The Guardian: Wamasai kufukuzwa kupisha Mwarabu (UAE) kuwinda Wanyama!

The Guardian: Wamasai kufukuzwa kupisha Mwarabu (UAE) kuwinda Wanyama!

Tukiingiza siasa kwenye mambo ya msingi hatufiki popote.

Uwindaji kwenye mbuga zetu ni biashara ambayo inatupa forex zakutosha tu. suala la kuhamisha shughuli za kibidamu kutunza mbuga tukafanya biashara ya uwindaji tatizo liko wapi?

Angalia hawa wanalia waruhusiwe kufanya kilimo waendelee kuharibu uoto wa asili, kumbuka ukimruhusu kufanya kilimo eneo la acre moja leo, baada ya Miaka kumi ataongeza eneo maradufu.

Kama Serikali imewaandalia makazi mbadala sioni tatizo.

Dunia imebadilika. hatuwezi kuishi kama wanyama tena
Hivi vitu viwili vinawezwa kufanywa kwa pamoja kuwasaidia wamasai na kuendeleza utalii.

Unafikiri USA, UK, EU wangefanya huu uhuni kwa watu wao.
 
Tuache ujinga, wamasai waondolewe haraka Serengeti ili tuendelee kuwa na hiyo hifadhi.Leo hao watu wako laki na nusu miaka mingi baadaye watafika milioni 2,hawataweza kuendelea kuishi maporini bila huduma za msingi.
Kumbukeni kwamba wakati wa Muungano Wazanzibar walikuwa laki 3 lakini leo wako milioni 2.
Wamasai wapelekwe maeneo mengine wapewe huduma za msingi kama afya,elimu,maji,umeme n.k na pia wafundishwe ufugaji wa kisasa wenye tija.
Serikali isisikilize kelele za wachumia tumbo kama inaamini Ina mpango mzuri kwa ajili ya hao Wamasai.
 
Tuache ujinga, wamasai waondolewe haraka Serengeti ili tuendelee kuwa na hiyo hifadhi.Leo hao watu wako laki na nusu miaka mingi baadaye watafika milioni 2,hawataweza kuendelea kuishi maporini bila huduma za msingi.
Kumbukeni kwamba wakati wa Muungano Wazanzibar walikuwa laki 3 lakini leo wako milioni 2.
Wamasai wapelekwe maeneo mengine wapewe huduma za msingi kama afya,elimu,maji,umeme n.k na pia wafundishwe ufugaji wa kisasa wenye tija.
Serikali isisikilize kelele za wachumia tumbo kama inaamini Ina mpango mzuri kwa ajili ya hao Wamasai.
Mnataka muwapeleke wamasai sehemu nyingine ili mpate namna ya kuhamisha wanyama wetu vizuri? Mwarabu anataka watalii waishie Dubai ninani atakuja Tena Tanzania kushangaa tembo wakati Kuna tembo Dubai? Tatizo mna tamaa ya ela lakini hamwangalii kizazi kijacho
 
Tuache ujinga, wamasai waondolewe haraka Serengeti ili tuendelee kuwa na hiyo hifadhi.Leo hao watu wako laki na nusu miaka mingi baadaye watafika milioni 2,hawataweza kuendelea kuishi maporini bila huduma za msingi.
Kumbukeni kwamba wakati wa Muungano Wazanzibar walikuwa laki 3 lakini leo wako milioni 2.
Wamasai wapelekwe maeneo mengine wapewe huduma za msingi kama afya,elimu,maji,umeme n.k na pia wafundishwe ufugaji wa kisasa wenye tija.
Serikali isisikilize kelele za wachumia tumbo kama inaamini Ina mpango mzuri kwa ajili ya hao Wamasai.

Lakini sababu ya kufukuzwa kwa Watanzania Wamasai ni kupisha Mwarabu na siyo kuhifadhi Serengeti!
 
Haya waliokuwa wanasema kufukuzwa kwa Wamasai ni kwa ajili ya kutunza Hifadhi wako wapi? Kwa mujibu wa Gazeti la Mzungu wenu The Guardian sababu ya kuwaondoa Wamasai kwa nguvu ni kupisha Mwarabu wa Dubai kuwinda Wanyama.

Magu (RIP) angekuwepo isingewezekana, angewatetea lazima!

-----
Thousands of Maasai pastoralists in northern Tanzania have written to the British and US governments and the EU appealing for help to stop plans to evict them from their ancestral land.

More than 150,000 Maasai people face eviction by the Tanzanian government due to moves by the UN cultural agency Unesco and a safari company to use the land for conservation and commercial hunting.

“We are asking for your help to let our government know that our land is not for sale and that we will continue to resist this longstanding assault on our rights and the ecological integrity of our land. We are therefore calling on your organisation to speak out against these abuses and help us prevent the extinction of our people,” read the letter.

“You can keep providing funding to those responsible for appropriating our land in the name of profit or you can make it clear to our government that you will not stand by as our right to live peacefully on and conserving our land is denied to make space for elite tourism and ‘trophy’ hunting.”

The Maasai say their lives are at stake, as their capacity to keep livestock and provide food for their communities will be destroyed if they are evicted.

“We have nowhere else to go,” they wrote. “Losing this land will mean the extinction of our community. Over 70% of our homelands has been taken for conservation and investment reasons.”

The government plans to evict Maasai in the Ngorongoro conservation area, which is designated a world heritage site by Unesco, and Loliondo, near the Serengeti national park. Both are famous for luxury safari tourism. The Tanzanian government and Unesco believe Ngorongoro is overpopulated to the detriment of wildlife.

The Maasai – who have led a semi-nomadic, pastoralist lifestyle for centuries, moving their cattle throughout the area as the seasons change – have for years been subjected to violent campaigns to clear areas for tourism.

“My wife and children feel threatened. The whole community is concerned about what their future will be like,” said one Maasai community leader, who asked not to be named because of the potential backlash from the authorities. “The government is trying to investigate who is behind the protests. Many people are being harassed.”

In February, eight UN special rapporteurs expressed their concerns about the eviction plans in Ngorongoro. About 82,000 Maasai could be removed from the area over the next five years under plans drawn up by Tanzania’s national commission for Unesco in 2019 to expand the conservation area.

The Maasai already face restricted use of the land because of Unesco listing. They are not allowed to grow crops, which has led to food shortages. The situation has worsened with drought in the region. The International Federation of Red Cross and Red Crescent Societies, reported on Tuesday how prolonged dry spells had meant pasture and water shortages for livestock in the northern Maasai region and more than 60,000 animals had died.

Farther north in Loliondo, near the Kenyan border, 70,000 Maasai face eviction to make way for the expanding operations of Otterlo Business Corporation (OBC), a United Arab Emirates-owned hunting company.

Eviction notices were issued last year but were halted when allegations of intimidation of Maasai emerged. The evictions are expected to go ahead any day.

“They [the authorities] deny people access to water, electricity. They want to create an uncomfortable situation for the people,” said Denis Moses Oleshangai, a lawyer and resident of Ngorongoro.

“People are worried. They are concerned about the impact of the eviction and how their life will be,” said a Maasai community leader from Loliondo, who also asked not to be named.

In February this year, Tanzania’s tourism minister, Damas Ndumbaro, said the Maasai did not have a claim to their homeland as all land belonged to the president.

Anuradha Mittal, executive director of the Oakland Institute thinktank, said: “This is all for conservation, to create these pristine environments for tourists. The treatment of the Maasai population in Tanzania is symptomatic of a colonial approach to conservation and tourism, which neglects the recognition of indigenous rights.”

A Unesco spokesperson said: “Unesco World Heritage Centre has never at any time asked for the displacement of the Maasai people. If nature conservation is an urgent need, Indigenous peoples are also part of the answer: they are key actors and rights-holders in achieving this. Unesco World Heritage Centre and the 1972 convention thus recognise the importance of Indigenous peoples and our practice is to involve everyone in finding a solution where nature wins and people win.”

OBC did not respond to requests for comment.

The Foreign, Commonwealth and Development Office was approached for comment.

Hili gazeti sio Mungu bali limepelekewa taarifa na Andiko hili kutoka kwa Beneficially wa eneo hilo hasa wakenya waliojaza mifugo yao upande wa Loliondo Tanzania.
 
Hili gazeti sio Mungu bali limepelekewa taarifa na Andiko hili kutoka kwa Beneficially wa eneo hilo hasa wakenya waliojaza mifugo yao upande wa Loliondo Tanzania.

Kenya haiwezi ku undermine Utawala wa Samia hata siku moja kwani ni wao!
 
Kama kinana karudi kwenye system unategemea nn
 
Haya waliokuwa wanasema kufukuzwa kwa Wamasai ni kwa ajili ya kutunza Hifadhi wako wapi? Kwa mujibu wa Gazeti la Mzungu wenu The Guardian sababu ya kuwaondoa Wamasai kwa nguvu ni kupisha Mwarabu wa Dubai kuwinda Wanyama.

Magu (RIP) angekuwepo isingewezekana, angewatetea lazima!

-----
Thousands of Maasai pastoralists in northern Tanzania have written to the British and US governments and the EU appealing for help to stop plans to evict them from their ancestral land.

More than 150,000 Maasai people face eviction by the Tanzanian government due to moves by the UN cultural agency Unesco and a safari company to use the land for conservation and commercial hunting.

“We are asking for your help to let our government know that our land is not for sale and that we will continue to resist this longstanding assault on our rights and the ecological integrity of our land. We are therefore calling on your organisation to speak out against these abuses and help us prevent the extinction of our people,” read the letter.

“You can keep providing funding to those responsible for appropriating our land in the name of profit or you can make it clear to our government that you will not stand by as our right to live peacefully on and conserving our land is denied to make space for elite tourism and ‘trophy’ hunting.”

The Maasai say their lives are at stake, as their capacity to keep livestock and provide food for their communities will be destroyed if they are evicted.

“We have nowhere else to go,” they wrote. “Losing this land will mean the extinction of our community. Over 70% of our homelands has been taken for conservation and investment reasons.”

The government plans to evict Maasai in the Ngorongoro conservation area, which is designated a world heritage site by Unesco, and Loliondo, near the Serengeti national park. Both are famous for luxury safari tourism. The Tanzanian government and Unesco believe Ngorongoro is overpopulated to the detriment of wildlife.

The Maasai – who have led a semi-nomadic, pastoralist lifestyle for centuries, moving their cattle throughout the area as the seasons change – have for years been subjected to violent campaigns to clear areas for tourism.

“My wife and children feel threatened. The whole community is concerned about what their future will be like,” said one Maasai community leader, who asked not to be named because of the potential backlash from the authorities. “The government is trying to investigate who is behind the protests. Many people are being harassed.”

In February, eight UN special rapporteurs expressed their concerns about the eviction plans in Ngorongoro. About 82,000 Maasai could be removed from the area over the next five years under plans drawn up by Tanzania’s national commission for Unesco in 2019 to expand the conservation area.

The Maasai already face restricted use of the land because of Unesco listing. They are not allowed to grow crops, which has led to food shortages. The situation has worsened with drought in the region. The International Federation of Red Cross and Red Crescent Societies, reported on Tuesday how prolonged dry spells had meant pasture and water shortages for livestock in the northern Maasai region and more than 60,000 animals had died.

Farther north in Loliondo, near the Kenyan border, 70,000 Maasai face eviction to make way for the expanding operations of Otterlo Business Corporation (OBC), a United Arab Emirates-owned hunting company.

Eviction notices were issued last year but were halted when allegations of intimidation of Maasai emerged. The evictions are expected to go ahead any day.

“They [the authorities] deny people access to water, electricity. They want to create an uncomfortable situation for the people,” said Denis Moses Oleshangai, a lawyer and resident of Ngorongoro.

“People are worried. They are concerned about the impact of the eviction and how their life will be,” said a Maasai community leader from Loliondo, who also asked not to be named.

In February this year, Tanzania’s tourism minister, Damas Ndumbaro, said the Maasai did not have a claim to their homeland as all land belonged to the president.

Anuradha Mittal, executive director of the Oakland Institute thinktank, said: “This is all for conservation, to create these pristine environments for tourists. The treatment of the Maasai population in Tanzania is symptomatic of a colonial approach to conservation and tourism, which neglects the recognition of indigenous rights.”

A Unesco spokesperson said: “Unesco World Heritage Centre has never at any time asked for the displacement of the Maasai people. If nature conservation is an urgent need, Indigenous peoples are also part of the answer: they are key actors and rights-holders in achieving this. Unesco World Heritage Centre and the 1972 convention thus recognise the importance of Indigenous peoples and our practice is to involve everyone in finding a solution where nature wins and people win.”

OBC did not respond to requests for comment.

The Foreign, Commonwealth and Development Office was approached for comment.

Naona sababu ya kuondolewa Lukuvi wizara ya ardhi na kuletwa Prince, pia nakumbuka kuondolewa kwa Kalemani na kuletwa mtoto wa mlamba asali ,yote hayo ni kwa ajili ya the gang walambe asali tena kwa dili za kifisadi kwenye vitalu vya gesi,Tanesco na kwa mwarabu, hivi mnadhani kwenye ishu ya huko kwa Wamasai walamba asali hawamo? hawa walamba asali ni genge hatari sana kwa kuhujumu uchumi na kujitajirisha hawatosheki, mara dili za bandari ya bagamoyo, mara wake zao wanataka nao viinua mgongo, yaani ni Timu chako changu.
 
labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk..

Kule Mtwara msimbati na all the way to Dar es salaam, watu wamelipwa na kuhamishwa ili Bomba la gas lipite na limepita leo hii watu wanatumia gas.

Pale stieggler miti na msitu vimekatwa na wanakijiji kadhaa pals rufiji wamehama ili bwawa lijengwe umeme upatikane..

Barabara ya Morogoro ilikuwaga kichochoro miaka ya 90's, watu wapembezoni wakahama na familia zao kwa kulipwa na kuhamia kwingine na leo hii tunaenjoy barabara woote..

Pale Ubungo kimara majumba na maelfu walihamishwa kupisha ujenzi wa njia sita na makelele yoote wapi ...majumba yakaangushwa leo tunaona barabara....

Labda mnieleweshe, kipi ambacho ni special kwa wamasai kuendelea kubaki serengeti na shughuli nyingine zikaachwa ili wao waishi serengeti? tukumbuke pia sheria yetu inasema ardhi ni mali ya Serikali na wakati wowote wakiihitaki kuinadilishia matumizi wanachukua.
Serengeti ni urithi wa Dunia usifananishe na maeneo mengine hayo.Pia tabia ya kuwinda wanyama inabadilisha tabia zao na kumuona mwanadamu ni adui, tofauti na kabla.
Huyo mwarabu atalipa pesa kiduchu kumaliza wanyama wetu
 
labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk..

Kule Mtwara msimbati na all the way to Dar es salaam, watu wamelipwa na kuhamishwa ili Bomba la gas lipite na limepita leo hii watu wanatumia gas.

Pale stieggler miti na msitu vimekatwa na wanakijiji kadhaa pals rufiji wamehama ili bwawa lijengwe umeme upatikane..

Barabara ya Morogoro ilikuwaga kichochoro miaka ya 90's, watu wapembezoni wakahama na familia zao kwa kulipwa na kuhamia kwingine na leo hii tunaenjoy barabara woote..

Pale Ubungo kimara majumba na maelfu walihamishwa kupisha ujenzi wa njia sita na makelele yoote wapi ...majumba yakaangushwa leo tunaona barabara....

Labda mnieleweshe, kipi ambacho ni special kwa wamasai kuendelea kubaki serengeti na shughuli nyingine zikaachwa ili wao waishi serengeti? tukumbuke pia sheria yetu inasema ardhi ni mali ya Serikali na wakati wowote wakiihitaki kuinadilishia matumizi wanachukua.
Uwe unatulia na kusoma habari kwa utulivu.
Kuna mahali kwenye hiyo habari pameongelewa Serengeti?
Maswali yako yanaweza kuwa ya hoja lakini msingi wote umepotea kwa kuzungumzia Serengeti ambayo haipo kwenye tatizo la msingi,hivyo hustahili kujibiwa chochote.
 
Naona sababu ya kuondolewa Lukuvi wizara ya ardhi na kuletwa Prince, pia nakumbuka kuondolewa kwa Kalemani na kuletwa mtoto wa mlamba asali ,yote hayo ni kwa ajili ya the gang walambe asali tena kwa dili za kifisadi kwenye vitalu vya gesi,Tanesco na kwa mwarabu, hivi mnadhani kwenye ishu ya huko kwa Wamasai walamba asali hawamo? hawa walamba asali ni genge hatari sana kwa kuhujumu uchumi na kujitajirisha hawatosheki, mara dili za bandari ya bagamoyo, mara wake zao wanataka nao viinua mgongo, yaani ni Timu chako changu.
We si umemuona msomali karudishwa kupewa cheo chake cha awali ccm kumaliza tembo,japo jiwe alikuwa katili lakini raslimali zetu alizilinda.
 
Mnataka muwapeleke wamasai sehemu nyingine ili mpate namna ya kuhamisha wanyama wetu vizuri? Mwarabu anataka watalii waishie Dubai ninani atakuja Tena Tanzania kushangaa tembo wakati Kuna tembo Dubai? Tatizo mna tamaa ya ela lakini hamwangalii kizazi kijacho
Wewe unaongea kwa hisia zaidi kuliko facts! Hujui hata maana ya ecolojia! Hivi wewe unadhani idadi hiyo ya Wamasai ikiendelea kuishi hapo mbugani baada ya miaka 20 utawaona Wanyama pori hapo?!
Acheni ujinga na tafuteni maarifa.
 
Kama lukuvi katolewa ardhi pili mtoto wa mlamba asali kasogezwa kwenye ofisi ya zamani ya lukuvi ardhi zetu zitapona kweli.
 
wamasai wapewe elimu sana yaani mtu ana vaa shuka tatu bado tako liko wazi
 
Hivi vitu viwili vinawezwa kufanywa kwa pamoja kuwasaidia wamasai na kuendeleza utalii.

Unafikiri USA, UK, EU wangefanya huu uhuni kwa watu wao.

Lazima kuwa na Reasonable compensation
 
labda mnieleweshe....kuna maeneo watu wameondolewa inachimbwa dhahabu na watu wamepata ajira na huku serikali ikiingiza mapato na miji imekua.... mfano pale Geita, Kahama, Bulyanhulu nk..

Kule Mtwara msimbati na all the way to Dar es salaam, watu wamelipwa na kuhamishwa ili Bomba la gas lipite na limepita leo hii watu wanatumia gas.

Pale stieggler miti na msitu vimekatwa na wanakijiji kadhaa pals rufiji wamehama ili bwawa lijengwe umeme upatikane..

Barabara ya Morogoro ilikuwaga kichochoro miaka ya 90's, watu wapembezoni wakahama na familia zao kwa kulipwa na kuhamia kwingine na leo hii tunaenjoy barabara woote..

Pale Ubungo kimara majumba na maelfu walihamishwa kupisha ujenzi wa njia sita na makelele yoote wapi ...majumba yakaangushwa leo tunaona barabara....

Labda mnieleweshe, kipi ambacho ni special kwa wamasai kuendelea kubaki serengeti na shughuli nyingine zikaachwa ili wao waishi serengeti? tukumbuke pia sheria yetu inasema ardhi ni mali ya Serikali na wakati wowote wakiihitaki kuinadilishia matumizi wanachukua.Hebu linanisha

Hilo nalo NENO!
Mali inayochukuliwa na maendeleo unayoyasema ni mbingu na ardhi, havina uhusiano kabisa.
 
Haya waliokuwa wanasema kufukuzwa kwa Wamasai ni kwa ajili ya kutunza Hifadhi wako wapi? Kwa mujibu wa Gazeti la Mzungu wenu The Guardian sababu ya kuwaondoa Wamasai kwa nguvu ni kupisha Mwarabu wa Dubai kuwinda Wanyama.

Magu (RIP) angekuwepo isingewezekana, angewatetea lazima!

-----
Thousands of Maasai pastoralists in northern Tanzania have written to the British and US governments and the EU appealing for help to stop plans to evict them from their ancestral land.

More than 150,000 Maasai people face eviction by the Tanzanian government due to moves by the UN cultural agency Unesco and a safari company to use the land for conservation and commercial hunting.

“We are asking for your help to let our government know that our land is not for sale and that we will continue to resist this longstanding assault on our rights and the ecological integrity of our land. We are therefore calling on your organisation to speak out against these abuses and help us prevent the extinction of our people,” read the letter.

“You can keep providing funding to those responsible for appropriating our land in the name of profit or you can make it clear to our government that you will not stand by as our right to live peacefully on and conserving our land is denied to make space for elite tourism and ‘trophy’ hunting.”

The Maasai say their lives are at stake, as their capacity to keep livestock and provide food for their communities will be destroyed if they are evicted.

“We have nowhere else to go,” they wrote. “Losing this land will mean the extinction of our community. Over 70% of our homelands has been taken for conservation and investment reasons.”

The government plans to evict Maasai in the Ngorongoro conservation area, which is designated a world heritage site by Unesco, and Loliondo, near the Serengeti national park. Both are famous for luxury safari tourism. The Tanzanian government and Unesco believe Ngorongoro is overpopulated to the detriment of wildlife.

The Maasai – who have led a semi-nomadic, pastoralist lifestyle for centuries, moving their cattle throughout the area as the seasons change – have for years been subjected to violent campaigns to clear areas for tourism.

“My wife and children feel threatened. The whole community is concerned about what their future will be like,” said one Maasai community leader, who asked not to be named because of the potential backlash from the authorities. “The government is trying to investigate who is behind the protests. Many people are being harassed.”

In February, eight UN special rapporteurs expressed their concerns about the eviction plans in Ngorongoro. About 82,000 Maasai could be removed from the area over the next five years under plans drawn up by Tanzania’s national commission for Unesco in 2019 to expand the conservation area.

The Maasai already face restricted use of the land because of Unesco listing. They are not allowed to grow crops, which has led to food shortages. The situation has worsened with drought in the region. The International Federation of Red Cross and Red Crescent Societies, reported on Tuesday how prolonged dry spells had meant pasture and water shortages for livestock in the northern Maasai region and more than 60,000 animals had died.

Farther north in Loliondo, near the Kenyan border, 70,000 Maasai face eviction to make way for the expanding operations of Otterlo Business Corporation (OBC), a United Arab Emirates-owned hunting company.

Eviction notices were issued last year but were halted when allegations of intimidation of Maasai emerged. The evictions are expected to go ahead any day.

“They [the authorities] deny people access to water, electricity. They want to create an uncomfortable situation for the people,” said Denis Moses Oleshangai, a lawyer and resident of Ngorongoro.

“People are worried. They are concerned about the impact of the eviction and how their life will be,” said a Maasai community leader from Loliondo, who also asked not to be named.

In February this year, Tanzania’s tourism minister, Damas Ndumbaro, said the Maasai did not have a claim to their homeland as all land belonged to the president.

Anuradha Mittal, executive director of the Oakland Institute thinktank, said: “This is all for conservation, to create these pristine environments for tourists. The treatment of the Maasai population in Tanzania is symptomatic of a colonial approach to conservation and tourism, which neglects the recognition of indigenous rights.”

A Unesco spokesperson said: “Unesco World Heritage Centre has never at any time asked for the displacement of the Maasai people. If nature conservation is an urgent need, Indigenous peoples are also part of the answer: they are key actors and rights-holders in achieving this. Unesco World Heritage Centre and the 1972 convention thus recognise the importance of Indigenous peoples and our practice is to involve everyone in finding a solution where nature wins and people win.”

OBC did not respond to requests for comment.

The Foreign, Commonwealth and Development Office was approached for comment.

kwangu sijashtuka mana nilipata tarifa hizi hapa wakati huo ilikuwa dondoo kuwa kuna don anataka.
 
Sasa ukweli usemwe, kwamba Serikali inawaondoa kupisha Mwarabu kuwinda kama huko kwingine, lakini Serikali inasema Wamasai wanaharibu Hifadhi ambayo ni urithi wa Dunia hivyo wanawaondoa kutunza Hifadhi, hiyo ndiyo sababu wanayoitoa Serikali, sasa swali kwa nini wadanganye kama wana nia njema?
Hicho ulichoaema ni ukweli au ni tuhuma?
Au unarithisha vipi?
 
Back
Top Bottom