelligence (ufahamu).
tuna safari ndefu sana yakuja kugeuka ktk maswala ya imani, haswa imani hizi zakidini.

Sasahivi sisi tunasoma kuwa karne kadhaa huko nyuma kulikuwa na biashara ya utumwa na mambo mengine ya hovyo, sasa karne zijazo hapo mbele vizazi vijavyo vitasoma nakushuhudia ujinga wetu wa imani hizi za dini!, itakuwa ni kichekesho cha haja kwelikweli.

Mungu gani anashindwa kuondosha mwiba barabarani ili watu wake anaowapenda wasijichome, ila yeye kaamua kuuacha halafu atakaejichoma nao ati anaenda motoni!!!! nini maana yakuwa na uweza wa yote ikiwa mambo yenyewe anayafanya kienyeji kiasi hichi..?

ndugu badilikeni hakuna Mungu wa namna hii, Hayupo narudia tena hayupo nikuchotwa tu akili mtasubiri sana kuja kwake, wenye njama zao watawabadilishia kila sura ya kinyago muogope, muabudu na mfanye vile watakavyo.

Kama unajiona wewe unashindwa kuishi kwa kutumia ubongo wako mpk utegemee maandiko yanayoitwa matakatifu basi unashida kichwani mwako kaa tafakari,jipime na uvue ujinga ulionao.
kumbe inabidi Tuishi kwa kutumia ubongo, ila nipo najiuliza ubongo ulipatikanaje mpka tukawa na uwezo wa kuutumia!?.🤔
 
Hivyo wayahudi wa huku kayenze na kishiri huyu masihi wanaemuabudu ni masihi yupi ikiwa yule wa wayahudi hajaja..??

Binafsi hizi mimi naona ni ngonjera tupu!, taifa gani la Mungu linaishi kwa vita wakati huohuo wanasema Mungu wao ni wa amani..!
mnaijua amani nyie..?
Nitaandika kila leo huyu kiumbe binadamu bado yupo kwenye "evolution" na karne hizi naona evolution yake imetamalaki kwenye intelligence (ufahamu).
tuna safari ndefu sana yakuja kugeuka ktk maswala ya imani, haswa imani hizi zakidini.

Sasahivi sisi tunasoma kuwa karne kadhaa huko nyuma kulikuwa na biashara ya utumwa na mambo mengine ya hovyo, sasa karne zijazo hapo mbele vizazi vijavyo vitasoma nakushuhudia ujinga wetu wa imani hizi za dini!, itakuwa ni kichekesho cha haja kwelikweli.

Mungu gani anashindwa kuondosha mwiba barabarani ili watu wake anaowapenda wasijichome, ila yeye kaamua kuuacha halafu atakaejichoma nao ati anaenda motoni!!!! nini maana yakuwa na uweza wa yote ikiwa mambo yenyewe anayafanya kienyeji kiasi hichi..?

ndugu badilikeni hakuna Mungu wa namna hii, Hayupo narudia tena hayupo nikuchotwa tu akili mtasubiri sana kuja kwake, wenye njama zao watawabadilishia kila sura ya kinyago muogope, muabudu na mfanye vile watakavyo.

Kama unajiona wewe unashindwa kuishi kwa kutumia ubongo wako mpk utegemee maandiko yanayoitwa matakatifu basi unashida kichwani mwako kaa tafakari,jipime na uvue ujinga ulionao.
Walokole waliolishwa yamini na watoto wa Mungu, hawatokuelewa hata!!! Hata myahudi aende kwake amchukulie mke wake atakubali maana kachukuliwa na mtoto wa mungu na ilishaandikwa tena walioandika ni hao hao watoto wa mungu Jewish😆
Hakuna mahali palipoandikwa mungu akaweka saini yake kwamba kaandika yeye, ogopa sana brainwashed mkuu kichwani akili yako ya asili wanaifuta yote, wanakuachia walichokupandikiza
 
— 🇮🇷/🇱🇧 A source close to the IRGC: 'There is no worry about Hezbollah's supply lines. Many different scenarios have alternative plans that we have prepared for in advance.'

@Middle_East_Spectator
 
😂😂😂😂😂😂Ila nyie majitu myeusi amkeni mtoke nje mkatembee huko duniani kutoa hizi tongotongo kwenye macho.

Damn this religios hox and propagandas zimewaingia to your veins.

Bro wake up!!!! hamna logic wala haingii akilini ni kwa namna gani ONE MAN had to die and suffer as those scripted scripters say for some lazy fools out there, this shit your saying is ridiculous😄😄😄

As of the matter fact bado watu wanateseka and watateseka hadi kufa kwao and nothing will change.

Kama huyo masiha hakuja kipindi cha UTUMWA, ain't no time atakuja kwasababu kama kuna kipindi mankind imepitia tabu na shuruba ilikuwa kipindi cha watumwa and that promised man never appeared😂😂😂😂

Brother wake up!!!!, stop dreaming aint nothing like a savior for your shit, get up!!! and get your shit together.
 
Back
Top Bottom