The Guardian: Wamasai kufukuzwa kupisha Mwarabu (UAE) kuwinda Wanyama!

The Guardian: Wamasai kufukuzwa kupisha Mwarabu (UAE) kuwinda Wanyama!

labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk..

Kule Mtwara msimbati na all the way to Dar es salaam, watu wamelipwa na kuhamishwa ili Bomba la gas lipite na limepita leo hii watu wanatumia gas.

Pale stieggler miti na msitu vimekatwa na wanakijiji kadhaa pals rufiji wamehama ili bwawa lijengwe umeme upatikane..

Barabara ya Morogoro ilikuwaga kichochoro miaka ya 90's, watu wapembezoni wakahama na familia zao kwa kulipwa na kuhamia kwingine na leo hii tunaenjoy barabara woote..

Pale Ubungo kimara majumba na maelfu walihamishwa kupisha ujenzi wa njia sita na makelele yoote wapi ...majumba yakaangushwa leo tunaona barabara....

Labda mnieleweshe, kipi ambacho ni special kwa wamasai kuendelea kubaki serengeti na shughuli nyingine zikaachwa ili wao waishi serengeti? tukumbuke pia sheria yetu inasema ardhi ni mali ya Serikali na wakati wowote wakiihitaki kuinadilishia matumizi wanachukua.
Ardhi siyo mali ya serikali, acha urongo. Ardhi ni mali ya watanzania wote ila state imepewa kama custodian ili kuilinda kwa niaba ya raia...Msiwe mnapotosho ili ku justify mambo yenu kw maslahi binafsi
 
Kenya haiwezi ku undermine Utawala wa Samia hata siku moja kwani ni wao!
Mwandishi aliemhoji Dodoma na kuandika kuhusu mahusiano yake na Magufuli alikuwa mkenya pia.

Kwa wakenya wanayo milengo mingi.
Wakikuyu,Waluhya,
wakambana,wajaluo,
Kalenjin wao mlengo wao sio mifugo kama wamasai.

Hivyo wanufaika wakubwa wa Samia kule Kenya sio wamasai.

Wamasai waliwekwa pembeni baada ya Saitoti kuchomolewa.
 
Haya kajiunge Umoja Party uwatoe basi
Nchi hii imewahi kuwa na wahuni zaidi ya Magufuli, Mpina, Makonda, Sabaya n.k?
Wewe ama utakuwa mwizi /fisadi na au ulifukuzwa kazi kwa wizi au ulighushi vyeti.
 
Back
Top Bottom