The Illuminati is real, and it's everywhere

The Illuminati is real, and it's everywhere

True. The Illuminati is real. But there is nothing to fear from the Illuminati just as there is nothing to fear from their father, the Devil/Lucifer.

On the Cross, when Jesus said 'IT IS FINISHED', everything was FINISHED. Satan (the devil) was FINISHED. The Illuminati was FINISHED. And everything was FINISHED. The only remaining thing is the manifestation of 'that' FINISHING to you. To me it is DONE.

Kwanini uhusishe habari hii ni suala la kuwaogopa.....habari hii haisemi uwaogope au usiwaogope..Ila kuelezea mapana ya uwepo wao.Halafu...mengine ni percona decision..usipende jipa hofu wala matumaini ya uongo kuwa huwaogopi,sijui wameshakuwa finished ..bado manifestation ndipo power ilipo.Jesus kuja km binadamu nayo ni Manifestation ya Mungu kwa binadamu.

Unahitaji wajua, makosa makubwa ya watu ktk issue za shetani ni kujipa matuamaini ya woga halafu wanajikuta wameingia mkataba nae bila jijua..Unaweza fanya mizaha,jipa woga unaouita ujasiri..halfu uukajikuta unakula kiapo ch akijinga tuu,kumbe ndio umeshingia ktk utumwa fulani.
 
Jamii yetu imegubikwa na ombwe la ujinga na allucination za kipuuzi....Watu walikuwa wanauza sembe na kutajirika wadanganyika tukabaki na freemason..

Haha..sasa ujinga upi sasa?Wakati hao jamaa wenyewe moja ya biashara yao ni kuuza unga, malaya, ring za ujambazi, na bishara za vito.na starehe..ili kuweza recruit watu wa kazi mbalimbali ktk hizo rings.

Wewe ulitegemea illuminati wasiuze Unga?Wakati cha kwanza wao wanapenda binadamu aabudu mwili kwanza kama sehemu ya kwanza ya kumpoteza,...watu wanaanza kuwa watumwa wa mwili, kisha watumwa wa mtu anayetoa hivyo vinavyotakiwa kukata tamaa ya mwili, kisha ndipo unafikishwa ktk meza ya Mungu wao..
 
Hogwash.

Eti the Jackson family imem sacrifice Michael, the cash cow, ili ipate hela.

Ni sawa na wewe kumchinja tembe ili upate mayai!
 
Haya ni matango pori tunayolishwa na elite people_ili waendelee kutupelekesha/kututawala wanavyotaka.
 
Hogwash.

Eti the Jackson family imem sacrifice Michael, the cash cow, ili ipate hela.

Ni sawa na wewe kumchinja tembe ili upate mayai!
Well,Labda niliweke hivi...hawa jamaa all in all bado wanabaki km secret society kwa vile mambo yao kuyaficha na kuwepo ktk jamii kwa sura nyingine ni msaada sana kwao...watu huwaheshimu sana hawa watu an kuwaona ni wema sana hadi siku wanaposikika tofauti....au hata wenyewe kujiua kwa mateso wanayoyapata ktk msumo aliojiingiza na unaowanyima kutoka na kubaki salama.

Kwa hali hii ni wazi kuwa hata habari zao ktk jamii ni habari zilizopatika na kwa kuunganisha matukio, kumshuhudia mmoja, na mbinu nyingine ambazo haziwezi kupa details zote km zilivyo..Michael Jackson aliuwawa,.ila anayejua ni pango wa watu gani ktk Illuminati inaweza isiwe sahihi sana....km ni complex project.....inawezekana sis yeye pekee alikuwepo ktk huu mtandao na hivyo nduguze wakashinikizwa hivyo kwa maunfaa tofauti na wao walivyoamini..ila pia Michael alikuwa veye unhappy pamoja na utajiri wake..alikuwa akisumbuliwa sana na mawazo..na kujiua ilikuwa ndio njia pekee....na hii inakwenda kwa watu wengi sana..ambao mafanikio huwapelekea kupata shida nyingi sana za kisaikologia na uhuru binafsi.

Ktk Jamii wenye macho wataonaishara za huyu mtu kushindwa jitawala..hisia km huyu mtu ana watu wengine wneye nguvu sana ktk maisha yake wakiwa mmiliki ktk ivuli chao.
 
Kwanini uhusishe habari hii ni suala la kuwaogopa.....habari hii haisemi uwaogope au usiwaogope..Ila kuelezea mapana ya uwepo wao.Halafu...mengine ni percona decision..usipende jipa hofu wala matumaini ya uongo kuwa huwaogopi,sijui wameshakuwa finished ..bado manifestation ndipo power ilipo.Jesus kuja km binadamu nayo ni Manifestation ya Mungu kwa binadamu.

Unahitaji wajua, makosa makubwa ya watu ktk issue za shetani ni kujipa matuamaini ya woga halafu wanajikuta wameingia mkataba nae bila jijua..Unaweza fanya mizaha,jipa woga unaouita ujasiri..halfu uukajikuta unakula kiapo ch akijinga tuu,kumbe ndio umeshingia ktk utumwa fulani.

Yaani hata huyo unayemwita Jesus/Mungu ni hao hao unawaita Illuminat ndio wamekuletea habari/hadithi zake na kukukaririsha plus hofu ya kuchomwa moto siku ukifa.
 
Si nia ya illuminati kujitangaza sasa hivi kwa uwazi duniani..si nia yao kutaka kila mtu ajue kila kitu....kwani njia ya kuwashikilia ni upotoshaji.......

So msitegemee kuyapata yote km unavyosoma physics...wachawi wa africa mmewahi wadument wote na matendo yao?ila si mnasikia Albino wanakufa?wether ni utapelei au lah ila watu wanakufa, watu wanatolewa kafara, watu wana kiu ya vita na ugaidi ili damu iende wapi?

Watoto wanshikwa muhimbili wakila nyama ya kichwa cha mtoto waliomuua..anataja waliomfundisha, wanaokula nae..halafu mnasema ni ujinga na uongo na kupotoka?

Magdi wanasema wazi kuwa damu ni haki yao, na Mungu wao ndie wanayemtolea haya matendo yao..na mnaona jinsi walivyo na nguvu.halafu mnataka eleze sayansi isiyojulikana imetoka ktk kundi gani ili kugeuza story ya hawa watu kuwa si kweli,s ijui wamepotoka tuu ila hakuna ukweli....nania juaye vyema madhumuni ya jambo kufanyika km si mpangaji wa hayo.?
 
Kwanini uhusishe habari hii ni suala la kuwaogopa.....habari hii haisemi uwaogope au usiwaogope..Ila kuelezea mapana ya uwepo wao.Halafu...mengine ni percona decision..usipende jipa hofu wala matumaini ya uongo kuwa huwaogopi,sijui wameshakuwa finished ..bado manifestation ndipo power ilipo.Jesus kuja km binadamu nayo ni Manifestation ya Mungu kwa binadamu.

Unahitaji wajua, makosa makubwa ya watu ktk issue za shetani ni kujipa matuamaini ya woga halafu wanajikuta wameingia mkataba nae bila jijua..Unaweza fanya mizaha,jipa woga unaouita ujasiri..halfu uukajikuta unakula kiapo ch akijinga tuu,kumbe ndio umeshingia ktk utumwa fulani.

Nic, nimefuatilia agenda za Illuminati tangu miaka ya 1996 hadi sasa. Hili ni kundi lenye agenda maalumu. Moja ya agenda kuu kwao ni kuleta New World Order (One world religion, One world government). Pia kwa mujibu wa maandiko matakatifu - Biblia - hawa jamaa watafanikiwa katika hilo lengo. Nia yao ni kwamba wafanikishe ndoto ya One World religion kabla Kanisa halijanyakuliwa. Ila bahati mbaya kwao, 'to their dismay', watachelewa maana watafanikisha hilo wakati ambao Kanisa (Christians) litakuwa halipo ulimwenguni-litakuwa limenyakuliwa. Tafuta kitabu 'He Came to Set the Captives Free' kilichoandikwa na 'Rebecca Brown MD' ujionee hawa jamaa wako vipi. Pia tazama mikakati yao katika You Tube.
 
Well,Labda niliweke hivi...hawa jamaa all in all bado wanabaki km secret society kwa vile mambo yao kuyaficha na kuwepo ktk jamii kwa sura nyingine ni msaada sana kwao...watu huwaheshimu sana hawa watu an kuwaona ni wema sana hadi siku wanaposikika tofauti....au hata wenyewe kujiua kwa mateso wanayoyapata ktk msumo aliojiingiza na unaowanyima kutoka na kubaki salama.

Kwa hali hii ni wazi kuwa hata habari zao ktk jamii ni habari zilizopatika na kwa kuunganisha matukio, kumshuhudia mmoja, na mbinu nyingine ambazo haziwezi kupa details zote km zilivyo..Michael Jackson aliuwawa,.ila anayejua ni pango wa watu gani ktk Illuminati inaweza isiwe sahihi sana....km ni complex project.....inawezekana sis yeye pekee alikuwepo ktk huu mtandao na hivyo nduguze wakashinikizwa hivyo kwa maunfaa tofauti na wao walivyoamini..ila pia Michael alikuwa veye unhappy pamoja na utajiri wake..alikuwa akisumbuliwa sana na mawazo..na kujiua ilikuwa ndio njia pekee....na hii inakwenda kwa watu wengi sana..ambao mafanikio huwapelekea kupata shida nyingi sana za kisaikologia na uhuru binafsi.

Ktk Jamii wenye macho wataonaishara za huyu mtu kushindwa jitawala..hisia km huyu mtu ana watu wengine wneye nguvu sana ktk maisha yake wakiwa mmiliki ktk ivuli chao.

Huwa najiuliza kila siku bila kupata jibu_kila mtu mwenye mafanikio i.e mahela,mijumba,akili mingi,madaraka makubwa eg,..Obama,Bush,Karl Max,Bill Gates,Steve Job(r.i.p),Papa,..etc,etc,etc wanahusishwa na hawa jamaa...Na hata mataifa makubwa na yaliyoendelea kama Marekan,Urusi,Ubelgiji,Uingereza etc,etc nayo yanahusishwa na hawa jamaa...sasa huyu Mungu wao ni more powerfull kuliko wa kina yakhe huku ambaye ni wao hao hao waliyemleta na kutukaririsha na kutuachia tunaimba nyimbo zake na kuana wenyewe kwa wenyewe huku wao wakiwa wamemuacha na kuja na injili/Mungu ingine in tghe name DEMOKRASIA....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????????????
 
Yaani hata huyo unayemwita Jesus/Mungu ni hao hao unawaita Illuminat ndio wamekuletea habari/hadithi zake na kukukaririsha plus hofu ya kuchomwa moto siku ukifa.

haha..Naona unaanza pull the sting kuelekea ktk udini....Historia haiwsemi hivyo..na Illuninati ni Lucifer, wakati Yesu alipingana nae na alimtaja vibaya..hembutumia kaili kidogo tuu..Na theology yao wanamwita mpinzani wa Mungu, wanamshutumu Mungu wa Abrahamu kuwa mwenye Wivu ndio maana alishindwana na huyu Mpinzani..So sidhani km wangenikaririsha unavyotak sema.Pengine ungepoteza tuu nguvu na Muda wako kuangali ni wapi unaweza tenganisha hawa jamaa na Majinn ndipo unaweza kuw ana majibu kwanini watu wanauawawa sana dunian ktk hizi jihads.

Moto upo kijana...na hata wachoma makanisa nao huwa kuna matukio mengine hudai kuwa hawatumiii moto kwani Moto hutumika na Mungu kuadhibu...
 
Haya ni matango pori tunayolishwa na elite people_ili waendelee kutupelekesha/kututawala wanavyotaka.

Hao watawala wanaowalisha hayo matango pori unadhani wapo kundi gani?Na kwanini wakulishe hayo matago pori?
 
Si nia ya illuminati kujitangaza sasa hivi kwa uwazi duniani..si nia yao kutaka kila mtu ajue kila kitu....kwani njia ya kuwashikilia ni upotoshaji.......

So msitegemee kuyapata yote km unavyosoma physics...wachawi wa africa mmewahi wadument wote na matendo yao?ila si mnasikia Albino wanakufa?wether ni utapelei au lah ila watu wanakufa, watu wanatolewa kafara, watu wana kiu ya vita na ugaidi ili damu iende wapi?

Watoto wanshikwa muhimbili wakila nyama ya kichwa cha mtoto waliomuua..anataja waliomfundisha, wanaokula nae..halafu mnasema ni ujinga na uongo na kupotoka?

Magdi wanasema wazi kuwa damu ni haki yao, na Mungu wao ndie wanayemtolea haya matendo yao..na mnaona jinsi walivyo na nguvu.halafu mnataka eleze sayansi isiyojulikana imetoka ktk kundi gani ili kugeuza story ya hawa watu kuwa si kweli,s ijui wamepotoka tuu ila hakuna ukweli....nania juaye vyema madhumuni ya jambo kufanyika km si mpangaji wa hayo.?

Kama Mungu wao ana nguvu then huyo ndio wa kumfuata_mbona walipokuja na hizi hadithi za wayahudi na waarabu walisema Mungu wetu waaafrika ni dhaifu kuliko wao na sisi tukaamua kumfuta wao sababu ana nguvu kuliko wetu.

Kwa hiyo kuna hoja ya kumfuata huyo Mungu wa illuminat sababu anajibu maombi yao na ana nguvu_right..?
 
Hao watawala wanaowalisha hayo matango pori unadhani wapo kundi gani?Na kwanini wakulishe hayo matago pori?

Wapo kundi lenye uelewa wa juu_sababu wanataka watutawale kirahisi...moja ya fimbo wanazotumia ni dini na hasa hizi Abrahamic_get it..?
 
Nic, nimefuatilia agenda za Illuminati tangu miaka ya 1996 hadi sasa. Hili ni kundi lenye agenda maalumu. Moja ya agenda kuu kwao ni kuleta New World Order (One world religion, One world government). Pia kwa mujibu wa maandiko matakatifu - Biblia - hawa jamaa watafanikiwa katika hilo lengo. Nia yao ni kwamba wafanikishe ndoto ya One World religion kabla Kanisa halijanyakuliwa. Ila bahati mbaya kwao, 'to their dismay', watachelewa maana watafanikisha hilo wakati ambao Kanisa (Christians) litakuwa halipo ulimwenguni-litakuwa limenyakuliwa. Tafuta kitabu 'He Came to Set the Captives Free' kilichoandikwa na 'Rebecca Brown MD' ujionee hawa jamaa wako vipi. Pia tazama mikakati yao katika You Tube.

Kwani kuna shida gani kuwa na dunia na dini moja,...just to start with.
 
Well,Labda niliweke hivi...hawa jamaa all in all bado wanabaki km secret society kwa vile mambo yao kuyaficha na kuwepo ktk jamii kwa sura nyingine ni msaada sana kwao...watu huwaheshimu sana hawa watu an kuwaona ni wema sana hadi siku wanaposikika tofauti....au hata wenyewe kujiua kwa mateso wanayoyapata ktk msumo aliojiingiza na unaowanyima kutoka na kubaki salama.

Kwa hali hii ni wazi kuwa hata habari zao ktk jamii ni habari zilizopatika na kwa kuunganisha matukio, kumshuhudia mmoja, na mbinu nyingine ambazo haziwezi kupa details zote km zilivyo..Michael Jackson aliuwawa,.ila anayejua ni pango wa watu gani ktk Illuminati inaweza isiwe sahihi sana....km ni complex project.....inawezekana sis yeye pekee alikuwepo ktk huu mtandao na hivyo nduguze wakashinikizwa hivyo kwa maunfaa tofauti na wao walivyoamini..ila pia Michael alikuwa veye unhappy pamoja na utajiri wake..alikuwa akisumbuliwa sana na mawazo..na kujiua ilikuwa ndio njia pekee....na hii inakwenda kwa watu wengi sana..ambao mafanikio huwapelekea kupata shida nyingi sana za kisaikologia na uhuru binafsi.

Ktk Jamii wenye macho wataonaishara za huyu mtu kushindwa jitawala..hisia km huyu mtu ana watu wengine wneye nguvu sana ktk maisha yake wakiwa mmiliki ktk ivuli chao.

If it was a secret society, you wouldn't know and say here it was a secret society.

And if you know and say here it is a secret society, it's not a secret society.

Kama huko sahihi kwa Michael Jackson sina sababu ya kufikiri uko sahihi kwingine kokote huko.
 
Mkuu Nicholas, wewe ni mtu makini sana na huwa una michango na hoja za nguvu hapa jukwaani, lakini nasikitika kuwa umenaswa kwenye propaganda hii.
Naomba nikuulize swali, uliamini katika kile kilichoitwa kikombe cha babu?, did you think it was real and efficient?, kwa nini kilipigiwa chapuo sana hadi na viongozi wa serikali?, kama ilivyokuwa kwenye hilosuala la kikombe, Freemason na Illuminat hizo ni njia tu za kuwahamisha watu watoke kwenye mijadala mikubwa na ya muhimu ili washinde wanajadili freemason, ili tawala zipumue.
Naomba nikupe zoezi dogo, chunguza vyombo vya habari au watu wanaoeneza habari za freemason ni wa mrengo gani.
its challenging kwa watu wnegi ku digest haya.Haswa watu walioaminishwa kuw aukiamini kuwa huuu uovu upo basi utakudhuru, wengine wakiamini hakuna, wengine wakiamini upo bila kuuogopa na hujifunza jinsi ya kuwang`amua na kuachana nao..na kuna wasiojua nini ni nini huwa wanachanganyikiwa, na kuna wanaoamini na kuogopa sana..kwa kiasi cha kuwapa support bila jijua au kwa owga wakidhani kuwa watajiokoa..


Maoni ya hawa watu yatakuwa na sura tofauti sana hapa....ila ni muhimu watu kujua km uovu haukuwepo basi Wema usingeweza pimwa..ungekuwa tuu obvious kwa watu kupoteza muda kufikiri hilo.Km angekuwa Mungu wa Abrahamu tuu then apasingekuwa na haja ya kuhangaika na masuala ya kutafuta rehema.Kila mttu angekuwa na mwisho km wa mwenzie.
 
Back
Top Bottom