cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kuna wakosoaji nao wale wale.. duh!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawajakosea hapo bwana we. Usitupigie kelele usiku huu. Unajikuta unajua sana Kiingereza kumbe upo sifuri kabisa.
Hata hivyo kuna sehemu wamekosea kwenye habari ya hunting. Wameandika "he is arrived in the US yesterday...".
Hahaha nipo makini haswa. Shuleni na chuoni nilikuwa na proof read karatasi za wenzangu.Hahahahah mkuu uko makini kweli! “he is arrived in the US yesterday” hapo kweli kuna kipengele.
“He has arrived in the US yesterday” hili ndio sahihi japo mie sijuagi kutofautisha tense ila pakikosewa huwa najua.
Hahahahah sawa mkuu mie tense sio fundi ila nilichoandika hakina kosa loloteHahaha nipo makini haswa. Shuleni na chuoni nilikuwa na proof read karatasi za wenzangu.
Na bado umekosea. Ni "he arrived in the US yesterday..."
Mpigie makofi maana amejitaidi sana hadi kujua tu kuna progress tenseAtiii???!!!!😱😱😱😱
The general rule does not apply all the time!, NOTEDSimple tu...nadhani umeelewa.View attachment 2089800
Ujumbe umefika, kilichobakia malumbano..Kazi ya lugha ni kufikisha ujumbe, ujumbe umekufikia ama la? Tuanzie hapo
Hahahaaaaa mkuu wewe ndo hujui kiingereza.Eti reviews laws. Khaa!!
Edition yenu ya 19th Jan 2022.
Fanyeni homework yenu vizuri hakuna Kizungu cha hivyo.
Usahihi hapo ni 'Ministry review laws on community development'
Kama wangetaka kutumia 'reviews' wangesema
Ministry reviews the au simply law on community development.
Editor anapobofoa kizungu inakuwa shida sana.
View attachment 2088535
Kazi kweli kweli"He has arrived in the USA yesterday." Nafikiri kuna tofauti kati ya "has" na "had."
"Has" ni Present perfect/Present perfect continuous" lakini "Had" ni Past perfect/Past perfect continuous. Kama ndani mwake tendo linaendelea basi kwenye"has au had" tunaongeza "been."
Mfano "He has arrived now"
"He had arrived yesterday
Matumizi ya dhana hizo mbili yaani"has na had" yanategemea Noun/Pronoun +verb/action +time
Nimsaidie hapo ili na wewe ujisalimishe kea rad simba; ministry ni collective noun.Hahahaaaaa mkuu wewe ndo hujui kiingereza.
'Ministry reviews laws' ni sahihi. Hiyo ya kwako 'Ministry review laws' siyo sahihi. Ya the guardian ni sahihi kwa sababu mwandishi kaanza na 'Ministry' ambayo iko in singular form kwa hiyo neno linalofata reviews ni sawa. Angeandika 'Ministries' neno linalofata lingekuwa review.
Itabidi ujisalimishe kwa Ras Simba mkuu, na uwaombe radhi the Guardian.
Hakunaga kitubkinaitwa common mistake kwenye uandishi.Hayo makosa walioyafanya hapo na wanaondelea kuyafanya wengine kwenye Uzi huu wataalamina tunayaita ni COMMON MISTAKES IN SUBJECT VERB AGREEMENTS...warudie madesa ya PHONOLOGY.
Kama utakuwa unatumia kwenye maongezi ya kawaida lakini sio ya kibiasharaThe general rule does not apply all the time!, NOTED
"Progress tense" au "Progressive tense?"Mpigie makofi maana amejitaidi sana hadi kujua tu kuna progress tense
Typing error, keyboard za tecno ila nlikuwa na maana ya progressive tenses"Progress tense" au "Progressive tense?"
Sio kweli : Add an “s” to the verb if the subject is third-person singular. Do not add an “s” if the subject is plural. Hii ni general rule wanaojua kiingereza wanalielewa hilo editor wa Guardian kabofoa hapo.Wewe ndio umeanguka na kiherehere chako hicho. Reviews laws ni kiingereza sahihi.
cc Lwiva
Daah unajua vizuri sana Mkuu kama mimi navyojua hesabu ila huko kwenye present past tense naunga unga tuu...Hiyo sentesi iko sawa kabisa
Reviews ni simple present tense inayoonesha kwamba wizara huwa inapitia hizo sheria wakati wote
Nafikiri mtoa mada amechanganya kwa kuangalia plurality ya laws wakati subject pale sio hiyo bali ministry.
Ingekuwa ni ministries hapo ingekuwa kosa.
Kama subject ni singular basi tunaruhusiwa kuongeza "s"kupata simple present
Thank youuuHiyo ni simple present mkuu..
By the way nalipenda jina lako!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app