The Guardian: Wamasai kufukuzwa kupisha Mwarabu (UAE) kuwinda Wanyama!

Ardhi siyo mali ya serikali, acha urongo. Ardhi ni mali ya watanzania wote ila state imepewa kama custodian ili kuilinda kwa niaba ya raia...Msiwe mnapotosho ili ku justify mambo yenu kw maslahi binafsi
 
Kenya haiwezi ku undermine Utawala wa Samia hata siku moja kwani ni wao!
Mwandishi aliemhoji Dodoma na kuandika kuhusu mahusiano yake na Magufuli alikuwa mkenya pia.

Kwa wakenya wanayo milengo mingi.
Wakikuyu,Waluhya,
wakambana,wajaluo,
Kalenjin wao mlengo wao sio mifugo kama wamasai.

Hivyo wanufaika wakubwa wa Samia kule Kenya sio wamasai.

Wamasai waliwekwa pembeni baada ya Saitoti kuchomolewa.
 
Haya kajiunge Umoja Party uwatoe basi
Nchi hii imewahi kuwa na wahuni zaidi ya Magufuli, Mpina, Makonda, Sabaya n.k?
Wewe ama utakuwa mwizi /fisadi na au ulifukuzwa kazi kwa wizi au ulighushi vyeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…