Waambie Xavi, Iniesta, Busquets waingie na notebooks uwanjani maana St.Andrea Pirlo atakua na darsa huru siku hiyo, teaching them fools how to pass a ball
Hivi karne hii kuna mtu wa kumfundisha Xavi Hernandez namna ya kupiga pasi? Pirlo akawafundishe vilaza wa Ac Milan ambao mpira wanatulizia ugokoni.