The Guardian mnaniangusha. Kiingereza gani hiki?

The Guardian mnaniangusha. Kiingereza gani hiki?

Sio kweli : Add an “s” to the verb if the subject is third-person singular. Do not add an “s” if the subject is plural. Hii ni general rule wanaojua kiingereza wanalielewa hilo editor wa Guardian kabofoa hapo.
Ministry ni plural sio?.
 
Jamani hivi division 1 za point 7 na A nyingi za English nilizoona fomu 4 hawamo humu?
Itakuwa zilikuwa za kujibia mtihani tu.

^Kwa kawaida mitihani inapima uwezo wa mtoto kujifunza mambo na kuyaeleza kwa muda fulani tu wakati anapotakiwa. Mitihani haifanikiwi siku zote kupima uwezo wa mtoto kufikiri, na hakika hauwezi kupima tabia wala ridhaa ya utumishi.

^Kadhalika, kwa sasa mafunzo huwasilishwa kwa kufuatisha mitihani itakayotungwa. Ni shida sana mitihani kutungwa kutokana na mafunzo husika. Mwalimu anayejaribu kuwasaidia wanafunzi wake, mara kwa mara husoma maswali ya mitihani iliyopita, na kubuni maswali gani yanaweza kutokea awamu hii.

^Basi, katika mafunzo yake anakuwa anakazania palepale, akijua kwamba kwa kufanya hivyo anawapa wanafunzi wake nafasi nzuri ya kufaulu,na kuingia katika shule ya sekondari au chuo kikuu.^ ~ JK Nyerere: Ujamaa, uk. 60.
 
labna mtoa mada utupatie jibu unaloona wewe ni sahihi lakini kwa mtazamo nilio nao mimi na badhaa ya wadau( review) ndio kitenzi na kwa sababu ni mchakato endelevu wapo sahihi kusema ministry reviews laws
 
^Kadhalika, kwa sasa mafunzo huwasilishwa kwa kufuatisha mitihani itakayotungwa. Ni shida sana mitihani kutungwa kutokana na mafunzo husika. Mwalimu anayejaribu kuwasaidia wanafunzi wake, mara kwa mara husoma maswali ya mitihani iliyopita, na kubuni maswali gani yanaweza kutokea awamu hii.

^Basi, katika mafunzo yake anakuwa anakazania palepale, akijua kwamba kwa kufanya hivyo anawapa wanafunzi wake nafasi nzuri ya kufaulu,na kuingia katika shule ya sekondari au chuo kikuu.^ ~ JK Nyerere: Ujamaa, uk. 60.
Hiyo mbinu ilitumika Sana miaka ya 2007 wakati huo nikiwa mwalimu wa sekondari.

Tulikuwa tunaangalia ni zamubya nani kufunga mtihani Kati ya baraza la mitihani na UDSM; tukishajua basi zinatafutwa past papers zote za wenye zamu zao kutunga watu wanasolve. Hakika walifauku maana tukijua walikuwa Wana copy paste. Ndio maana elimu ya nchi hii ni ovyo.
 
Eti reviews laws. Khaa!!

Edition yenu ya 19th Jan 2022.

Fanyeni homework yenu vizuri hakuna Kizungu cha hivyo.

Usahihi hapo ni 'Ministry review laws on community development'

Kama wangetaka kutumia 'reviews' wangesema

Ministry reviews the au simply law on community development.

Editor anapobofoa kizungu inakuwa shida sana.

View attachment 2088535
Rudi shule haraka.
 
Wanabishana kakitu 'kinyii'
Na si ajabu wengine ni ma-digrii holdaz🤣
 
Mi nimesoma shule ya msingi mkuu sio primary school [emoji23][emoji23]. Wapo wanaoijua hii Lugha ya watu kama wewe ila Majority hawaijui. Sasa nachoshangaaga ni vile mnavyokosoana wakati si Lugha yenu rasmi
 
Tutake radhi🤪

Tatizo wasiojua hawajui kuwa hawajui na kwa ujuaji wanajitambusha rasmi kuwa hawajui Kama hivi.
Raha Dana🤒
Afadhali anayejidumbukiza kichwakichwa, because wajuba watamrekebisha akaelewa. Sasa watu wa sampuli yako mnaomeza pini mwisho wa siku mtaishia kunuka vinywa na kuaibika.
 
Wewe ndio umechemka! Ministry REVIEWS....ni sahihi kabisa. Ila wewe kwasababu umeona neno Laws mbele ukategemea iwe review laws!
Aisee.... nilidhani ni mimi pekee nimegundua alipokengeuka....

Jamaa kafeli vibaya
 
Watu waliosoma nusunusu wanatupa shida sana humu!!....kwani kuna viingereza vya aina ngapi Duniani? hujui!! .... wewe mleta Mada?? na vinatofautiana vipi?........... km ilivo viswahili vipo vingi!!!

mDrc ataona mkenya anakosea, Mbongo anaona mganda anakosea, na mzaramo anaona mzanzibar anakosea, mchga Muhaya mweee!! itafika mahali unajua SWAhili wewe tu! km ulivo fundishwa na mwalimu wako wa UPE!!

ivoivo kwa kiinger pia!!...Mnigeria akiongea si ndo utajamba cheche!!.......Niger wa northern USA, ni tofauti na Niga wa southern USA kimatamshi! mwandishi amekaa Northrn Carolina!! anakushangaa mbongo wa maji Matitu! unavo mshangaa!
 
Watu waliosoma nusunusu wanatupa shida sana humu!!....kwani kuna viingereza vya aina ngapi Duniani? hujui!! .... wewe mleta Mada?? na vinatofautiana vipi?........... km ilivo viswahili vipo vingi!!!

mDrc ataona mkenya anakosea, Mbongo anaona mganda anakosea, na mzaramo anaona mzanzibar anakosea, mchga Muhaya mweee!! itafika mahali unajua SWAhili wewe tu! km ulivo fundishwa na mwalimu wako wa UPE!!

ivoivo kwa kiinger pia!!...Mnigeria akiongea si ndo utajamba cheche!!.......Niger wa northern USA, ni tofauti na Niga wa southern USA kimatamshi! mwandishi amekaa Northrn Carolina!! anakushangaa mbongo wa maji Matitu! unavo mshangaa!
Poor Nyaru-sare , Nyarubanda Plexus Jr and your blood friend, NYARUGANDO !!! 🙂
 
Back
Top Bottom