KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Ministry ni plural sio?.Sio kweli : Add an “s” to the verb if the subject is third-person singular. Do not add an “s” if the subject is plural. Hii ni general rule wanaojua kiingereza wanalielewa hilo editor wa Guardian kabofoa hapo.
Simple Present Tense
Gra what?.Grammer problem
Ministry ni plural?.Simple tu...nadhani umeelewa.View attachment 2089800
Itakuwa zilikuwa za kujibia mtihani tu.Jamani hivi division 1 za point 7 na A nyingi za English nilizoona fomu 4 hawamo humu?
Hiyo mbinu ilitumika Sana miaka ya 2007 wakati huo nikiwa mwalimu wa sekondari.^Kadhalika, kwa sasa mafunzo huwasilishwa kwa kufuatisha mitihani itakayotungwa. Ni shida sana mitihani kutungwa kutokana na mafunzo husika. Mwalimu anayejaribu kuwasaidia wanafunzi wake, mara kwa mara husoma maswali ya mitihani iliyopita, na kubuni maswali gani yanaweza kutokea awamu hii.
^Basi, katika mafunzo yake anakuwa anakazania palepale, akijua kwamba kwa kufanya hivyo anawapa wanafunzi wake nafasi nzuri ya kufaulu,na kuingia katika shule ya sekondari au chuo kikuu.^ ~ JK Nyerere: Ujamaa, uk. 60.
Ngoja tukosoane;Reviews = hupitia, review = kupitia, s ndiyo imeleta utata kwenye hiyo habari
Tutake radhi🤪Napendaga sana wabongo wanavyokosoana wenyewe kwa wenyewe Lugha ambayo wote hawaijui
Rudi shule haraka.Eti reviews laws. Khaa!!
Edition yenu ya 19th Jan 2022.
Fanyeni homework yenu vizuri hakuna Kizungu cha hivyo.
Usahihi hapo ni 'Ministry review laws on community development'
Kama wangetaka kutumia 'reviews' wangesema
Ministry reviews the au simply law on community development.
Editor anapobofoa kizungu inakuwa shida sana.
View attachment 2088535
^Kupigana spana^ au ^kupigana msasa^? Gentleperson mmoja amesema Inglishi yake alijibia mtihani huko darasani, akaitelekeza huko.Thank youuu
Naona huu uzi umegeuka uwanja wa kupigana spana
Mbona wewe hata Kiswahili chenyewe ni ^tar-tea-zo^? Au lugha yako ni ile ya Vladimir Putin ama Xi Jin Ping?nachoshangaaga
Afadhali anayejidumbukiza kichwakichwa, because wajuba watamrekebisha akaelewa. Sasa watu wa sampuli yako mnaomeza pini mwisho wa siku mtaishia kunuka vinywa na kuaibika.Tutake radhi🤪
Tatizo wasiojua hawajui kuwa hawajui na kwa ujuaji wanajitambusha rasmi kuwa hawajui Kama hivi.
Raha Dana🤒
Aisee.... nilidhani ni mimi pekee nimegundua alipokengeuka....Wewe ndio umechemka! Ministry REVIEWS....ni sahihi kabisa. Ila wewe kwasababu umeona neno Laws mbele ukategemea iwe review laws!
Poor Nyaru-sare , Nyarubanda Plexus Jr and your blood friend, NYARUGANDO !!! 🙂Watu waliosoma nusunusu wanatupa shida sana humu!!....kwani kuna viingereza vya aina ngapi Duniani? hujui!! .... wewe mleta Mada?? na vinatofautiana vipi?........... km ilivo viswahili vipo vingi!!!
mDrc ataona mkenya anakosea, Mbongo anaona mganda anakosea, na mzaramo anaona mzanzibar anakosea, mchga Muhaya mweee!! itafika mahali unajua SWAhili wewe tu! km ulivo fundishwa na mwalimu wako wa UPE!!
ivoivo kwa kiinger pia!!...Mnigeria akiongea si ndo utajamba cheche!!.......Niger wa northern USA, ni tofauti na Niga wa southern USA kimatamshi! mwandishi amekaa Northrn Carolina!! anakushangaa mbongo wa maji Matitu! unavo mshangaa!
Naona kama vyote vipo^Kupigana spana^ au ^kupigana msasa^? Gentleperson mmoja amesema Inglishi yake alijibia mtihani huko darasani, aiacha huko.