"The Iron Dome" Kama Taifa tunajifunza nini kwenye Teknolojia hii ya Israel?

Kabla ya kuulizia nchi wewe kwanza jiulize umeifanyia/ unaifanyia nini Tanzania?

Hivi kuna mtu nweusi anaweza kugeuza mchanga/ udongo kuwa mashine?
 
Kwahiyo Tanzania haina nguvu isyoonekana? Au Mungu anawapendelea tu wayahudi afu sie wengine anatupotezea.

Mungu mnayemuabudu kweli yupo hivyo? Kwamba wayahudi wakikutana na Goliath awalinde ila TZ tukikutana na Goliath wetu atupotezee?

Kila binadamu ana muujiza wake ambao ana ucredit kwa Mungu ila haimaanishi yeye ndio anapendwa zaidi na Mungu kuliko wengine. Sidhani kma ni sahihi
 
Muisraeli hayupo juu ya Waarabu tu bali yupo juu ya dunia yote.---- ni mahali gani ambapo kuna uchumi au maslahi haramu au halali duniani hukuti "mkono" wa Muisreali???!
USITULETEE POROJO HAPA.
UNATAKA KUNAMBIA CHINA ISRAEL YUPO?
KWA USHAWISHI GANI HASA?
 
USITULETEE POROJO HAPA.
UNATAKA KUNAMBIA CHINA ISRAEL YUPO?
KWA USHAWISHI GANI HASA?


Hivi wewe unaelewa uchumi wa dunia??--- au unataka ubishani wa vijiwe vya kahawa!!?.

Kwa mfano, Kampuni ya Huawei ni kampuni ya wapi na imefanywaje na Marekani??--- au hujui mahusiano ya kiuchumi kati ya Amerika na Israeli??!.

Huwezi kuzungumzia uchumi wa America bila kuihusisha Israeli moja kwa moja au kwa mbali.
 
hivi kauli yako umeielewa?
umesema kila sehem Israel ana mkono wake fafanua.
maana inavyofahamika aliyeiwekea vikwazo huawei ni USA japo yeye mwenyewe kaathirika na vikwazo alivyoweka.
Unataka kunambia anchofanya USA ni shauri ya Israel?
Leta ufafanuzi.
 
Palestina/Waislamu hawakuamini macho yao πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unapigwa mpaka unachanganyikiwa unajitangaza mshindi.
 


Go and read, "Israel in the orbit of America; The political Economy of dependency relationship".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…