The Greatest Tackle in Futbol

Waambie Xavi, Iniesta, Busquets waingie na notebooks uwanjani maana St.Andrea Pirlo atakua na darsa huru siku hiyo, teaching them fools how to pass a ball

Hivi karne hii kuna mtu wa kumfundisha Xavi Hernandez namna ya kupiga pasi? Pirlo akawafundishe vilaza wa Ac Milan ambao mpira wanatulizia ugokoni.
 

Hahahahahahaaa, pole sana ila hujasema kama ulichokifuata pale ulikipata, teh teh teh Gang Chomba msikie mkulungwa
Wewe subiria roba za mbao kutoka kwa kina Marchisio, Carlitos, Vidal, Morata mpaka mchanganyikiwe njia ya kurudi catalunya, mtapanda daladala za kwenda Albania siku hiyo
#ForzaJuve
 
Last edited by a moderator:
Hivi karne hii kuna mtu wa kumfundisha Xavi Hernandez namna ya kupiga pasi? Pirlo akawafundishe vilaza wa Ac Milan ambao mpira wanatulizia ugokoni.

Mt.Pirlo bado ana mengi sana ya kuufundisha ulimwengu wa soka including Xavi Hernandez
Waheshimu watu wazima wewe, Milan ndio Club pekee kuwahi kulitetea kombe la UCL, unashangaa kutuliza mpira kwa ugoko? Gaucho nasikia alikua anaweza kutuliza mpira kwa mgongo 😄😄😄
 

Pogba kapona?
 
Last edited by a moderator:
ni hapo tu wazungu wanaponichosha , wakifanya kitu wao utasikia " the best in the world" Really?? ni lini mechi za huku mtaani zimepata coverage kama zao kuweza linganisha ili kujua kama hiyo kweli ilikua best in the world?? natakaa kwa reference ya mechi za Born town na bush stars , mambo ya kipepe si mchezo, mesi hatii ndani.
 

Ili kumlindia heshima Nesta, aliamua kutokufunga.
 
Ili kumlindia heshima Nesta, aliamua kutokufunga.

Hapo juu umesema umemrudia muumba wako, hapa unaendelea kutenda dhambi kwa kumkashifu Nesta
Siku hiyo andunje alifichwa kwenye makwapa ya Nesta, tena Nesta kibabu
Nasikia katika team zote alizokutana nazo Nessi, kuna team moja hajawahi kufurukuta hata akitengewa anakosa confidence, eti Ntuzu, Mentor, Manumbu, kalou na b5-click mnaijua hiyo team mtusaidie?
 
Last edited by a moderator:

The best team in England for the last ten years....!!!
 
Last edited by a moderator:
The best team in England for the last ten years....!!!

"To be the best you have to beat the best" and Nessi hasn't beat the best yet, so nessi ain't the best.
Hahahahahaha ALEYN njoo ujitete hapa
 
Last edited by a moderator:
"To be the best you have to beat the best" and Nessi hasn't beat the best yet, so nessi ain't the best.
Hahahahahaha ALEYN njoo ujitete hapa

Fact !!
 
Last edited by a moderator:

Hahahahahah... Naijua mkuu, kiumbe huyu wa ajabu pale anagonga mwambaa.
#CFC
 
Last edited by a moderator:
"To be the best you have to beat the best" and Nessi hasn't beat the best yet, so nessi ain't the best.
Hahahahahaha ALEYN njoo ujitete hapa

-Unataka kusema Chelsea ni best kuliko Real Madrid?
-Ni timu ngapi Messi kazifunga na zikiwa ni besy kuliko hao wapark Makontena?
-Madrid ikiwa ktk Ubora wake Messi kashafunga, tena kawachapa Hat Trick, pale pale Santaigo Bernabeu.
-Kawapiga Man United wakiwa ktk ubora mara mbili na Kombe kabeba.
-Kawachapa Arsenal, Ac Milan n.k na atazidi kuwachapa wengine ambao watafuata wakiwemo Juventus na wajing wengine wengine ......... Go East Go West Messi is the Best.
 
Last edited by a moderator:

Hahahahahahahaaa, huchokozwi, lol
Kwa sasa there's no doubt kwamba Messi is the best, relax mzee
 
Hahahahahah... Naijua mkuu, kiumbe huyu wa ajabu pale anagonga mwambaa.
#CFC

-Chelsea bila kupark basi haisongi mbele, safari hii Movic kamwambia Mourinho na Board yake kwamba hataki mambo ya kupark basi.
-Ndoto ya Abramovic ni kumpa kazi Pep Guardiola walau aondoe ile akili ya kupark kontena/basi ktk mechi. TURUDI KWENYE MADA.
---Sasa kama timu inapark bus mda wote, utawezaje kushindaaaaaaaa!? Mda wote wote wamekaa golini wanawapa nyie mpira mcheze ila wao wamejikarisha tu golini, utashindaje sasa?
-Matokeo yake ndo timu ilikuwa inabeba makombe kwa bahati bahati, rejea ile final pale German, Chelsea kabeba kombe kila mtu kacheka, sio kamba kacheka kwa Chelsea kubeba kombeeee, Hapana ila wamecheka kwa jinsi mpira wa hovyo chelsea walocheza kisha akatoka na ushindi.
-Safari hii Boss hataki Chelsea ipark Makontena, na endapo ikaendelea hivi basi subiri miaka hata 5 au 7 mbele Chelsea aje kubeba UEFA, watabeba sababu ile Spirit ya kudefense kwa kutumia bus itaondoka.
-La sivyo wataweza kubeba tena UEFA endapo mfumo wa kupaki bus utarudi, ukirudi huu mfumo PSG asahau kumtoa tena Chelsea UEFA, sio PSG bali hata Atletico na timu zingine.
 
Hahahahahahahaaa, huchokozwi, lol
Kwa sasa there's no doubt kwamba Messi is the best, relax mzee

Sasa huyu Messi alichowafanya Man City atafanya mara 3 kwa Juventus. Messi atakuwa ni tatizo kubwa sana endapo utakuwa ni mara yako ya kwanza kuwa against nae, sasa ukimface kwa mara yako ya kwanza mwaka huu UEFA ndo utajuta. Yaani mimi sijaona Juve atakapomzidi Barca, angekuwa na mwanaume kama Modric ningesema hapo mziki utakuwepo, ila kusanya Pogba, dada vidal, mzee Pirlo na wajinga wengine. Ni goli kwa kwenda mbele, tena tunaanzia kwako.
 
Sasa huyu Messi alichowafanya Man City atafanya mara 3 kwa Juventus. Messi atakuwa ni tatizo kubwa sana endapo utakuwa ni mara yako ya kwanza kuwa against nae, sasa ukimface ndo utajuta

Nessi nessiiii, atakutana na madoctor from Turin, umetoa maelezo mengiiii lakini ukweli ni kuwa Nessi wenu hajawahi kufurukuta kwa kina Ntuzu na ndivyo itakavyokua kwa Bianconeri
 
Last edited by a moderator:
Nessi nessiiii, atakutana na madoctor from Turin, umetoa maelezo mengiiii lakini ukweli ni kuwa Nessi wenu hajawahi kufurukuta kwa kina Ntuzu na ndivyo itakavyokua kwa Bianconeri

-Hivi Mkuu, chelsea nayo unaihesabu kuwa ni timu ambayo Messi wanamuumiza Kichwa?
-Messi anacheza mpira kwa timu, hachezi ili awakomoe Chelsea au Arsenal, anapopata nafasi anafunga, akibanwa anatoa nafasi kwa wengine, huwa halazimisi kufunga kama Rinaldo.
-Messi ni Barcelona. Messi ni wa timu, hachezi kwa maslahi yake binafsi ila kwa Barcelona.
 
Last edited by a moderator:

Tuachane na mambo ya chelsea Mkuu, it was just a joke bana
Wewe endelea kuomba sijui kusali ukutane na Bianconeri, nakwambia mtatafutana siku hiyo wacatalunya, mpe taarifa kabisa na gutierez
 
Last edited by a moderator:
Sidhani kama tukiwauliza Ibra na El Guaje watasema hicho ulichosema kuhusu Messi, au hata Coach wake, Lucho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…