Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hilo nalo NENO!labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk..
Kule Mtwara msimbati na all the way to Dar es salaam, watu wamelipwa na kuhamishwa ili Bomba la gas lipite na limepita leo hii watu wanatumia gas...
Pale stieggler miti na msitu vimekatwa na wanakijiji kadhaa pals rufiji wamehama ili bwawa lijengwe umeme upatikane..
Barabara ya Morogoro ilikuwaga kichochoro miaka ya 90's, watu wapembezoni wakahama na familia zao kwa kulipwa na kuhamia kwingine na leo hii tunaenjoy barabara woote..
Pale Ubungo kimara majumba na maelfu walihamishwa kupisha ujenzi wa njia sita na makelele yoote wapi ...majumba yakaangushwa leo tunaona barabara....
Labda mnieleweshe, kipi ambacho ni special kwa wamasai kuendelea kubaki serengeti na shughuli nyingine zikaachwa ili wao waishi serengeti? tukumbuke pia sheria yetu inasema ardhi ni mali ya Serikali na wakati wowote wakiihitaki kuinadilishia matumizi wanachukua.
Una tatizo kichwani wewe, yaani kufukuza wamasai na kuleta waarabu wafanye ujangili unalinganisha na watu kuondolewa ili wachimbe dhahabu?, Watengeneze umeme?labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk....
Wataanz kusafirisha tena wanyama hai inaumiza sna kuwafukuz masai tunaamini tukipata katiba mpya haki ya wamasai itakuj patikanaHaya waliokuwa wanasema kufukuzwa kwa Wamasai ni kwa ajili ya kutunza Hifadhi wako wapi? Kwa mujibu wa Gazeti la Mzungu wenu The Guardian sababu ya kuwaondoa Wamasai kwa nguvu ni kupisha Mwarabu wa Dubai kuwinda Wanyama...
baada ya futuru tuonane shekh nina pakti yako ya Tendelabda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk...
Coordinator kalamba umakamu kwenye chama unategemea nini?
uwindaji kwa maana wenye kibari na kuzingatia taratibu zote hauharibu hifadhi tofautisha na binadamu kukaa na kufanya maisha yao....uwindaji ana utalii hauharibu au haviharibu mazingira maana hufanywa kwa taratibu zake za kitaalam na huku Taifa likiingiza mapato..
Kwani ni makosa muarabu kupewa na kufanya uwekezaji huku akiilinda ecology?...
Una tatizo kichwani wewe, yaani kufukuza wamasai na kuleta waarabu wafanye ujangili unalinganisha na watu kuondolewa ili wachimbe dhahabu?, Watengeneze umeme?
Shida kweli haya kama hivyo ni sawa basi waondoeni tuu maana mna hoja ya kuwafukuza kwa kufananisha na miradi mingine.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Wamasai wameishi pale zaidi ya miaka elfu kumi, laki moja. Wanajua kuishi na wanyama wa asili.Una tatizo kichwani wewe, yaani kufukuza wamasai na kuleta waarabu wafanye ujangili unalinganisha na watu kuondolewa ili wachimbe dhahabu?, Watengeneze umeme?
Shida kweli haya kama hivyo ni sawa basi waondoeni tuu maana mna hoja ya kuwafukuza kwa kufananisha na miradi mingine.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ikiwa lengo ni hilo serikali inapaswa kuweka tu wazi, kuwa wanawaondoa ili kuwapa haouwindaji kwa maana wenye kibari na kuzingatia taratibu zote hauharibu hifadhi tofautisha na binadamu kukaa na kufanya maisha yao....uwindaji ana utalii hauharibu au haviharibu mazingira maana hufanywa kwa taratibu zake za kitaalam na huku Taifa likiingiza mapato..
Kwani ni makosa muarabu kupewa na kufanya uwekezaji huku akiilinda ecology?...
utaweza kufanya hivi vitu Uarabuni, ulaya?Una tatizo kichwani wewe, yaani kufukuza wamasai na kuleta waarabu wafanye ujangili unalinganisha na watu kuondolewa ili wachimbe dhahabu?, Watengeneze umeme?
Shida kweli haya kama hivyo ni sawa basi waondoeni tuu maana mna hoja ya kuwafukuza kwa kufananish na miradi mingine.
Yeye anapewa maelekezo pekeeSasa za kampeni zitatoka wapi?
Hapo naona aliulizwa Mama una hela au tuingie kwa waarabu?
Hizo ni propaganda za mabeberu, usiwaamini Sana hao jamaa.Jamaa wapo serious kuwaondoa aisee.
Yeye anapewa maelekezo pekee
Hakuna yoyote wa kuwatetea.Indigenous people wana teseka