The Greatest JF intelligent man

Anatoa nyingine tena ,,,,aaaa basi hamorapa kiboko halaf kajitokeza mdogo wake leo anamtafuta hamorapa nundu nnayo kichwani
 
The bold na simulizi zake naamini ni shule muhimu kwa wale wote wanaozisoma, maana hutupa mwanga jinsi kiumbe binadamu alivyo na utata. Na ningewasihi wasomaji kuwaelekeza wengine pia kuingia JamiiForums/ jukwaa la Jamii intelligence na kusoma simulizi za kweli za The bold ambazo zipo katika lugha yetu adhimu ya Kiswahili.,

The bold simulizi zake kuhusu Kiumbe huyu mwanadamu awe mweusi, mweupe, kahawia au njano, mzuri wa sura na haiba au mwenye sura mbaya, jinsia zote n.k msomi wa Chuo Kikuu tajwa ulimwenguni vilivyotukuka vinavyofanana na Harvard, Howard au Oxbridge (Oxford Cambridge ) awe amesomea Hisabati za Kiwango cha Juu au Udaktari wa Binadamu n.k bado kiumbe huyu anaweza kujihusisha na uhalifu mkubwa wa kila aina.

Hivyo The bold amepanua wigo wa simulizi tulizozoea za kusadikika zilizoegemea ushirikina, uvumi kutoka Dar es-Salaam, Mbeya, Sumbawanga, Mwanza au vijiji vlivyopo Ushirombo, Gamboshi, Malampaka au Kolomije na kutuletea simulizi za kweli juu ya hulka tata ya kiumbe binadamu zilizopata kutokea na kufanyiwa uchuguzi mpana kwa kutumia sayansi ya kipelelezi na uandishi-chunguzi.

Hii inatufanya kumuelewa zaidi binadamu awe msomi-sana au siyo msomi, ametoka tabaka la kijamii la kitajiri au kimasikini au imani Fulani au dhehebu lile anavyoweza kushangaza binadamu wenzake kwa kiwango cha uhalifu au mauaji kiumbe mwenzao anaweza kukifanya. Pia matambiko ya wahalifu hawa katika simulizi za kweli za The bold, ambao hujongea katika nyumba za imani zao pamoja na vifaa vyao watakavyokwenda navyo kukamilisha uhalifu wao ili wao na vitendea kazi vyao ''kusafishwa nyota'' zao wakamilishe uovu wao bila kushindwa. Wengine huenda kutambika katika makaburi ya ''wahenga wa uhalifu'' kama Pablo Escobar ili tu ile ''bahati'' aliyokuwa nayo Escobar pia iwafikie.
watoke salama.

Kwa kweli the bold amefanya kazi kubwa kutoa elimu mbadala juu ya kuwa tuwe waangalifu na kufikiri sana maana ''umdhanie siye kumbe ndiye''. Hivyo the bold anastahili kutunikiwa heshima hiyo kwa elimu hiyo mpya.
 
Mwelewa, acha kuelewa vibaya.

Deception anapoteza muda na mada kwenye issue ya HIV. Labda kwa sababu unapenda kupiga kavu, ndiyo maana unamshadadia. Mwambie aache you tube, aje na test kits zake apime watu kuapprove hawana HIV. Approve tu kwamba HIV is a hoax.

Nyani gabu, whatever his name, ukimkosoa kimawazo anabaki na ule ukosoaji na anakuchukia. Nani alimwambia aje hapa duniani ili akisema yeye, wote tukubali ila tukisema sisi asibukali? Leta mawazo yako na mimi nilete mawazo yangu halafu tukubaliane kutokubaliana.

Uswazi tunasema anadeka. Na wewe unamdekeza.
 

Hahaaaa....you're still hung-up on that huh??

It must hurt not getting Ngabu's attention if I'm still on your brain like that.

You'll get over it, though, with the passage of time, of course.

Other than that, I don't shy away from challenges and I pretty much lay to waste whoever thinks he/she can go toe to toe with me.

But also I don't waste time arguing with driveling idiots. So if I figure out that you're one of them, I give you the stupid treatment that you rightly deserve and I do so in a quick, fast, and in a hurry fashion.
 

yes we exist
we like him

I think he is

Watanzania bhana...kazi kusifia wanaume wenzao tu....Hii ndo Tanzania ya viwanda, Maghufuli ana kazi sana...(kama we ni mwanamke comment yangu haikuhusu)
 
authentic

Al-Watan ni mtumwa dhaifu anayepapasa kutafuta mwanga ndani ya pango lilojaa kiza.

Ninapochelea kukwaza na kutaka kujidodosa, mnanipa moyo kwamba kuna watu waona ninayosema yastahili heko.

Y'all far too kind.
Hadi leo nimeshindwa kukutofautisha na Kiranga.
Niliwahi kuangalia nyuzi zenu za kujitambulisha, lugha mnayotumia, mashairi mnayoandika, aina ya usernames mnazotumia, mwaka mliojiunga JF, aina ya uandishi wenu, weka kando ninyi nyote kuwa ni Atheists.Huwa nadhani Al-Watan na Kiranga ni IDs za mtu mmoja.........All in all you're doing great bro.
 
kwani we si athiest
 
Reactions: tyc
Show this idiot, one post, one post you disagreed with someone and then came to terms.

Otherwise my words stand, you are a spoiled brat.
 

i'm quite different from those gentlemen you mentioned above.

kiranga's intensively atheist,neither am i.

though i appreciate they way he constructs the arguments.


al watan's the man.
 
Show this idiot, one post, one post you disagreed with someone and then came to terms.

Otherwise my words stand, you are a spoiled brat.
You're not even making sense!

If I disagree with someone how then can I come to terms with him/her?

Simple, elementary school logic.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]

But it's par for the course!

And as far as me being a spoiled brat, well, that's your opinion and your opinion is not my reality.

So your words don't stand because they don't have a foundation in fact. They are pure fiction.

You need a dose of percocets....
 
You're not even making sense!

If I disagree with someone how then can I come to terms with him/her?

Simple, elementary school logic.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]

But it's par for the course!
Now you see my point. You are always right. Always right. Never wrong.

Off course that is elementary thinking inside a grown up.
 
Kuna member mmoja alikuwa anaitwa Moshe Dayan.

Yeye hakuwa story writer,yeye alikuwa a true intelligence officer wa jwtz

Yule jamaa sijui yuko wapi
Huyo jamaa Moshe Dayan namkubali sana sijui amepotelea wapi.
The Bold katika kile anachokisimamia na kukitekeleza yupo vizuri sana,nampongeza,anakipawa cha kipekee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…