Hakuna kiumbe kiitwacho shetani. Shetanj ni status sio name. Mungu pia ni status sio nameJmani mbona Shetani mumemsahau katika isti ya watu maarufu duniani?
Nadhani na yeye anastahili kuchuwa nafasi fulani, kwani anaga wafuasi wengi kweli,pengine kushinda Yesu na Muhammad,
Nakusudia kama Umaarufu ,basi shetani anaongoza ,na wafuasi wake ni wengi mno.
Ubishi wako umezidi viwango...
Duu, imenigusa sana... Aisee God help meWe Youths, tufanye mambo yatakayo acha sifa nzuri kwenye jamii na kuacha alama za kudumu. Sio mtu una miaka 50 halafu jambo kubwa ulilofanya kwenye jamii ni kuacha watoto wengi kwa mama tofauti tofauti ambao hawajui thamani yako kama baba.. Pengine wanajuta kuja duniani kupitia kwa baba usiejali kama wewe..Unadhani jamii itakukumbuka kwa kua na mademu wengi mtaani?
Kila ukitaka kulala fikiria siku ukifa Jamii unayoishi itabaki inakukumbuka kwa lipi?
Ulikuja duniani kulewa tu kisha ufe au ulikuja ili uwe msaada na nuru kwa wanadamu wenzio?
Ishi vyema. Huku ukiiwazia siku utakayokua haupo ulimwenguni watu watadaidika nini na uwepo wapo huo.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yesu sio Issa.Issa alizaliwa chini ya mtende .Yesu alizaliwa kwenye hori la ng'ombe.
Yesu alikufa na kufufuka.Issa alipokata Roho hakuamka Hadi Leo.
Yesu na issa Ni watu wawili tofauti
Nakufahamu vizuri sana.. ukianzisha ligi hukubali kushindwa. Utakua kuha wewe
Wikipedia haijawahi kuwa sehemu ya uhakika kupata taarifa sahihiMtu anabishana na Wikipedia sio mtu wa kubishana nae unamuacha tu.
Hata utumie efforts zako zote kumuelewesha hatakuelewa hata kidogo na ndio mana sikumjibu chochote aisee.
Hatari sana...!
Hiyo nayo ni ya kutoka upande wa pili, usihadaike na jinaHii yako ni mpya aisee..
Ndo mana hawa jamaa upande wa pili huwa wanatushangaa sana,kila Siku kuna mapya John-Q,
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mtupu ulioandika Maria na Joseph hawakuwa Kaya maskini.
Wote walikuwa ukoo wa kifalme .Ukoo wa Mfalme Daudi..Kasome mathayo sura ya kwanza.Koo za kifalme hazijawahi kuwa Kaya maskini miaka hiyo Hadi Leo hii
Maselemala Sio watu maskini.Nenda keko dar es salaam kaangalie maselemala waliopo pale Wana magari ya mamilioni nyumba za uhakika na huuza funiture zao Hadi nje ya nchi.Aliyekuambia selemala ni mtu maskini Ni Nani?
Hata Yesu alizaliwa kwenye Holi la ng"ombe Sio sababu familia ya Joseph walikuwa Kaya maskini Bali sababu nyumba ya wageni ilikuwa imejaa.Pesa za kulipia walikuwa nazo