Hata kwenye campeni uchaguz mkuu u lopita tulijazana hivyohivyo kusikiliza sera.Ulisikia Nan anakosoa? Walidhan watapata nchi,ila hii wanaikosoa Eti itasambaza Corona. Kwan CORONA ndio janga pekee lililowahi kuikumba dunia na Tanzania?Majanga yalikuwepo ,waliokufa walikufa na waliobaki walibaki wakatuzaa na Leo tupo sisi. Wait tuchukue tahadhari huku tukipiga kazi.Habari yenyewe ni utopolo tu sisi watz tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida angalia hapa chini tulipokuwa kwenye Kilimarathon jana. Kwa TZ mmeshakwama na propaganda zenu uchwara!
View attachment 1714692