'The Greater Israel' inakuja ,hizi ni rasharasha

'The Greater Israel' inakuja ,hizi ni rasharasha

Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
Wayahudi wa Bulyanhulu mna shida sana na uzuri ni kwamba wayahudi wenyewe wanawachukulia kama mapimbi tu nyie endeleeni kuwashobokea
 
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
Vipi huku kwetu Iran, hawana pande lao,!?
 
Mbona Nabii Msomi GeoDavie Amesema Yesu Atashukia KIA Na Ataenda Mpokea Na Gari Yake?Au Yesu Atakuja Na Wadogo Zake Ili Kugawanyika Katika Majukumu Yao Ya Uenezaji Injili Kwa Mara Pili
 
Mazayuni hawakukubali Yesu au Christ wao wanamsubiri Leviathan au Antichrist na inasemekana ameshazaliwa ana miaka 10 mpaka sasa duniani ,na ndio ibilisi au mpinga kristo katika mwili wa binadamu ambae hawa mazayuni washenzi waabudu ibilisi wanamngoja
Kazaliwa nchi GANI? Unaweza kwenda deep kidogo? Je anaitwa Nani?
 
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
Wewe kwanza wacha ndoto Yesu hawezi kurudi kisha kufa hio ni 💯 hata bibilia zenu zinakiri hayo. Unabii wa Agano Jipya uko wazi kabisa. Kurudi kwa Yesu Kristo kulipaswa kutokea wakati wa maisha ya wale walioishi katika ile miaka ya 30 BK. Kwa kuwa hilo halikutokea, na kwa sasa tuko miaka 2000 wenzako walimsubiri na wajukuu wako watamsubiri hata mwende kwenye vituo vya mabus au Airport au kwenye bandari hamtamuona. Mtakutana naye pale anawasuta kuwa Yeye si Mungu na wala hakuwahi kuwambia yeye ni Mungu. Israel pia wanaota kama nyie eti kuna Masihi wanaye msubiri 😆 😂 Mungu alisha weka wazi kwenye Qur'an bada ya Mtume Muhammad hakuna atakaye kuja zaidi yake. Hao wenzenu wote wamekufa wayahudi na wakristo walimsubiria kama nyie. Kasomeni Mathayo 16:27-28, Marko 8:38-9:1, na Luka 9:26-27 ili mpate akili.

Ukisoma Isaya imeandikwa kwamba Israeli haitaweza tena kujilinda yenyewe. Kwa njia hiyo hiyo, Damascus ndio itamtia adabu(Isaya 17:4–6).

Nyie furahini tu hata bibilia zenu hamzisomi basi mkajua kinacho kuja? Kila kwenye matamanio ya fisi mtaishia kula mifupo nendeni tu mpaa mfike Damascus 👍
 
Baby Jesus na kiremba cha palestina dharau sana Papa anawafanyia wakristo
 
Vita kubwa zijazo zitaanzia middle east, hapo Kuna uadui wa kudumu. Vita havitoweza kuisha Hadi baadhi ya mataifa yaangamie au dunia iangamie halafu tuanze upyaa kama vile stone age. Watu wengi hasa huko duniani wamechoshwa na vita lakini watu wenye uchu wa kupata nguvu ndiyo huharibu hii dunia, vita middle east ni ya vizazi hata uue wanajeshi wote jua vijukuu vichanga siku moja vitakuja kama Babu zao hivyo ni endless war, ambapo Sasa upo uwezekano wa taifa au mataifa kutumia silaha zozote za maangamizi Ili kumaliza kabisa vita na ndipo vita kubwa itatokea duniani.

Vita si vya kufurahia kabisa, kitakachoiangamiza dunia ni dini na siasa.
 
Uko sahihi lakini ukae ukijua wazayuni hao ibilisi wanaye mngoja sio Yesu au Christ wanamngoja Antichrist au mpinga Kristo Vitabu vya biblia na Quran vyote vinasema hivi ,
Na theolojia zinasema hivyo .
Mazayuni hawakukubali Yesu au Christ wao wanamsubiri Leviathan au Antichrist na inasemekana ameshazaliwa ana miaka 10 mpaka sasa duniani ,na ndio ibilisi au mpinga kristo katika mwili wa binadamu ambae hawa mazayuni washenzi waabudu ibilisi wanamngoja

Judaism na vitabu vyao vya Talmud hawamkubali Yesu kama Masiah wao ,wana Masiah wao mwingine ambaye ndio mpinga Kristo wa kwenye Quran na biblia .
HAWEZI KUELEWA MTOTO MDOGO,HAJUI WAISRAELI FEKI WAPO KWENYE KUTUMIKA KUUSIMIKA UTAWALA WA WORLD NEW ORDER
 
Kwa Wayahudi, Nchi waloahidiwa, kihistoria inaenda mpaka kuchukua sehem za Syria,Jordan, Uturuki ,Misiri, Lebanoni.

Mnaweza msiamini, ila Israel tayari ndo kaifuta Palestina, Baada ya Trump kuanza kazi Rasimi, Israel anaenda kuchukua WEST BANK, NA GAZA.


Kwa mara ya kwanza Ndani ya miaka 50, Israel kavuka mpaka wa Golan Heights, kaingia SYRIA, kachukua miji mitano, anaendelea ,duru zinasema Israel anapiga kuelekea Mjinwa Daraa Syria.


Baada ya Syria, ataingia Lebanon, Kisha Irak.

Kwa baadae atamalizia Misri, Uturuki.

Hawa Jordan hawana shida, akikohoa tu wanaachia Eneo .


Ukisikia 'The Promised Land' walopewa Wayahudi, ndio hiyo Sasa.

Kwakua haya Mambo yamekaa kiroho sana, mnaweza msielewe.

Ipo hivi, Wayahudi mpaka Leo wanamngoja MASIHA wao waloahidiwa, na kwenye TORATI za Kiyahudi, MASIHA ili aje ni lazima Israel iwe Iko Salama kuanzia kiulinzi na Kimipaka, Usalama ambao kwao mpaka eneo lilojengwa Msikiti wa AL-AQSA Liwe tayari limejengwa HEKALU JIPYA ( historia inaonyesha, Hekalu Hilo lilibomolewa na Majeshi ya Rumi miaka ya nyuma sana, Hekalu hili ni kitu gan?? Kwa Leo tunaweza liita KANISA KUU SEHEM TAKATIFU AMBAYO MUNGU ANAISHI)


Sasa Kwa Wayahudi, kwao maandiko yanawaambia, MASIHI (YESU) ili aje Kwa kushuka kutoka Mbinguni, ni lazima HEKALU Hilo liwe tayari limesimamishwa UPYA ili YESU /MASIHI akishuka akae Ndani yake.

Ingawa Kwa Wakristo, ujuo Huu wa Kristo ni Ujio wa YESU mara ya pili .


Haya mambo Kwa haraka Huwa yanaonekana ya TARATIBU sana ila yana UHAKIKA.

YESU ANAKUJA!!
PRAISE TO JESUS
 
Back
Top Bottom