#COVID19 THE GUARDIAN: Madaktari Tanzania hawaruhusiwi kupima COVID-19 wala hata kutamka mgonjwa ana COVID-19

#COVID19 THE GUARDIAN: Madaktari Tanzania hawaruhusiwi kupima COVID-19 wala hata kutamka mgonjwa ana COVID-19

Kama hela za kununua chanjo ya corona hatuna, tukubali tuuziwe kwa mkopo. Hakuna jinsi.
 
Hili gazeti litafungiwa!
Jamani Watanzania tuwe makini na taarifa hizi zenye upotishaji wa kiwango kikubwa - reading between the lines kuhusu lawama ambazo gazeti la Guardian linavyo litwisha Taifa letu na Specifically Dk.Magufuli kuhusu maambukizi ya COVID-19/21 one gets the impression kwamba the brains behind this troll ni nchi jirani ambaye hata siku moja hajawahi kusema kitu +ve kuhusu Tanzania,watafanya lolote kuwatia taharuki potential tourists wanao taka kutembelea Tanzania,hawakupenda mafanikio ya Tanzania katika harakati zake za mwaka jana za kuhudhibiti ugonjwa wa COVID-19 na tulifanikiwa kusema kweli - hilo la kwanza.

La pili nchi hiyo kutaka kutumiwa kama wapiga debe wa chanjo ya makampuni makubwa ya dawa za huko Merikani na Ulaya - why am I saying this: kumbukeni ni Mataifa matatu tu barani Afrika walio toa kibari kwa kampuni ya Oxford kufanya majaribio ya chanjo zake kwa raia wa nchi hizo baada ya kufanya majaribio kwanza kwa sokwe mtu huko Uingereza,sasa angalia kilicho zisibu baadae nchi zote zilizokubali kuwa guinea pig wa chanjo za Oxford - ndio nchi zilizo kumbwa na COVID-19 variat ambayo wanasema ni more virulent na inasambaa kirahisi na kwa kasi - mataifa yaliyo kubali baadhi ya wananchi wake wafanyiwe majaribio ni: South Afrika,Kenya na Nigeria - zote zimekumba na COVID-19 variant, halafu baadae variat hii kuanza kusambaa kwa nchi jirani kutokana na aidha mwingiliano wa watu au kimaksudi! Kilicho nishangaza zaidi ni pale
Wizara ya afya ya Kenya iliposema eti COVID-19 imegundulika ndani yataifa hilo huko mji wa mpakani wa TAVETA of all places,just imagine - mikawa najiuliza maswali mengi why TAVETA mpakani mwa Kenya na Tanzania - kuhibuka kwa new variant kwenye mataifa yote yalio kubali kufanyiwa majaribio ya chanjo za Oxford kunazuwa maswali mengi: Je, hii ilikuwa ni plan "B" yaku athili kwa kiwango Waafrika ambao walionekana hawafi kwa wingi tofauti na Mkewe Bill Gates alivyo tabari kwamba waafrika watakuwa wanaokotwa kwa wingi barabarani wakiwa wamekufa - sasa ndio wanatujia na mpango mpya wa kutumaliza au kuleta taharuki ndani ya jamii ili Serikali zao zikubali kununua chanjo za makampuni ambayo yanafadhiliwa kwa kiwango kikubwa na foundation yarBill Gate na mkewe ili wayekeleze ajenda zao za siri kuhusu Bara la Afrika kwa kupitia chanjo zao - mpago huu walikuwa nao kwa muda mrefu, pandemic hii ndio imewapatia a golden chance ya kuyekeleza uovu wao maana wanajuwa kila mtu Duniani atapaswa kuchanjwa - hakuna ujanja na as I said hakuna atakaye kwepa kuchanjwa,hivyo kuwapatia mwanya akina Bill Gates na genge lake kutumbukiza ajenda zao kwenye batch za chanjo zitakazo letwa Barani Afrika.

Now back to the main point: abrasive comments za gazeti la Guardian lina malengo mawili, la kwanza ni kuleta taharuki kwa wananchi ili walazimishe Serikali zao kununua chanjo kutoka makampuni yanayo fadhiliwa na Bill Gates na mkewe, kwa maneno mengine Gazeti la Guardian
linapigia debe chanjo za Bill Gates na genge lake ili wapige hela ndefu wakitumia mbinu za kuleta taharuki kwenye jamii - na wakiwakuta baadhi ya Viongozi wa Kiafrika walio corrupt ndio wanawatumia kuendeleza ajenda zao.

Kitu cha kujiuliza hapa iweje msimamo thabiti wa Dk.Magufuli kuhusu chanjo unapigwa vita mpaka na MSM za magharibi zinapoteza fedha nyingi kumsema vibaya Dk.Magufuli as if yeyegni Rais wa Dunia akipinga kitu ni final Dunia itakaa chini kusikiliza maoni yake na kuyafanyia kazi - narudia kukumbusha kwamba chunguzeni hoja kubwa za kusemwa vibaya na western Nations as if Tanzania ndio limekuwa tanuru la kuzalisha maambukizi ya Kovid-19/21,wakati ukweli ni kwamba USA inayo nyoshea kidole mataifa mengine hasa hasa Tanzania kumbe USA ndio inaongoza kwa maambukizi Duniani na wala hawana mbinu mbadala za ku-contain ugonjwa huu nchini mwao.

Jana kwa mfano: nilishangaa baada ya kuona Merikani inataka ishirikiane na China, eti "kutokomeza ugonjwa wa COVID-19 Duniani!!" USA wamekuwa wapole baada ya mambo kuwafika shingoni, wakaona hakuna jinsi lazima wawakimbilie Wachina ambao Trump na Pompeo walikuwa wana wasema sema vibaya na kuwazulia stori za kuchonga tu ili mradi wachina waonekane ni binadamu wenye nia ovu Duniani kote,Chuo kikuu cha huko Merikani na Chuo kikuu cha Tshinghua huko Uchina wana washirikisha wataalamu wa fani ya Molecular Biology na Immunology kutafuta mbinu sahii ya kutokomeza ugonjwa huu hatarishi, wanatumia video conferencing kupanga strategy - kama ushirikiano baina ya China na IUSA ungekuwepa tangu mwanzo mwa mlipuko wa COVID-19 mambo yasingekuwa mabaya kwa USA kama yalivyo sasa, Wachina wana exoetience kubwa jinsi ya ku-deal na ku-contain maabukizi ya COVID-19 na ushahidi hupo wa kuthibitisha ukweli huo - Wachina wamefanikiwa sana kwa suala hili na wala hakuna ubishi.
 
Jamani Watanzania tuwe makini na taarifa hizi zenye upotishaji wa kiwango kikubwa - reading between the lines kuhusu lawama ambazo gazeti la Guardian linavyo litwisha Taifa letu na Specifically Dk.Magufuli kuhusu maambukizi ya COVID-19/21 one gets the impression kwamba the brains behind this troll ni nchi jirani ambaye hata siku moja hajawahi kusema kitu +ve kuhusu Tanzania,watafanya lolote kuwatia taharuki potential tourists wanao taka kutembelea Tanzania,hawakupenda mafanikio ya Tanzania katika harakati zake za mwaka jana za kuhudhibiti ugonjwa wa COVID-19 na tulifanikiwa kusema kweli - hilo la kwanza.

La pili nchi hiyo kutaka kutumiwa kama wapiga debe wa chanjo ya makampuni makubwa ya dawa za huko Merikani na Ulaya - why am I saying this: kumbukeni ni Mataifa matatu tu barani Afrika walio toa kibari kwa kampuni ya Oxford kufanya majaribio ya chanjo zake kwa raia wa nchi hizo baada ya kufanya majaribio kwanza kwa sokwe mtu huko Uingereza,sasa angalia kilicho zisibu baadae nchi zote zilizokubali kuwa guinea pig wa chanjo za Oxford - ndio nchi zilizo kumbwa na COVID-19 variat ambayo wanasema ni more virulent na inasambaa kirahisi na kwa kasi - mataifa yaliyo kubali baadhi ya wananchi wake wafanyiwe majaribio ni: South Afrika,Kenya na Nigeria - zote zimekumba na COVID-19 variant, halafu baadae variat hii kuanza kusambaa kwa nchi jirani kutokana na aidha mwingiliano wa watu au kimaksudi! Kilicho nishangaza zaidi ni pale
Wizara ya afya ya Kenya iliposema eti COVID-19 imegundulika ndani yataifa hilo huko mji wa mpakani wa TAVETA of all places,just imagine - mikawa najiuliza maswali mengi why TAVETA mpakani mwa Kenya na Tanzania - kuhibuka kwa new variant kwenye mataifa yote yalio kubali kufanyiwa majaribio ya chanjo za Oxford kunazuwa maswali mengi: Je, hii ilikuwa ni plan "B" yaku athili kwa kiwango Waafrika ambao walionekana hawafi kwa wingi tofauti na Mkewe Bill Gates alivyo tabari kwamba waafrika watakuwa wanaokotwa kwa wingi barabarani wakiwa wamekufa - sasa ndio wanatujia na mpango mpya wa kutumaliza au kuleta taharuki ndani ya jamii ili Serikali zao zikubali kununua chanjo za makampuni ambayo yanafadhiliwa kwa kiwango kikubwa na foundation yarBill Gate na mkewe ili wayekeleze ajenda zao za siri kuhusu Bara la Afrika kwa kupitia chanjo zao - mpago huu walikuwa nao kwa muda mrefu, pandemic hii ndio imewapatia a golden chance ya kuyekeleza uovu wao maana wanajuwa kila mtu Duniani atapaswa kuchanjwa - hakuna ujanja na as I said hakuna atakaye kwepa kuchanjwa,hivyo kuwapatia mwanya akina Bill Gates na genge lake kutumbukiza ajenda zao kwenye batch za chanjo zitakazo letwa Barani Afrika.

Now back to the main point: abrasive comments za gazeti la Guardian lina malengo mawili, la kwanza ni kuleta taharuki kwa wananchi ili walazimishe Serikali zao kununua chanjo kutoka makampuni yanayo fadhiliwa na Bill Gates na mkewe, kwa maneno mengine Gazeti la Guardian
linapigia debe chanjo za Bill Gates na genge lake ili wapige hela ndefu wakitumia mbinu za kuleta taharuki kwenye jamii - na wakiwakuta baadhi ya Viongozi wa Kiafrika walio corrupt ndio wanawatumia kuendeleza ajenda zao.

Kitu cha kujiuliza hapa iweje msimamo thabiti wa Dk.Magufuli kuhusu chanjo unapigwa vita mpaka na MSM za magharibi zinapoteza fedha nyingi kumsema vibaya Dk.Magufuli as if yeyegni Rais wa Dunia akipinga kitu ni final Dunia itakaa chini kusikiliza maoni yake na kuyafanyia kazi - narudia kukumbusha kwamba chunguzeni hoja kubwa za kusemwa vibaya na western Nations as if Tanzania ndio limekuwa tanuru la kuzalisha maambukizi ya Kovid-19/21,wakati ukweli ni kwamba USA inayo nyoshea kidole mataifa mengine hasa hasa Tanzania kumbe USA ndio inaongoza kwa maambukizi Duniani na wala hawana mbinu mbadala za ku-contain ugonjwa huu nchini mwao.

Jana kwa mfano: nilishangaa baada ya kuona Merikani inataka ishirikiane na China, eti "kutokomeza ugonjwa wa COVID-19 Duniani!!" USA wamekuwa wapole baada ya mambo kuwafika shingoni, wakaona hakuna jinsi lazima wawakimbilie Wachina ambao Trump na Pompeo walikuwa wana wasema sema vibaya na kuwazulia stori za kuchonga tu ili mradi wachina waonekane ni binadamu wenye nia ovu Duniani kote,Chuo kikuu cha huko Merikani na Chuo kikuu cha Tshinghua huko Uchina wana washirikisha wataalamu wa fani ya Molecular Biology na Immunology kutafuta mbinu sahii ya kutokomeza ugonjwa huu hatarishi, wanatumia video conferencing kupanga strategy - kama ushirikiano baina ya China na IUSA ungekuwepa tangu mwanzo mwa mlipuko wa COVID-19 mambo yasingekuwa mabaya kwa USA kama yalivyo sasa, Wachina wana exoetience kubwa jinsi ya ku-deal na ku-contain maabukizi ya COVID-19 na ushahidi hupo wa kuthibitisha ukweli huo - Wachina wamefanikiwa sana kwa suala hili na wala hakuna ubishi.
Andiko lako limeegema upande mmoja ndugu katika hii dunia ya ustarabu bila ya wazungu nchi nyingi za africa bado zingekuwa gizani, lawama na masimango ni jadi ya mwafrika tunawalaumu wazungu kuleta chanjo zisizokidhi vigezo kama mnavyodai wakati hakuna juhudi yeyote kwa Tz kutengeneza chanjo zake
 
Gazeti la the Guardian la jana tarehe 28 Februari, limeandika kwa kirefu kuhusiana na janga la Covid 19 nchini mwetu Tanzania. Kwa ufupi, kutokana na mahojiano yaliyofanyika na madaktari na wanafamilia ambao wamepoteza ndugu zao, ni kwamba:

1) Madaktari Tanzania wanazuiwa kufanya testing for covid 19 hata pale , kutokana na dalili za mgonjwa, wanahisi ameshambuliwa na covid 19

2) Madaktari, hata pale kutokana na dalili za mgonjwa, wana uhakika mgonjwa anaugua au amefariki kwa covid 19, hawaruhusiwi kuitaja covid 19

3) Madaktari wanasema hospitali nyingi zimezidiwa kutokana na wagonjwa wanaoaminika kuwa ni wa covid 19

4) Rais Magufuli amewahi kueleza kuwa chanjo hazifai na hazina ubora, kayasema hayo bila ushahidi wowote

5) Rais Magufuli ameeleza kuwa covid 19 itaondoka kwa sala

6) Wanaotoa huduma za maziko kwa Dar na Zanzibar, wanasema mahitaji ya huduma hiyo yamekuwa makubwa kupindukia

7) Viongozi wa dini wanasema wamekuwa wakiendesha ibada za maziko nyingi kuliko kipindi chochote

8) Wataalam wa afya Duniani, wana hofu kuwa Tanzania kitakuwa kiwanda cha kuzalisha maambukizi ya Covid 19 variant.

9) Shirika la Afya Duniani WHO linaitaka Tanzania, siyo tu kuwalinda raia wake bali na wa Dunia nzima

10) Kuna wagonjwa ambao wanatakiwa kupata huduma ya ICU lakini wanafariki bila kuingizwa ICU kwa sababu ICU zinakuwa zimejaa

11) Kuna familia, kama ya Farida, zimepoteza wanafamilia mpaka 6 ndani ya mwezi mmoja

12) Kuongezeka kwa visa vya covid 19, kumesababisha kutoka kwa kauli tofauti tofauti za Serikali

13) Kutokana na mbinyo wa kimataifa na vifo vya viongozi wa juu, serikali imelazimika kubadilisha kauli wiki mbiki zilizopita.


Maswali muhimu ya kujiuliza:

1) Serikali yetu kwa nini haitaki tatizo lifahamike?

2) Serikali inapowazuia madaktari kupima, haioni inahatarisha pia afya za wahudumu wa afya ambao wanatakiwa kuwa na protocol ya kuhudumia wagonjwa kufuatana na aina ya ugonjwa, hasa kwa magonjwa ya kuambukiza?

3) Serikali kwa kuzuia wagonjwa kupimwa covid 19, haioni inaweka mashakani afya za wagonjwa wa magonjwa mengine ambao wanaenda hospitalini na kuchanganywa na wagonjwa wa covid 19? Fikiria mgonjwa ambaye anaenda hospitali kwa tatizo la athma na blood pressure halafu anaenda kuchanganywa na wagonjwa wa covid 19. Alienda hana covid 19, anafika hospitalini anaambukizwa covid 19. Mgonjwa kama huyo, majaliwa yake ya kupona yatakuwaje? Hapo Serikali haijashiriki kumwua huyu mgonjwa?

4) Serikali inaficha kitu gani kuzuia upimaji, watu kujua ukubwa wa tatizo, na madaktari kuwa na uhakika wa mgonjwa anaugua nini?

Why we are acting such primitively?

Habari zaidi, soma gazeti lenyewe:

Tanzania leader says prayer will cure Covid, as hospitals overflow


Jason Burke Africa correspondent

Sun 28 Feb 2021 09.00 GMT

Experts fear policies of John Magufuli could undermine vaccine programme in Africa.

Grieving relatives of Covid-19 victims, health experts and opposition politicians in Tanzania have accused President John Magufuli of causing thousands of deaths in the east African country and undermining the fight against the pandemic across the continent.

Magufuli has denied the local spread of Covid-19 in Tanzania, discouraged the mention of the disease by health workers, rejected most conventional measures in favour of prayer and said vaccines are dangerous, without offering any evidence.

Despite repeated requests by the World Health Organization, Tanzania has not published any statistics for Covid-19 cases since May, when it logged 509, and has no testing programme.

Experts fear that Magufuli’s policies will allow Tanzania to act as a source of infections and new variants, which could spread across Africa and beyond.

The WHO last week called on Tanzania to protect not only its own 58 million citizens but also neighbouring countries.

“This situation remains very concerning. Covid-19 is a serious disease that can cause severe illness and even death. National authorities everywhere must do all they can to protect people and save lives,” said Tedros Adhanom Ghebreyesus, the WHO’s director general.

Burial workers in Dar es Salaam, Tanzania’s biggest city, and on the semi-autonomous island of Zanzibar told the Observer they face unprecedented demand. Churches said priests are conducting more funeral services than “in living memory”.

Doctors said hospitals are overwhelmed, with an acute shortage of beds and oxygen.

“We have elderly patients coming in, showing every symptom that we’ve seen around the world but we cannot test … we are not allowed to even mention Covid-19. We have to call it pneumonia,” said one doctor, who requested anonymity for fear of punishment by employers and authorities.

Farida Saidi’s 82-year-old father died this month in a hospital in Dar es Salaam. His relatives were unable to find a bed in an intensive care unit because all were full.

They said we could only keep him where he was and hope for the best. They called it pneumonia but said, ‘your father has the same condition that everybody is facing everywhere’,” Saidi said.

“Since January we have lost six family members. On my WhatsApp there are just messages and messages about people dying. They are all showing the same symptoms: struggling to breathe, fever, loss of sense of taste. It is desperate.”

Saidi said Magufuli’s policies had cost lives.

“I wouldn’t want anyone to watch their father die the way I did. It’s so wrong.”

Zitto Kabwe, leader of the opposition ACT-Wazalendo party, said that his party had called on its members to document and report all deaths due to suspected Covid-19 so that it could hold the government to account.

We don’t have data. There is no testing, so it’s very difficult to cut transmission. Local media have been afraid even to mention Covid-19. We just see hospitals being full,” he said.

A second wave, fuelled by a more transmissible variant of the virus originating in South Africa, has pushed infections across the continent to 3.8 million, with more than 100,000 deaths. The total is thought to be a significant underestimate.

The extent of any outbreak in Tanzania is unclear, but South Africa, which has roughly the same population, has suffered almost 50,000 deaths from Covid-19, according to official statistics, and many more according to excess mortality figures.

Last month, Tanzania’s chief government spokesman, Hassan Abbasi, told Reuters that, while the country was not entirely coronavirus-free, it had “controlled” the disease.

“There are people intermingling with the global world. But we don’t have local transmissions. That is why you are seeing everything is open, universities, sports, arts, markets, and you have not heard someone has fallen down publicly,” Abbasi said.

A doctor at the coronavirus testing centre in Zanzibar said that more than 80 cases had been recorded on the island from mid-December to early January. “But we are not allowed to release the data,” said the doctor. “We keep it for future use.”

The rise in cases has led to mixed messaging from the government.

The Zanzibar health ministry last week issued a public announcement asking people to avoid gatherings and “rush to a nearby hospital for testing if you feel you have difficulties in breathing”.

But officials denied this was because of Covid-19, saying they wanted to encourage people to take precautions because the number of people suffering breathing difficulties is increasing.

A health ministry official, Mabula Mchembe, visited hospitals in Dar es Salaam and stressed that there were no coronavirus patients, just “rumours which may cause unnecessary panic”.

Vaccination programmes are now under way or planned in most African countries, but not Tanzania.

In late January, Magufuli, who won a second term in October in an election marred by violence and allegations of fraud, said prayers, steam inhalation or herbal remedies were better than “dangerous” foreign vaccines.

Faced with international pressure and after the deaths of a series of senior officials, there has been a change over the past two weeks.

Magufuli recently attributed the death of the head of the civil service to the “respiratory disease”, and official media have begun calling on Tanzanians to wear face masks and wash their hands.

“I can’t say there is any hope,” said Kabwe, the opposition leader. “It’s too late now, the spread at the community level is so widespread. “How many people need to die before the government accepts the obvious?”
Una uhakika na hizo tuhuma au kwakuwa gazeti la guardian limeandika hivyo, kwa sababu point after point ulioandika haina mantiki na hapa kuna watu wanaugua na kupona na kuna wasiopona, sasa hai wanaopona wanaponaje kama hawakutambuliwa kama wana ugonjwa
 
Kitachotokea dunia itapofunguliwa ,tanzania ndo tutajua hatujui na jamaa litakuwa zake chato maana kuna hadi hotel ya nyota 5 limejenga ,imagine leo hata burundi ukitaka vuka ukisema mtanzania watu wanavaa barakoa
 
Gazeti la the Guardian la jana tarehe 28 Februari, limeandika kwa kirefu kuhusiana na janga la Covid 19 nchini mwetu Tanzania. Kwa ufupi, kutokana na mahojiano yaliyofanyika na madaktari na wanafamilia ambao wamepoteza ndugu zao, ni kwamba:

1) Madaktari Tanzania wanazuiwa kufanya testing for covid 19 hata pale , kutokana na dalili za mgonjwa, wanahisi ameshambuliwa na covid 19

2) Madaktari, hata pale kutokana na dalili za mgonjwa, wana uhakika mgonjwa anaugua au amefariki kwa covid 19, hawaruhusiwi kuitaja covid 19

3) Madaktari wanasema hospitali nyingi zimezidiwa kutokana na wagonjwa wanaoaminika kuwa ni wa covid 19

4) Rais Magufuli amewahi kueleza kuwa chanjo hazifai na hazina ubora, kayasema hayo bila ushahidi wowote

5) Rais Magufuli ameeleza kuwa covid 19 itaondoka kwa sala

6) Wanaotoa huduma za maziko kwa Dar na Zanzibar, wanasema mahitaji ya huduma hiyo yamekuwa makubwa kupindukia

7) Viongozi wa dini wanasema wamekuwa wakiendesha ibada za maziko nyingi kuliko kipindi chochote

8) Wataalam wa afya Duniani, wana hofu kuwa Tanzania kitakuwa kiwanda cha kuzalisha maambukizi ya Covid 19 variant.

9) Shirika la Afya Duniani WHO linaitaka Tanzania, siyo tu kuwalinda raia wake bali na wa Dunia nzima

10) Kuna wagonjwa ambao wanatakiwa kupata huduma ya ICU lakini wanafariki bila kuingizwa ICU kwa sababu ICU zinakuwa zimejaa

11) Kuna familia, kama ya Farida, zimepoteza wanafamilia mpaka 6 ndani ya mwezi mmoja

12) Kuongezeka kwa visa vya covid 19, kumesababisha kutoka kwa kauli tofauti tofauti za Serikali

13) Kutokana na mbinyo wa kimataifa na vifo vya viongozi wa juu, serikali imelazimika kubadilisha kauli wiki mbiki zilizopita.


Maswali muhimu ya kujiuliza:

1) Serikali yetu kwa nini haitaki tatizo lifahamike?

2) Serikali inapowazuia madaktari kupima, haioni inahatarisha pia afya za wahudumu wa afya ambao wanatakiwa kuwa na protocol ya kuhudumia wagonjwa kufuatana na aina ya ugonjwa, hasa kwa magonjwa ya kuambukiza?

3) Serikali kwa kuzuia wagonjwa kupimwa covid 19, haioni inaweka mashakani afya za wagonjwa wa magonjwa mengine ambao wanaenda hospitalini na kuchanganywa na wagonjwa wa covid 19? Fikiria mgonjwa ambaye anaenda hospitali kwa tatizo la athma na blood pressure halafu anaenda kuchanganywa na wagonjwa wa covid 19. Alienda hana covid 19, anafika hospitalini anaambukizwa covid 19. Mgonjwa kama huyo, majaliwa yake ya kupona yatakuwaje? Hapo Serikali haijashiriki kumwua huyu mgonjwa?

4) Serikali inaficha kitu gani kuzuia upimaji, watu kujua ukubwa wa tatizo, na madaktari kuwa na uhakika wa mgonjwa anaugua nini?

Why we are acting such primitively?

Habari zaidi, soma gazeti lenyewe:

Tanzania leader says prayer will cure Covid, as hospitals overflow


Jason Burke Africa correspondent

Sun 28 Feb 2021 09.00 GMT

Experts fear policies of John Magufuli could undermine vaccine programme in Africa.

Grieving relatives of Covid-19 victims, health experts and opposition politicians in Tanzania have accused President John Magufuli of causing thousands of deaths in the east African country and undermining the fight against the pandemic across the continent.

Magufuli has denied the local spread of Covid-19 in Tanzania, discouraged the mention of the disease by health workers, rejected most conventional measures in favour of prayer and said vaccines are dangerous, without offering any evidence.

Despite repeated requests by the World Health Organization, Tanzania has not published any statistics for Covid-19 cases since May, when it logged 509, and has no testing programme.

Experts fear that Magufuli’s policies will allow Tanzania to act as a source of infections and new variants, which could spread across Africa and beyond.

The WHO last week called on Tanzania to protect not only its own 58 million citizens but also neighbouring countries.

“This situation remains very concerning. Covid-19 is a serious disease that can cause severe illness and even death. National authorities everywhere must do all they can to protect people and save lives,” said Tedros Adhanom Ghebreyesus, the WHO’s director general.

Burial workers in Dar es Salaam, Tanzania’s biggest city, and on the semi-autonomous island of Zanzibar told the Observer they face unprecedented demand. Churches said priests are conducting more funeral services than “in living memory”.

Doctors said hospitals are overwhelmed, with an acute shortage of beds and oxygen.

“We have elderly patients coming in, showing every symptom that we’ve seen around the world but we cannot test … we are not allowed to even mention Covid-19. We have to call it pneumonia,” said one doctor, who requested anonymity for fear of punishment by employers and authorities.

Farida Saidi’s 82-year-old father died this month in a hospital in Dar es Salaam. His relatives were unable to find a bed in an intensive care unit because all were full.

They said we could only keep him where he was and hope for the best. They called it pneumonia but said, ‘your father has the same condition that everybody is facing everywhere’,” Saidi said.

“Since January we have lost six family members. On my WhatsApp there are just messages and messages about people dying. They are all showing the same symptoms: struggling to breathe, fever, loss of sense of taste. It is desperate.”

Saidi said Magufuli’s policies had cost lives.

“I wouldn’t want anyone to watch their father die the way I did. It’s so wrong.”

Zitto Kabwe, leader of the opposition ACT-Wazalendo party, said that his party had called on its members to document and report all deaths due to suspected Covid-19 so that it could hold the government to account.

We don’t have data. There is no testing, so it’s very difficult to cut transmission. Local media have been afraid even to mention Covid-19. We just see hospitals being full,” he said.

A second wave, fuelled by a more transmissible variant of the virus originating in South Africa, has pushed infections across the continent to 3.8 million, with more than 100,000 deaths. The total is thought to be a significant underestimate.

The extent of any outbreak in Tanzania is unclear, but South Africa, which has roughly the same population, has suffered almost 50,000 deaths from Covid-19, according to official statistics, and many more according to excess mortality figures.

Last month, Tanzania’s chief government spokesman, Hassan Abbasi, told Reuters that, while the country was not entirely coronavirus-free, it had “controlled” the disease.

“There are people intermingling with the global world. But we don’t have local transmissions. That is why you are seeing everything is open, universities, sports, arts, markets, and you have not heard someone has fallen down publicly,” Abbasi said.

A doctor at the coronavirus testing centre in Zanzibar said that more than 80 cases had been recorded on the island from mid-December to early January. “But we are not allowed to release the data,” said the doctor. “We keep it for future use.”

The rise in cases has led to mixed messaging from the government.

The Zanzibar health ministry last week issued a public announcement asking people to avoid gatherings and “rush to a nearby hospital for testing if you feel you have difficulties in breathing”.

But officials denied this was because of Covid-19, saying they wanted to encourage people to take precautions because the number of people suffering breathing difficulties is increasing.

A health ministry official, Mabula Mchembe, visited hospitals in Dar es Salaam and stressed that there were no coronavirus patients, just “rumours which may cause unnecessary panic”.

Vaccination programmes are now under way or planned in most African countries, but not Tanzania.

In late January, Magufuli, who won a second term in October in an election marred by violence and allegations of fraud, said prayers, steam inhalation or herbal remedies were better than “dangerous” foreign vaccines.

Faced with international pressure and after the deaths of a series of senior officials, there has been a change over the past two weeks.

Magufuli recently attributed the death of the head of the civil service to the “respiratory disease”, and official media have begun calling on Tanzanians to wear face masks and wash their hands.

“I can’t say there is any hope,” said Kabwe, the opposition leader. “It’s too late now, the spread at the community level is so widespread. “How many people need to die before the government accepts the obvious?”
Maisha ya Bongo ni Bongo movie tosha.
 
Andiko lako limeegema upande mmoja ndugu katika hii dunia ya ustarabu bila ya wazungu nchi nyingi za africa bado zingekuwa gizani, lawama na masimango ni jadi ya mwafrika tunawalaumu wazungu kuleta chanjo zisizokidhi vigezo kama mnavyodai wakati hakuna juhudi yeyote kwa Tz kutengeneza chanjo zake

Mnarudia rudia hoja zile zile - nani kawambieni kwamba chanjo ndio njia pekee ya ku-contain ugonjwa huu, angalia stastics kila Nchi hapa Duniani ni wangapi waliambukizwa na kupona na wangapi walipoteza maisha, waliopoteza maisha ni wachache sana ukilinganisha na walio pona ugonjwa huu - mnacho sahau ni kwamba ugonjwa huu imekwisha geuzwa ni biashara za kupiga hela ndefu kwa kupitia chanjo ambazo hazijawahi kufanyiwa utafiti wa kutosha na kujiridhisha kwamba chanjo hizo hazina madhara in short na long term kwa wale watakao kubali kuchanjwa - repeat, hata watengenezaji wa chanjo zenyewe ukiwabana kwa maswali ya kisayansi wanapata kigugumizi kukupatia majibu ya kuridhisha na hawataki kuji-commit kuhusu ufanisi wa chanjo zao na kibaya zaidi wameweka clause inayo sema kwamba in case something goes terribly wrong si victim au Serikali itakuwa na uwezo wa kuwajibisha kampuni hizo, in other words kumpuni za chanjo haziwezi kuwa-held responsible by any Authority au individual! What does that tell you? Hivi inaingia akilini kwamba kampuni zinazo amini dawa/chanjo zao wanaweza kweli kuongeza vipengele tatanishi vya sheria kama hivyo ili kujilinda dhidi ya mashtaka yanayo weza kujitokeza hapo baadae kama watumiaji wa chanjo watapata matatizo kwa kuugua au kufariki baada ya kuchanjwa, jibu na hapana.

Having said this, mimi bado na amini kwamba ukweli utabaki kwamba chanjo za Big Pharma Companies zimesheheni changa moto hatarishi kwa matumizi ya binadamu ambazo nyingi ya changa moto hizo hazijakuwa properly addressed mpaka sasa, kinacho fanywa na makampuni hayo ni kutaka kuziwahisha chanjo sokoni kabla ya washindani wao - lengo likiwa ni kutaka ku-rake-in trillion of Dollars kutoka kwa mataifa maskini ambayo WHO ina washauri zichukuwe mikopo kutoka World Bank ili wanunulie chanjo, bila ya kujali mzigo wa madeni ambayo nchi changa zitalazimika kubebeshwa 4 years on end. Sasa mambo kama hayo including utata wa chanjo zenyewe ndio unamfanya Dk.Magifuli awe highly sceptical kuhusu chanjo hizo, wanao mbeza beza aidha hawajielewi kutokana uelewa wao mdogo kuhusu jinsi ya kinga ya mwili inavyo fanya kazi na utofauti wa chanjo zinazo zalishwa kupitia teknilojia ya kijinetic ie mRNA na chanjo zinazo zalishwa kupitia traditional technique ya kutumia attenuated covid-19 virus ili kuzalisha chanjo - Magufuli yuko well informed kuhusu masuala haya - msimchukulie poa hata kidogo.
 
Mnarudia rudia hoja zile zile - nani kawambieni kwamba chanjo ndio njia pekee ya ku-contain ugonjwa huu, angalia stastics kilaNchi hapa Duniani ni wangapi waliambukiza na kupona na wangapi walipoteza maisha, waliopoyeza maisha ni wachache sana kulinganisha na walio fariki kutokana na ugonjwa huu - mnacho sahau ni kwamba ugonjwa huu inekwisha geuzwa ni biashara za kupiga hela ndefu kwa kupitia chanjo ambazo hazijawahi kufanyiwa utafiti wa kutosha na kujiridhisha kwamba chanjo hizo hazina madhara ya short na long term kwa wale watakao kubali kuchanjwa - repeat hata watengenezaji wa chanjo zenyewe ukiwabana kwa maswali ya kisayansi wanapata kigugumizi kukupatia majibu ya kuridhisha na hawataki kuji-commit na kibaya zaidi wameweka clause kwamba in case something goes wrong Serikali haiwezi kuwa-hold responsible! What does that tell you, kampuni zinazo amini dawa/chanjo zao haziwezi kuongeza vipengele tatanishi vya sheria kama hivyo ili kujilinda dhidi ya mashtaka yanayo weza kujitokeza hapo baadae kama watumiaji wa chanjo wakipata matatizo kwa kuugua au kufariki baada ya kuchanjwa.

Ukweli utabaki kwamba chanjo za Big Pharma Companies yamesheheni changa moto hatarishi kwa binadamu mbazo nyingi ya changa moto hizo hazijawa properly addressed, makampuni wanacho kifanya ni kutaka kuziwahisha sokoni waanze ku-rakein trillion of Dollars kutoka kwa mataifa maskini ambayo WHO inazishauri zichukuwe mikopo kutoka World Bank ili wanunulie chanjo bila ya kujali mzigo wa madeni ambao nchi changa zitalazimika kukopa years on end.
Wewe ambae serikali yako haijatenga fungu la madaktari bigwa kupata muafaka wa chanjo kwa ajili ya wanaanchii wake Unatoa wapi nguvu ya kum bana mwanasayansi aliekaa maabara kuchunguza virus na kuja na chanjo.

Acheni akili mgando za kuamimishwa ujinga na magu kama yeye hapatani na wazungu asipandikize chuki kwa wananchi abaki na chuki zake yeye sio malaika kwamba kila asemacho ni kweli narudia tena kusema Afrika bila ya wazungu hata saiv tusingepata muda wa kubisha humu wao wamefanya urahi kwenye kila jambo kupitia uweza na kipawa walichopewa na Mwenyezi Mungu na pia binadam wamehangaisha bongo zako kila kukicha kuweza kuleta uwepesi kwenye kila jambo linalohusu teknolojia, afya usafiri, na mengne mengi Afrika tumejaliwa uchawi kusimanga wengine kulogana kusemana vibaya umbea na taka taka zote kwahyo tuwe wapole itafka mda tutaamini chanjo za wazungu ni suala la mda tu.
 
Nchi ipo kwenge vita ya majimaji kwa maelekezo ya amiri jeshi
 
Tungekuwa na vyombo vitano vya habari visivyo na hila kama The Guardian nchi yetu ingekuwa mbali sana.
Hilo ni gazeti la The Guardian la Uingereza siyo hili la kwetu. Hawa wa kwetu waliiga tu jina la kibeberu.
 
Back
Top Bottom