The Greater Kanumba movie mpya THIS IS IT!

The Greater Kanumba movie mpya THIS IS IT!

haya mashemeji na makaka natoa movie inaitwa naapa sitarudia kupenda, balatanda hee front page ina jina kiswahili not swangilishi ,the boss naomba uwe mshiriki katika film cause kingereza tutakuwa nacho cha kuotea naimani mtanisaidia na itafanya vyema katika ulimwengu wa movie
 
haya mashemeji na makaka natoa movie inaitwa naapa sitarudia kupenda, balatanda hee front page ina jina kiswahili not swangilishi ,the boss naomba uwe mshiriki katika film cause kingereza tutakuwa nacho cha kuotea naimani mtanisaidia na itafanya vyema katika ulimwengu wa movie
part i ,2 na 3 sio?
haya,
 
haya mashemeji na makaka natoa movie inaitwa naapa sitarudia kupenda, balatanda hee front page ina jina kiswahili not swangilishi ,the boss naomba uwe mshiriki katika film cause kingereza tutakuwa nacho cha kuotea naimani mtanisaidia na itafanya vyema katika ulimwengu wa movie

Heheeeeeeeee,umepanga kutumia muda gani kuiandaa hiyo movie mpaka itoke,mwezi au wiki(kama akina Kanumba)...Bongo vichekesho kweli...Wakati Hollywood movie huchukua hadi miaka mi3 tangu kuanza kuandaliwa mpaka kutoka wao ndani ya wiki moja tu movie ishaandaliwa(shooting na kila kitu) na kutoka
 
Halafu kitu kingine kinachonikera katika Bongo movie industry ni Wingi wa matoleo ya filamu moja...Utakuta(mfano) This Is It part 1,part 2,part 3 na wakati mwingine mpaka part 4...aaaaaaaaaargh
 
haya mashemeji na makaka natoa movie inaitwa naapa sitarudia kupenda, balatanda hee front page ina jina kiswahili not swangilishi ,the boss naomba uwe mshiriki katika film cause kingereza tutakuwa nacho cha kuotea naimani mtanisaidia na itafanya vyema katika ulimwengu wa movie
he he,dada na mimi nataka kuwa msanii supastaa niuze sura kideoni ntafutie basi chansi hapo kwenye kampuni yako.
 
Halafu kitu kingine kinachonikera katika Bongo movie industry ni Wingi wa matoleo ya filamu moja...Utakuta(mfano) This Is It part 1,part 2,part 3 na wakati mwingine mpaka part 4...aaaaaaaaaargh
babu ni kudesa kwa wapopo mpaka matoleo lazima waige aaaaaargh!
 
part i ,2 na 3 sio?
haya,
Hii itakuwa zaidi kama prison breaker au the unit kwa hiyo ina part nyingi hazihesabiki naombeni suport hahaha mwongozaji ndo natafuta balatanda kamsema tyson nadhani atafaa
 
Heheeeeeeeee,umepanga kutumia muda gani kuiandaa hiyo movie mpaka itoke,mwezi au wiki(kama akina Kanumba)...Bongo vichekesho kweli...Wakati Hollywood movie huchukua hadi miaka mi3 tangu kuanza kuandaliwa mpaka kutoka wao ndani ya wiki moja tu movie ishaandaliwa(shooting na kila kitu) na kutoka
usikute tunaongea na aunt ezekiel hapa;au irene uwoya.maana firstlady saa ngapi ataandaa muvi wakati wote tuko adicted na JF hapa?usishangae muvi ikaitwa JF kisima cha burudani,halafu na picha ya balantanda,si itapendeza?
 
Halafu kitu kingine kinachonikera katika Bongo movie industry ni Wingi wa matoleo ya filamu moja...Utakuta(mfano) This Is It part 1,part 2,part 3 na wakati mwingine mpaka part 4...aaaaaaaaaargh
Nataka kuwa supa star 2010 nitajitahidi kutoa mapema iwezekanavyo hata nikiboronga waandishi mpo mtanifagilia tu wawah tu so by end of juni zitaanza kuwa sokoni
 
usikute tunaongea na aunt ezekiel hapa;au irene uwoya.maana firstlady saa ngapi ataandaa muvi wakati wote tuko adicted na JF hapa?usishangae muvi ikaitwa JF kisima cha burudani,halafu na picha ya balantanda,si itapendeza?
Mheshimiwa yuko ziarani na mie najibudisha jf babukijana kama huwa unapaka mapouda nitakushirikisha bwana ajira kwa vijana
 
the greatest Fl1 ngoja nilale sasa nawatakia weekend njema,hivi nyie hamna hata pa kwenda weekend 24 hrs Jf poleni sana
 
Mheshimiwa yuko ziarani na mie najibudisha jf babukijana kama huwa unapaka mapouda nitakushirikisha bwana ajira kwa vijana
nop poda sipaki km usanii basi sitaki,hiyo noma

the greatest Fl1 ngoja nilale sasa nawatakia weekend njema,hivi nyie hamna hata pa kwenda weekend 24 hrs Jf poleni sana
aah mamii mi nafunga jf sasa niende kuna malive band hapa nikaangalie wakongo na mauno yao,maana wabongo tunapiga domo tu na ufisadi wetu-gd9t ulale salama,lakini hakuna wa kukuliwaza hapo baada ya JF?
 
au revenge?juzi juzi nawewe si ulifumania hapa?ha ha ha,bht msanii,balantanda msanii,yaani nyie ndio wanandoa haswa.

nilikuwa sijatambua kipaji changu na my husband wangu
we will consider acting a movie......
 
huyu jamaa anaweza shtakiwa kwa copyright theft, hivi hawa si ndio wasanii wanaotakiwa waonyeshe mfano kwa wengine kwa kutoiga vitu vya wengine, such a prick guy, couldnt he even change the name! this is it to kanumba! my god!
 
ha jamani tatizo nini mbona hivyo?Au mwaona gere? au mwaona wivu? au mwamsagia tu? au... manake wengine bado kuliona hilo limuvu si mtutonye basi... mwalonga tu ?tutashiriki vipi?
 
Back
Top Bottom